Skip to main content

Ofisi ya Taifa ya Takwimu ya Taifa imetoa taarifa mfumo wa bei wa


Mkurugenzi wa shughuli za kitakwimu kwa niaba ya mkurugenzi mkuu,ofisi ya Taifa ya Takwimu,Irenius Ruyobya akizungumza na wanahabari
Ofisi ya Taifa ya Takwimu ya Taifa leo imetoa taarifa imesema mfumo wa bei wa Taifa kwa mwezi Octoba,2017 umepungua hadi kufikia asilimia 5.1 ikilinganishwa na asilimia 5.3 ilivyokuwa mwezi septembaer 2017.

Mkurugenzi wa shughuli za kitakwimu kwa niaba ya mkurugenzi mkuu,ofisi ya Taifa ya Takwimu,Irenius Ruyobya ametoa taarifa hiyo leo wakati akizungumza na wanahabari jijini Dar es salaam ambapo amesema kupungua kwa mfumuko wa bei kumechangiwa hasa na kupungua bei za baadhi za vyakula kwa kipindi kilichoishia mwezi octoba,2017 zikilinganishwa na mwezi octoba 2016.

“baadhi ya bidhaa za chakula zilizochangia kupungua kwa mfumuko wa bei ni pamoja na Unga wa mtama kwa 2.6%,samaki kwa  7.1%,matunda kwa 2.7%,mbogamboga kwa 7.4%,maharage kwa asilimia 2.9,viazi kwa 14.4% na karaka kwa 7.8%”amesema Mkurugenzi Ruyobya

Kwa upande mwingine amesema mfumuko wa bei nchini una mwelekeo unaofanana na baadhi ya nchi nyingine za Afrika Mashariki ambapo Kenya mfumuko wa bei mwezi octoba 2017 umepungua 5.72% kutoka 7.06 mwezi septemba 2017,na Uganda umepungua kwa asilimia 4.8% mwezi octoba kutoka asilimia 5.3 mwezi septemba 2017.

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ni taasisi ya umma iliyoanzishwa kwa sheria ya Takwimu ya Mwaka 2015.Kwa mujibu wa sheria hiyo,NBS imepewa mamlaka ya kutoa,kusimamia na kuratibu upatikanaji wa Takwimu Rasmi nchini kwa ajili ya matumizi ya serikali na wadau wa takwimu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.