Skip to main content

Ofisi ya Taifa ya Takwimu ya Taifa imetoa taarifa mfumo wa bei wa


Mkurugenzi wa shughuli za kitakwimu kwa niaba ya mkurugenzi mkuu,ofisi ya Taifa ya Takwimu,Irenius Ruyobya akizungumza na wanahabari
Ofisi ya Taifa ya Takwimu ya Taifa leo imetoa taarifa imesema mfumo wa bei wa Taifa kwa mwezi Octoba,2017 umepungua hadi kufikia asilimia 5.1 ikilinganishwa na asilimia 5.3 ilivyokuwa mwezi septembaer 2017.

Mkurugenzi wa shughuli za kitakwimu kwa niaba ya mkurugenzi mkuu,ofisi ya Taifa ya Takwimu,Irenius Ruyobya ametoa taarifa hiyo leo wakati akizungumza na wanahabari jijini Dar es salaam ambapo amesema kupungua kwa mfumuko wa bei kumechangiwa hasa na kupungua bei za baadhi za vyakula kwa kipindi kilichoishia mwezi octoba,2017 zikilinganishwa na mwezi octoba 2016.

“baadhi ya bidhaa za chakula zilizochangia kupungua kwa mfumuko wa bei ni pamoja na Unga wa mtama kwa 2.6%,samaki kwa  7.1%,matunda kwa 2.7%,mbogamboga kwa 7.4%,maharage kwa asilimia 2.9,viazi kwa 14.4% na karaka kwa 7.8%”amesema Mkurugenzi Ruyobya

Kwa upande mwingine amesema mfumuko wa bei nchini una mwelekeo unaofanana na baadhi ya nchi nyingine za Afrika Mashariki ambapo Kenya mfumuko wa bei mwezi octoba 2017 umepungua 5.72% kutoka 7.06 mwezi septemba 2017,na Uganda umepungua kwa asilimia 4.8% mwezi octoba kutoka asilimia 5.3 mwezi septemba 2017.

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ni taasisi ya umma iliyoanzishwa kwa sheria ya Takwimu ya Mwaka 2015.Kwa mujibu wa sheria hiyo,NBS imepewa mamlaka ya kutoa,kusimamia na kuratibu upatikanaji wa Takwimu Rasmi nchini kwa ajili ya matumizi ya serikali na wadau wa takwimu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...