Skip to main content

Waziri Ummy apokea vifaa tiba vya saratani


Na Mwandishi Wetu

TAKWIMU zinaonesha kwamba, kati ya wanawake 10,0000, wanawake 32,000 hufariki kutokana na ugonjwa wa saratani ya mlango wa shingo ya kizazi.

Waziri wa Afya, Mendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akikabidhiwa vifaa tiba na vya kufundishia watoa huduma  vya ugonjwa wa saratani ya Mlango wa shingo ya Kizazi jijini Dar es Salaam.


Pia amewaelekeza waganga wakuu wa mikoa yote nchini kuanzisha zoezi la wazi la uchunguzi wa saratani ya kizazi angalau mara moja katika mwezi ili kusaidia kutokomeza tatizo hilo nchini.

Akizungumza Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu alipokuwa akipokea vifaa tiba na vifaa vya kufundishia watoa huduma za afya vya ugonjwa wa saratani  ya mlango wa shingo ya kizazi na matiti vyenye thamani ya sh.milioni 98 vilivyotolewa na Shirika la Misaada la Marekani (USAID) na Jhpiego.

“Takwimu zinaonesha kati ya wanawake  10,0000, vifo 32,000 vinavyotokana na saratani ya mlango wa kizazi hutokea na wanaopona ni wacache,” amesema Waziri Ummy.

Aidha amesema kutokana na hali hiyo Serikali imejipanga kuhakikisha hadi kufikia Desemba, 2018 kufikia wanawake milioni 3 kuwapima na kujua kama wanaviashiria vya awali vya ugonjwa huo ili waanze matibabu.

Ameongeza kuwa serikali imejipanga pia kuhakikisha ifikapo Desemba, 2018, kila kituo cha afya cha serikali kiwe kinatoa huduma za matibabu ya Saratani ambapo hadi sasa kati ya vituo 524 ni vituo 255 pekee vinavyotoa huduma hiyo.

Waziri Ummy ameendelea kusisitiza kwa kuwataka Wanganga wakuu wa Mikoa kuhakikisha vituo vyao vya afya vinatoa huduma hiyo bure.

Aidha amewahimiza wanawake kujitokeza katika vituo vya afya kufanyiwa vipimo ili wakibainika kuwa na viashiria vya ugonjwa huo waanze matibabu.


Kwa upende wake Mkurugenzi wa Jhpiego Jeremie Zoungrana  amesema msaada huo waliotoa ni kwa ajili ya kuunga mkono Serikali ya Awamu ya Tano katika kupambana na vifo vya wanawake vinavyotokana na saratani.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.