Skip to main content

Waziri Ummy apokea vifaa tiba vya saratani


Na Mwandishi Wetu

TAKWIMU zinaonesha kwamba, kati ya wanawake 10,0000, wanawake 32,000 hufariki kutokana na ugonjwa wa saratani ya mlango wa shingo ya kizazi.

Waziri wa Afya, Mendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akikabidhiwa vifaa tiba na vya kufundishia watoa huduma  vya ugonjwa wa saratani ya Mlango wa shingo ya Kizazi jijini Dar es Salaam.


Pia amewaelekeza waganga wakuu wa mikoa yote nchini kuanzisha zoezi la wazi la uchunguzi wa saratani ya kizazi angalau mara moja katika mwezi ili kusaidia kutokomeza tatizo hilo nchini.

Akizungumza Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu alipokuwa akipokea vifaa tiba na vifaa vya kufundishia watoa huduma za afya vya ugonjwa wa saratani  ya mlango wa shingo ya kizazi na matiti vyenye thamani ya sh.milioni 98 vilivyotolewa na Shirika la Misaada la Marekani (USAID) na Jhpiego.

“Takwimu zinaonesha kati ya wanawake  10,0000, vifo 32,000 vinavyotokana na saratani ya mlango wa kizazi hutokea na wanaopona ni wacache,” amesema Waziri Ummy.

Aidha amesema kutokana na hali hiyo Serikali imejipanga kuhakikisha hadi kufikia Desemba, 2018 kufikia wanawake milioni 3 kuwapima na kujua kama wanaviashiria vya awali vya ugonjwa huo ili waanze matibabu.

Ameongeza kuwa serikali imejipanga pia kuhakikisha ifikapo Desemba, 2018, kila kituo cha afya cha serikali kiwe kinatoa huduma za matibabu ya Saratani ambapo hadi sasa kati ya vituo 524 ni vituo 255 pekee vinavyotoa huduma hiyo.

Waziri Ummy ameendelea kusisitiza kwa kuwataka Wanganga wakuu wa Mikoa kuhakikisha vituo vyao vya afya vinatoa huduma hiyo bure.

Aidha amewahimiza wanawake kujitokeza katika vituo vya afya kufanyiwa vipimo ili wakibainika kuwa na viashiria vya ugonjwa huo waanze matibabu.


Kwa upende wake Mkurugenzi wa Jhpiego Jeremie Zoungrana  amesema msaada huo waliotoa ni kwa ajili ya kuunga mkono Serikali ya Awamu ya Tano katika kupambana na vifo vya wanawake vinavyotokana na saratani.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...