Skip to main content

VYUO MBALIMBALI NCHINI VYATAKIWA KUWA NA UHUSIANO BORA KWA JAMII



Mkurugenzi wa Aga Khan Foundation na Taasisi ya maendeleo ya Binadamu, Profesa Kofi Marfo(wakatikati),Mkuu wa Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKU), Profesa Joe Lugalla(wakwanza kushoto) wakizungumza na wanahabari jijini Dar es salaam
Na Mariamu Muhando Dar es salaam
Imeelezwa kuwa zaidi ya watoto milioni 250 ulimwenguni wameshindwa kupata matibabu ya utapiamlo kutokana na umasikini katika kipindi cha miaka ya mwanzo tangu mtoto kuzaliwa .

Hayo yamebainishwa katika maadhimisho Mkutano wa Kimataifa wa kujadili malezi na makuzi ya watoto uliomalizika leo jijini Dar es Salaam ambapo wasomi,na watafiti kutoka nchi mbalimbali wameshiriki kwenye mkuano huo.

Akizungumza na waandishi wa Habari Mkurugenzi wa Aga Khan Foundation na Taasisi ya maendeleo ya Binadamu, Profesa Kofi Marfo, amesema kuwa ni wajibu wa maendeleo ya watoto hutegemea kila mtu kuanzia wazazi, jamii hadi Taifa.

Kwa upande wake Mkuu wa Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKU), Profesa Joe Lugalla amesema vyuo vyote vinapaswa kuonyesha uhusiano bora kwa jamii ili viweze kuleta huduma za mipango ambazo zitaimarisha misingi ya maendeleo ya binadamu.
  
Mkutano huo umefanyika kwa muda wa siku tatu umeandaliwa na Taasisi ya Chuo Kikuu cha Aga Khan, Taasisi ya Maendeleo ya Binadamu (IHD) kwa kushirikiana na The Conrad Hilton Foundation.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.