Skip to main content

VYUO MBALIMBALI NCHINI VYATAKIWA KUWA NA UHUSIANO BORA KWA JAMII



Mkurugenzi wa Aga Khan Foundation na Taasisi ya maendeleo ya Binadamu, Profesa Kofi Marfo(wakatikati),Mkuu wa Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKU), Profesa Joe Lugalla(wakwanza kushoto) wakizungumza na wanahabari jijini Dar es salaam
Na Mariamu Muhando Dar es salaam
Imeelezwa kuwa zaidi ya watoto milioni 250 ulimwenguni wameshindwa kupata matibabu ya utapiamlo kutokana na umasikini katika kipindi cha miaka ya mwanzo tangu mtoto kuzaliwa .

Hayo yamebainishwa katika maadhimisho Mkutano wa Kimataifa wa kujadili malezi na makuzi ya watoto uliomalizika leo jijini Dar es Salaam ambapo wasomi,na watafiti kutoka nchi mbalimbali wameshiriki kwenye mkuano huo.

Akizungumza na waandishi wa Habari Mkurugenzi wa Aga Khan Foundation na Taasisi ya maendeleo ya Binadamu, Profesa Kofi Marfo, amesema kuwa ni wajibu wa maendeleo ya watoto hutegemea kila mtu kuanzia wazazi, jamii hadi Taifa.

Kwa upande wake Mkuu wa Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKU), Profesa Joe Lugalla amesema vyuo vyote vinapaswa kuonyesha uhusiano bora kwa jamii ili viweze kuleta huduma za mipango ambazo zitaimarisha misingi ya maendeleo ya binadamu.
  
Mkutano huo umefanyika kwa muda wa siku tatu umeandaliwa na Taasisi ya Chuo Kikuu cha Aga Khan, Taasisi ya Maendeleo ya Binadamu (IHD) kwa kushirikiana na The Conrad Hilton Foundation.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...