Skip to main content

Azam , Mtibwa Sugar zatoshana nguvu kwa sare ya bao 1-1

Timu ya Azam FC jana usiku imetoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) uliofanyika Uwanja Azam Cmplex.


Timu ya Azam FC imetoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi
 Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) uliofanyika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar
es Salaam, jana usiku.




Sare hiyo inaifanya Azam FC kufikisha jumla ya pointi 23 kwenye msimamo wa
ligi hiyo sawa na vinara Simba wanaoongoza kwa tofauti ya mabao ya kufunga na
 kufungwa.

Mchezo huo uliokuwa mkali na wa aina yake ilishuhudiwa timu zote zikionyeshana
 upinzani lakini Azam FC ilionekana kuutawala kwa kiasi fulani, ambayo ilijipatia
bao la uongozi dakika ya 56 likifungwa kwa
kichwa na winga Enock Atta akiunganisha krosi iliyopigwa na Mbaraka Yusuph.

Hilo ni bao la kwanza kwa Atta kwenye msimu huu wa ligi likiwa pia la kwanza kufunga
 katika ligi hiyo tokea usajili wake ulipokamilika msimu huu.

Mtibwa Sugar ilisubiri hadi dakika ya 75 kuweza kusawazisha bao hilo lililofungwa na
mshambuliaji Kelvin Sabato kwa mpira wa adhabu ndogo ya moja kwa moja nje kidogo ya
eneo la 18.

Kocha Mkuu wa Azam FC, Aristica Cioaba, alianza kutumikia adhabu yake ya kutokaa benchini
 kwa mechi tatu kuanzia mechi ya leo (Mtibwa Sugar) baada ya Kamati ya Saa 72 kudai
alimzonga mwamuzi kwenye mchezo dhidi ya Ruvu Shooting.

Mara baada ya mchezo huo, ligi hiyo inatarajia kusimama kwa wiki mbili kupisha michuano
ya Kombe la Chalenji itakayofanyika nchini Kenya kuanzia mwezi ujao huku timu ya Taifa
ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ ikiwa ni moja ya timu shiriki.

Kutokana na programu hiyo, kikosi cha Azam FC kinatarajia kupumzika kwa siku tatu na
kuanza rasmi mazoezi Ijumaa hii kuendelea na maandalizi ya mechi zijazo.

Kikosi cha Azam kilichocheza:
Razak Abalora, Daniel Amoah, Bruce Kangwa, Agrey Moris, Yakubu Mohammed, Salmin
Hoza, Enock Atta/Ramadhan Singano dk 83, Frank Domayo/Idd Kipagwile dk 64, Yahya
Zayd, Salum Abubakar, Mbaraka Yusuph

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...