Skip to main content

Soma hii ..... wagombea wawili wa udiwani wajitoa


Na mwandishi wetu
WAGOMBEA wawili wa udiwani, Lunda Rashid Ulaya(CHADEMA) kata ya Milongodi wilayani Tandahimba mkoani Mtwara  na Juma Mohamed Siyame wa  Chama cha ACT Wazalendo kutoka kata ya Ndalambo katika Halmashauri ya Momba. wamejiondoa katika kinyanganyiro hicho
Watendaji wa wakuu wa NEC

Taarifa hiyo inasema
"Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeridhia kujitoa kwa wagombea wawili wa Udiwani katika Kata ya Milongodi, Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Mkoani Mtwara na Kata ya Ndalambo katika Halmashauri ya Wilaya Momba  mkoani  Songwe.
Wagombea  waliojitoa ni Ndugu Lunda Rashid Ulaya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka katika kata ya Milongodi Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba na Juma Mohamed Siyame wa  Chama cha ACT Wazalendo kutoka kata ya Ndalambo katika Halmashauri ya Momba.

Katika kikao cha chake kilichofanyika tarehe 14/11/2017 jijini Dar es Salaam, Tume imeridhia  uamuzi wa kujiondoa kwa wagombea hao wawili katika nafasi ya udiwani, baada ya kukamilisha taratibu zote za kujitoa.

Miongoni mwa taratibu hizo ni mgombea kuandika barua kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo au msimamizi msaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata kumjulisha uamuzi wa kujitoa .

Katika barua yake kwenda kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata, mgombea wa kata ya Milongodi Ndugu Lunda Rashid Ulaya katika barua yake ya tarehe 4/11/2017 hakueleza sababu zilizomfanya ajitoe kwenye kinyang’anyiro hicho cha kugombea udiwani.

Kwa upande wake mgombea wa ACT WAZALENDO Ndugu Juma Mohamed Siyame, katika barua yake ya tarehe 10/11/2017 alieleza sababu za kujitoa  ni kuwa na majukumu ya kifamilia na hivyo asingeweza kumudu kuwatumikia wananchi wa Ndalambo katika shughuli mbalimbali za maendeleo.

Kutokana na kujiondoa kwa wagombea hao, idadi ya wagombea waliobaki katika kinyang’anyiro hicho sasa ni 151. Uchaguzi mdogo wa madiwani unafanyika katika kata 43 ambazo ziko katika Halmashauri 36   kwenye mikoa 19   Novemba 26, 2017.



Kailima, R.K
MKURUGENZI WA UCHAGUZI

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...