Skip to main content

Jumuiya ya Wazazi Kinondoni yasema CCM iaibuka na ushindi Mbweni





Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Kinondoni Ibrahm 
mwaipopo amesema kuwa wanauhakika wa kupata ushindi kata ya Mbweni iliyopo
katika  wilaya hiyo.


Hali hiyo imekuja kufuatia Tume ya Taifa ya uchaguzi kutangaza kufanyika
kwa Uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 43 za Tanzania Bara.




Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo, leo amezindua kwa kishindo kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani katika Kata ya Mbweni, Wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam, akifuatana na viongozi mbalimbali wa Chama akiwemo Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Saad Kusilawe. 
  Pichani, Mpogolo akimnadi mgombea wa Udiwani katika Kata hiyo kwa tiketi ya CCM, Hashim Mbonde katika mkutano uliofanyika kwenye Viwanja vya Ofisi ya afisa Mtendaji Kata ya Mbweni. Kumradhi, Kutokana na muda hatukuweza kuweka maelezo kwenye picha zote, tafadhali pitia moja baada ya nyingine utapata taswira nzima ya shughuli hiyo nzito. Picha zote na Bashir Nkoromo


Akizungumza na mwandihi wa habari hizi Dar es Salaam jana Mwaipopo alisema
kuwa kwa sasa kampeni za uchaguzi zilisha anza na wamekuwa wakifanya
kampeni hizo katika hali ya utulivu na moja ya vipaumbele kwa wakazi
wa Mbweni katika kampeni ni tumeahdi kuwapatia maji wananchi.

"Tulianza kampeni mara tu Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutangaza uchaguzi
mdogo wa Madiwani kufanyika kata 43 za Tanzania Bara na tayari tumeanza
kutatua kero ya maji kwa wakazi wa kaka ya Mbweni,"alisema Mwaipopo.

Alisema kuwa baada ya uchaguzi mkuu wa 215 kuwa umemalizika tayari 
katika wilaya yake ya Kinondo walisha weza kufanya chakuzi zingine
za mitaa na CCM iliibuka mshindi kwa kuwagalagaza wapinzani wao 
katika mtaa ambapo katika uchaguzi ujao Mbweni wanauhakika wa kushinda
kwa kuwa sera nzuri na utekelezaji wa malengo wamekuwa wakifanya
katika kuhudumia wananchi  kama chama kinacho ongoza serikali ya awamu ya
tano.

Kwa kuzingatia mashart ya vifungu vya sheria, sheria ya kifungu cha 13(3) cha 
uchaguzi ,sheria ya serikali za mitaa ,sura ya 292 imetaja uchaguzi wa 
kujaza nafasi wazi za madiwani zinapotokea  kwa njia ya uchaguzi angalau
mara mbili katika kipindi cha mwaka wa kalenda. 
















































Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...