Skip to main content

Jumuiya ya Wazazi Kinondoni yasema CCM iaibuka na ushindi Mbweni





Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Kinondoni Ibrahm 
mwaipopo amesema kuwa wanauhakika wa kupata ushindi kata ya Mbweni iliyopo
katika  wilaya hiyo.


Hali hiyo imekuja kufuatia Tume ya Taifa ya uchaguzi kutangaza kufanyika
kwa Uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 43 za Tanzania Bara.




Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo, leo amezindua kwa kishindo kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani katika Kata ya Mbweni, Wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam, akifuatana na viongozi mbalimbali wa Chama akiwemo Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Saad Kusilawe. 
  Pichani, Mpogolo akimnadi mgombea wa Udiwani katika Kata hiyo kwa tiketi ya CCM, Hashim Mbonde katika mkutano uliofanyika kwenye Viwanja vya Ofisi ya afisa Mtendaji Kata ya Mbweni. Kumradhi, Kutokana na muda hatukuweza kuweka maelezo kwenye picha zote, tafadhali pitia moja baada ya nyingine utapata taswira nzima ya shughuli hiyo nzito. Picha zote na Bashir Nkoromo


Akizungumza na mwandihi wa habari hizi Dar es Salaam jana Mwaipopo alisema
kuwa kwa sasa kampeni za uchaguzi zilisha anza na wamekuwa wakifanya
kampeni hizo katika hali ya utulivu na moja ya vipaumbele kwa wakazi
wa Mbweni katika kampeni ni tumeahdi kuwapatia maji wananchi.

"Tulianza kampeni mara tu Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutangaza uchaguzi
mdogo wa Madiwani kufanyika kata 43 za Tanzania Bara na tayari tumeanza
kutatua kero ya maji kwa wakazi wa kaka ya Mbweni,"alisema Mwaipopo.

Alisema kuwa baada ya uchaguzi mkuu wa 215 kuwa umemalizika tayari 
katika wilaya yake ya Kinondo walisha weza kufanya chakuzi zingine
za mitaa na CCM iliibuka mshindi kwa kuwagalagaza wapinzani wao 
katika mtaa ambapo katika uchaguzi ujao Mbweni wanauhakika wa kushinda
kwa kuwa sera nzuri na utekelezaji wa malengo wamekuwa wakifanya
katika kuhudumia wananchi  kama chama kinacho ongoza serikali ya awamu ya
tano.

Kwa kuzingatia mashart ya vifungu vya sheria, sheria ya kifungu cha 13(3) cha 
uchaguzi ,sheria ya serikali za mitaa ,sura ya 292 imetaja uchaguzi wa 
kujaza nafasi wazi za madiwani zinapotokea  kwa njia ya uchaguzi angalau
mara mbili katika kipindi cha mwaka wa kalenda. 
















































Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...