Skip to main content

Jumuiya ya Wazazi Kinondoni yasema CCM iaibuka na ushindi Mbweni





Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Kinondoni Ibrahm 
mwaipopo amesema kuwa wanauhakika wa kupata ushindi kata ya Mbweni iliyopo
katika  wilaya hiyo.


Hali hiyo imekuja kufuatia Tume ya Taifa ya uchaguzi kutangaza kufanyika
kwa Uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 43 za Tanzania Bara.




Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo, leo amezindua kwa kishindo kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani katika Kata ya Mbweni, Wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam, akifuatana na viongozi mbalimbali wa Chama akiwemo Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Saad Kusilawe. 
  Pichani, Mpogolo akimnadi mgombea wa Udiwani katika Kata hiyo kwa tiketi ya CCM, Hashim Mbonde katika mkutano uliofanyika kwenye Viwanja vya Ofisi ya afisa Mtendaji Kata ya Mbweni. Kumradhi, Kutokana na muda hatukuweza kuweka maelezo kwenye picha zote, tafadhali pitia moja baada ya nyingine utapata taswira nzima ya shughuli hiyo nzito. Picha zote na Bashir Nkoromo


Akizungumza na mwandihi wa habari hizi Dar es Salaam jana Mwaipopo alisema
kuwa kwa sasa kampeni za uchaguzi zilisha anza na wamekuwa wakifanya
kampeni hizo katika hali ya utulivu na moja ya vipaumbele kwa wakazi
wa Mbweni katika kampeni ni tumeahdi kuwapatia maji wananchi.

"Tulianza kampeni mara tu Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutangaza uchaguzi
mdogo wa Madiwani kufanyika kata 43 za Tanzania Bara na tayari tumeanza
kutatua kero ya maji kwa wakazi wa kaka ya Mbweni,"alisema Mwaipopo.

Alisema kuwa baada ya uchaguzi mkuu wa 215 kuwa umemalizika tayari 
katika wilaya yake ya Kinondo walisha weza kufanya chakuzi zingine
za mitaa na CCM iliibuka mshindi kwa kuwagalagaza wapinzani wao 
katika mtaa ambapo katika uchaguzi ujao Mbweni wanauhakika wa kushinda
kwa kuwa sera nzuri na utekelezaji wa malengo wamekuwa wakifanya
katika kuhudumia wananchi  kama chama kinacho ongoza serikali ya awamu ya
tano.

Kwa kuzingatia mashart ya vifungu vya sheria, sheria ya kifungu cha 13(3) cha 
uchaguzi ,sheria ya serikali za mitaa ,sura ya 292 imetaja uchaguzi wa 
kujaza nafasi wazi za madiwani zinapotokea  kwa njia ya uchaguzi angalau
mara mbili katika kipindi cha mwaka wa kalenda. 
















































Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.