Skip to main content

TAKUKURU:YAMSAKA GODFREY JOHN POPOTE ALIPO


Naibu mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU Brigedia Jenerali John Julias 
Na Mussa.N.Khalid 
Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa NCHINI TAKUKURU imewataka watanzania kuonyesha ushirikiano wa kumtafuta mmoja kati ya wafanyakazi wa TAKUKURU Godfrey John Lugani kutokana na kosa la kujikusanyia mali pasipo kutoa maelezo ya mali hizo.

Hayo yameelezwa leo na Naibu mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU Brigedia Jenerali John Julias wakati akizungumza na wanahabari jijini Dar es salaam ambapo amesema kwa mujibu wa sheria ya kupambana na rushwa ni kosa la jinai kwa mtumishi kuwa na mali ambazo zimezidi kipato chake.

Brigedia Jenerali John amesema kutokana na hilo wanaendelea kumtafuta Godfrey popote pale alipo ili aweze kutoa taarifa kamili ya kwa kuweza kutumia ofisi kwa matumizi mabaya kwa kuweza  kujikusanyia mali nyingi hivyo amewataka watanzania kutoa taarifa pindi watakapo baini kuwa anakosa hilo.

Amesema  mali ambazo Godfrey amejikusanyia kuwa ni pamoja na nyumba za kifahari za gorofa magari,pamoja na viwanja katika maeneo mbalimbali nchini.

Hata hivyo Brigedia Jenerali John ametoa angalizo kwa watumishi wote wa umma kuwa ni kosa kujipatia mali nje ya utaratibu wa serikali na hivyo watakaobainika watawachukulia hatua kali za kisheria ili mali za serikali ziweze kuwa salama.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...