Skip to main content

TUMIENI MALIGHAFI ZA NCHINI KATIKA VIWANDA VYENU- MAKAMU WA RAIS JAMII POSTED ON WEDNESDAY, 15 NOVEMBER 2017 08:24 WRITTEN BY MJENGWABLOG Email Add new comment Rate this item1 2 3 4 5 (0 votes) Serikali imezitaka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kutumia malighafi zinazopatikana katika nchi hizo kwa ajili ya viwanda badala ya kuagiza nje. Rai hiyo imetolewa leo jijini Dar es salaam na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akifungua Mkutano wa Pili wa Biashara na Ujasiriamali ya Afrika Mashariki. “Ndoto yetu ya uchumi wa viwanda sio kuhamishia viwanda vya nje hapa nchini bali ni kuwa wabunifu na kujenga viwanda vyetu wenyewe,” amesema Samia. Amesema ujenzi wa uchumi wa viwanda uendane na kufanya kilimo chenye tija ambacho kinalenga kuwaondolea umaskini wananchi. “Wakulima wetu hawana uhakika na soko la mazao yao kwani wanapopata mazao kwa wingi, bei inashuka, wakati wa ukame mazao yanaharibika, hivyo kwao nyakati zote ni taabu,” amesema Mhe. Samia. Makamu wa Rais amewataka wakulima waongeze thamani ya mazao yao badala ya kuuza mazao ghafi. Kwa kufanya hivyo watajiongezea kipato na kuondokana na umaskini, aliongeza Samia. Uanzishwaji wa viwanda katika Jumuiya ya Afrika mashariki utasaidia katika kuinua kilimo kwani mazao hayo yatapata uhakika wa soka kwenye viwanda hivyo. Amezitaka nchi hizo kutengeneza ajira hasa kwa vijana ambao takwimu zinaonyesha kuwa ndio wengi, hivyo ni muhimu kuwapa kipaumbele. Serikali na sekta binafsi zimetakiwa kufanya juhudi za makusudi kuanzisha viwanda ambavyo vitaongeza ajira na kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa viwanda. Aidha, Mhe. Samia amezitaka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kudumisha amani kwani bila amani uwekezaji katika viwanda na maeneo mengine hauwezekeni. Amani ni bidhaa adimu ambayo inapatikana kwa gharama, hivyo siyo ya kuchezea bali ni ya kulindwa, aliongeza Mhe. Samia. Huu ni Mkutano wa Pili ambao unajumuisha washiriki kutoka, Kenya, Burundi, Rwanda, Uganda na wenyeji Tanzania. Katika Mkutano huo yanafanyika maonyesho ya wajasiriamali kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashiriki. Na Jonas Kamaleki- MAELEZO


Serikali imezitaka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kutumia malighafi zinazopatikana katika nchi hizo kwa ajili ya viwanda badala ya kuagiza nje.
Rai hiyo imetolewa leo jijini Dar es salaam na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akifungua Mkutano wa Pili wa Biashara na Ujasiriamali ya Afrika Mashariki.
“Ndoto yetu ya uchumi wa viwanda sio kuhamishia viwanda vya nje hapa nchini bali ni kuwa wabunifu na kujenga viwanda vyetu wenyewe,” amesema Samia.
Amesema ujenzi wa uchumi wa viwanda uendane na kufanya kilimo chenye tija ambacho kinalenga kuwaondolea umaskini wananchi.
“Wakulima wetu hawana uhakika na soko la mazao yao kwani wanapopata mazao kwa wingi, bei inashuka, wakati wa ukame mazao yanaharibika, hivyo kwao nyakati zote ni taabu,” amesema Mhe. Samia.
Makamu wa Rais amewataka wakulima waongeze thamani ya mazao yao badala ya kuuza mazao ghafi. Kwa kufanya hivyo watajiongezea kipato na kuondokana na umaskini, aliongeza Samia.
Uanzishwaji wa viwanda katika Jumuiya ya Afrika mashariki utasaidia katika kuinua kilimo kwani mazao hayo yatapata uhakika wa soka kwenye viwanda hivyo.

Amezitaka nchi hizo kutengeneza ajira hasa kwa vijana ambao takwimu zinaonyesha kuwa ndio wengi, hivyo ni muhimu kuwapa kipaumbele.
Serikali na sekta binafsi zimetakiwa kufanya juhudi za makusudi kuanzisha viwanda ambavyo vitaongeza ajira na kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa viwanda.
Aidha, Mhe. Samia amezitaka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kudumisha amani kwani bila amani uwekezaji katika viwanda na maeneo mengine hauwezekeni.
Amani ni bidhaa adimu ambayo inapatikana kwa gharama, hivyo siyo ya kuchezea bali ni ya kulindwa, aliongeza Mhe. Samia.
Huu ni Mkutano wa Pili ambao unajumuisha washiriki kutoka, Kenya, Burundi, Rwanda, Uganda na wenyeji Tanzania. Katika Mkutano huo yanafanyika maonyesho ya wajasiriamali kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashiriki.
Na Jonas Kamaleki- MAELEZO

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.