Skip to main content

WADAU WA MIFUGO WAMEIOMBA SERIKALI WASIHAME HAME KUNASABABISHA UFUGAJI USIO NA TIJA





Wadau
wa mifugo  imeshauriwa kuweka mazingira mazuri kwa sekta ya mifugo ili kuongeza uzalishaji wa bidhaa zinazotokana na mifugo.
Wadau wa sekta hiyo wamesema hayo Dar es Salaam Jumanne Novemba 28,2017 wakati wa uzinduzi wa mkakati wa ushawishi wa sera ya mifugo ulioandaliwa na jukwaa lawadau wa kilimo (Ansaf)ambapo wametaka Serikali ihakikishe wafugaji wanafanya shughuli zao katikamaeneo yanayoeleweka na si kuhamahama kama ilivyo sasa.
Hadi sasa sekta ya ufugaji inatajwa kama  sekta inayokuwa kwa kasi ya asilimia 5o hapa nchini hapa huku Tanzania ikitajwa kuwa ni nchi ya tatukwa kuwa na wanyama wanaofugwa baada ya nchi za Ethiopia na Sudani.
Katibu mkuu wa chama cha wafugaji nchini, Magembe Makoye amesema kuhamahama wafugaji kunasababisha ufugaji usio na tija na manufaa kwa viwanda, hivyo sekta hiyo kuendelea kuendeshwa kwa mazoea.
“Hatuwezi kuzungumzia ufugaji wa tija au uchumi wa viwanda kama wafugaji wataendelea kuzunguka na kuhamahama. Muhimu wahakikishiwe usalama na utulivu wafanye shughuli zao, itakuwa rahisi hata kuwashawishi wawekezaji kuwekeza kwenye sekta hii,” amesema.
Mjumbe wa bodi ya maziwa, Charles Tumaini amelalamikia urasimu uliopo katika uanzishaji wa viwanda hali inayowakatisha tamaa vijana wenye lengo la kuanzisha viwanda vidogovidogo.
 “Tunaposema Tanzania ya viwanda lazima malighafi ziwe za ndani,  utakuta mtu ana kiasi chake kidogo cha fedha anataka kuanzisha kiwanda cha kusindika maziwa atakutana na vikwazo hadi asitishe wazo hilo.”Amesema.
“Hatuwezi kupiga hatua kwa idadi hii ya viwanda tulivyonavyo. Viwanda vilivyopo vina uwezo wa kusindika lita 700,000 kwa mwezi lakini vinapata lita 200,000 pekee. Tuone hii ni changamoto tunayotakiwa kuifanyia kazi,” amesema.
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dk Maria Mashingo naye alisema wakati umefika  kwa wafugaji kuacha kufuga kwa mazoea na kuangalia zaidi biashara.
Amesema mkakati wa miaka 10 wa wizara hiyo unaonyesha kutakuwa na ongezeko la mahitaji ya nyama, hivyo ni muhimu kwa wafugaji kuchangamkia fursa hiyo.Dk Mashigo ameomba wakala wa misitu kuruhusu majani yaliyopo misituni kutumika kwa malisho ya mifugo.
wakati huo huo Mkurugenzi Mtendaji wa Ansaf, Audax Rukonge amesema mkakati uliozinduliwa unalenga kuhamasisha ushiriki wa wawekezaji kutoka sekta binafsi.
Wakati hayo yakitajwa leo sekta ya ufugaji inatazamiwa kujangia maendeleo ifikapo mwaka 2020 sensa hadi sasa inasemwa kuwa sekta ya ufugaji imechangia takribani asilimia 7:47 mpaka 10.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.