Skip to main content

WADAU WA MIFUGO WAMEIOMBA SERIKALI WASIHAME HAME KUNASABABISHA UFUGAJI USIO NA TIJA





Wadau
wa mifugo  imeshauriwa kuweka mazingira mazuri kwa sekta ya mifugo ili kuongeza uzalishaji wa bidhaa zinazotokana na mifugo.
Wadau wa sekta hiyo wamesema hayo Dar es Salaam Jumanne Novemba 28,2017 wakati wa uzinduzi wa mkakati wa ushawishi wa sera ya mifugo ulioandaliwa na jukwaa lawadau wa kilimo (Ansaf)ambapo wametaka Serikali ihakikishe wafugaji wanafanya shughuli zao katikamaeneo yanayoeleweka na si kuhamahama kama ilivyo sasa.
Hadi sasa sekta ya ufugaji inatajwa kama  sekta inayokuwa kwa kasi ya asilimia 5o hapa nchini hapa huku Tanzania ikitajwa kuwa ni nchi ya tatukwa kuwa na wanyama wanaofugwa baada ya nchi za Ethiopia na Sudani.
Katibu mkuu wa chama cha wafugaji nchini, Magembe Makoye amesema kuhamahama wafugaji kunasababisha ufugaji usio na tija na manufaa kwa viwanda, hivyo sekta hiyo kuendelea kuendeshwa kwa mazoea.
“Hatuwezi kuzungumzia ufugaji wa tija au uchumi wa viwanda kama wafugaji wataendelea kuzunguka na kuhamahama. Muhimu wahakikishiwe usalama na utulivu wafanye shughuli zao, itakuwa rahisi hata kuwashawishi wawekezaji kuwekeza kwenye sekta hii,” amesema.
Mjumbe wa bodi ya maziwa, Charles Tumaini amelalamikia urasimu uliopo katika uanzishaji wa viwanda hali inayowakatisha tamaa vijana wenye lengo la kuanzisha viwanda vidogovidogo.
 “Tunaposema Tanzania ya viwanda lazima malighafi ziwe za ndani,  utakuta mtu ana kiasi chake kidogo cha fedha anataka kuanzisha kiwanda cha kusindika maziwa atakutana na vikwazo hadi asitishe wazo hilo.”Amesema.
“Hatuwezi kupiga hatua kwa idadi hii ya viwanda tulivyonavyo. Viwanda vilivyopo vina uwezo wa kusindika lita 700,000 kwa mwezi lakini vinapata lita 200,000 pekee. Tuone hii ni changamoto tunayotakiwa kuifanyia kazi,” amesema.
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dk Maria Mashingo naye alisema wakati umefika  kwa wafugaji kuacha kufuga kwa mazoea na kuangalia zaidi biashara.
Amesema mkakati wa miaka 10 wa wizara hiyo unaonyesha kutakuwa na ongezeko la mahitaji ya nyama, hivyo ni muhimu kwa wafugaji kuchangamkia fursa hiyo.Dk Mashigo ameomba wakala wa misitu kuruhusu majani yaliyopo misituni kutumika kwa malisho ya mifugo.
wakati huo huo Mkurugenzi Mtendaji wa Ansaf, Audax Rukonge amesema mkakati uliozinduliwa unalenga kuhamasisha ushiriki wa wawekezaji kutoka sekta binafsi.
Wakati hayo yakitajwa leo sekta ya ufugaji inatazamiwa kujangia maendeleo ifikapo mwaka 2020 sensa hadi sasa inasemwa kuwa sekta ya ufugaji imechangia takribani asilimia 7:47 mpaka 10.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...