Skip to main content

Azam FC yaanza kutoa tambo :Ubingwa mwaka huu Chamanzi



KLABU ya Azam FC  inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara imesema msimu huu imedhamiria kutwaa tena ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na baada ya mwanzo mzuri wanataka kuendeleza kasi.
Meneja wa Azam FC, Philipo Alando ameiambia Bin Zubeiry Sports – Online kwamba hadi sasa wanajivunia mwenendo wao katika Ligi Kuu, wakiwa hawajapoteza mechi.


Hayo yamesemwa na Alando, ambaye ni mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo, amesema kwamba mashabiki na wapenzi wa Azam wanapaswa kuwa watulivu na kuendelea kuisapoti timu yao.  
“Mimi wito wangu kwa mashabiki wa Azam FC ni kwamba huu ni msimu ambao watarajie jambo lolote linaweza likatokea kwa sababu tumekwishaonyesha mwanga kwamba wapi tunaelekea, katika mechi tisa ambazo mwenendo ni mzuri na hatujapoteza mechi hata moja,”amesema Alando.


Meneja huyo amewataka pia mashabiki hao kuendelea kuwavumilia wachezaji wapya chipukizi waliosajiliwa na kupandishwa kikosi cha kwanza cha msimu huu.
“Kwa hiyo tunasisitiza kwamba watuvumilie, waendelee kuwavumilia wachezaji wao wawaamini vijana, kwani watakuja kufanya jambo ambalo litawafuta machozi, ambayo yamekuwa kwenye klabu kwa muda mrefu sasa,” alisema.


Azam FC kwa sasa inazidiwa kwa wastani wa mabao tu na Simba SC wanaoongoza Ligi Kuu, timu zote zikiwa na pointi 17 baada ya mechi tisa, wakifuatia na Yanga na Mtibwa Sugar zenye pointi 17 kila moja.
Baada ya mapumziko ya kupisha mechi za kirafiki za kimataifa zikiwemo za kufuzu Kombe la Dunia, Ligi Kuu inatarajiwa kurejea wikiendi hii na Ijumaa Singida United wataikaribisha Lipuli ya Iringa Uwanja wa Namfua, wakati Azam FC watakuwa wageni wa Njombe Mji FC Jumamosi Uwanja wa Saba Saba.
Azam FC wana taji moja tu la Ligi Kuu kwenye kabati lao, walilotwaa mwaka 2013-2014 baada ya kupanda msimu wa 2008-2009.
Mechi nyingine za Jumamosi, Ruvu Shooting watakuwa wenyeji wa Ndanda FC Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani, Stand United n Mwadui FC Uwanja wa Kambarage, Shinyanga, Maji Maji na Mbao FC Uwanja wa Maji Maji mjini Songea na Simba SC dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya, wakati Jumapili Yanga watakuwa wenyeji wa Mbeya City Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...