Skip to main content

Azam FC yaanza kutoa tambo :Ubingwa mwaka huu Chamanzi



KLABU ya Azam FC  inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara imesema msimu huu imedhamiria kutwaa tena ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na baada ya mwanzo mzuri wanataka kuendeleza kasi.
Meneja wa Azam FC, Philipo Alando ameiambia Bin Zubeiry Sports – Online kwamba hadi sasa wanajivunia mwenendo wao katika Ligi Kuu, wakiwa hawajapoteza mechi.


Hayo yamesemwa na Alando, ambaye ni mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo, amesema kwamba mashabiki na wapenzi wa Azam wanapaswa kuwa watulivu na kuendelea kuisapoti timu yao.  
“Mimi wito wangu kwa mashabiki wa Azam FC ni kwamba huu ni msimu ambao watarajie jambo lolote linaweza likatokea kwa sababu tumekwishaonyesha mwanga kwamba wapi tunaelekea, katika mechi tisa ambazo mwenendo ni mzuri na hatujapoteza mechi hata moja,”amesema Alando.


Meneja huyo amewataka pia mashabiki hao kuendelea kuwavumilia wachezaji wapya chipukizi waliosajiliwa na kupandishwa kikosi cha kwanza cha msimu huu.
“Kwa hiyo tunasisitiza kwamba watuvumilie, waendelee kuwavumilia wachezaji wao wawaamini vijana, kwani watakuja kufanya jambo ambalo litawafuta machozi, ambayo yamekuwa kwenye klabu kwa muda mrefu sasa,” alisema.


Azam FC kwa sasa inazidiwa kwa wastani wa mabao tu na Simba SC wanaoongoza Ligi Kuu, timu zote zikiwa na pointi 17 baada ya mechi tisa, wakifuatia na Yanga na Mtibwa Sugar zenye pointi 17 kila moja.
Baada ya mapumziko ya kupisha mechi za kirafiki za kimataifa zikiwemo za kufuzu Kombe la Dunia, Ligi Kuu inatarajiwa kurejea wikiendi hii na Ijumaa Singida United wataikaribisha Lipuli ya Iringa Uwanja wa Namfua, wakati Azam FC watakuwa wageni wa Njombe Mji FC Jumamosi Uwanja wa Saba Saba.
Azam FC wana taji moja tu la Ligi Kuu kwenye kabati lao, walilotwaa mwaka 2013-2014 baada ya kupanda msimu wa 2008-2009.
Mechi nyingine za Jumamosi, Ruvu Shooting watakuwa wenyeji wa Ndanda FC Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani, Stand United n Mwadui FC Uwanja wa Kambarage, Shinyanga, Maji Maji na Mbao FC Uwanja wa Maji Maji mjini Songea na Simba SC dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya, wakati Jumapili Yanga watakuwa wenyeji wa Mbeya City Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.