Skip to main content

Azam FC yaanza kutoa tambo :Ubingwa mwaka huu Chamanzi



KLABU ya Azam FC  inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara imesema msimu huu imedhamiria kutwaa tena ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na baada ya mwanzo mzuri wanataka kuendeleza kasi.
Meneja wa Azam FC, Philipo Alando ameiambia Bin Zubeiry Sports – Online kwamba hadi sasa wanajivunia mwenendo wao katika Ligi Kuu, wakiwa hawajapoteza mechi.


Hayo yamesemwa na Alando, ambaye ni mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo, amesema kwamba mashabiki na wapenzi wa Azam wanapaswa kuwa watulivu na kuendelea kuisapoti timu yao.  
“Mimi wito wangu kwa mashabiki wa Azam FC ni kwamba huu ni msimu ambao watarajie jambo lolote linaweza likatokea kwa sababu tumekwishaonyesha mwanga kwamba wapi tunaelekea, katika mechi tisa ambazo mwenendo ni mzuri na hatujapoteza mechi hata moja,”amesema Alando.


Meneja huyo amewataka pia mashabiki hao kuendelea kuwavumilia wachezaji wapya chipukizi waliosajiliwa na kupandishwa kikosi cha kwanza cha msimu huu.
“Kwa hiyo tunasisitiza kwamba watuvumilie, waendelee kuwavumilia wachezaji wao wawaamini vijana, kwani watakuja kufanya jambo ambalo litawafuta machozi, ambayo yamekuwa kwenye klabu kwa muda mrefu sasa,” alisema.


Azam FC kwa sasa inazidiwa kwa wastani wa mabao tu na Simba SC wanaoongoza Ligi Kuu, timu zote zikiwa na pointi 17 baada ya mechi tisa, wakifuatia na Yanga na Mtibwa Sugar zenye pointi 17 kila moja.
Baada ya mapumziko ya kupisha mechi za kirafiki za kimataifa zikiwemo za kufuzu Kombe la Dunia, Ligi Kuu inatarajiwa kurejea wikiendi hii na Ijumaa Singida United wataikaribisha Lipuli ya Iringa Uwanja wa Namfua, wakati Azam FC watakuwa wageni wa Njombe Mji FC Jumamosi Uwanja wa Saba Saba.
Azam FC wana taji moja tu la Ligi Kuu kwenye kabati lao, walilotwaa mwaka 2013-2014 baada ya kupanda msimu wa 2008-2009.
Mechi nyingine za Jumamosi, Ruvu Shooting watakuwa wenyeji wa Ndanda FC Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani, Stand United n Mwadui FC Uwanja wa Kambarage, Shinyanga, Maji Maji na Mbao FC Uwanja wa Maji Maji mjini Songea na Simba SC dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya, wakati Jumapili Yanga watakuwa wenyeji wa Mbeya City Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...