Skip to main content

WATOTO LAKI 236 ELFU WALIOZALIWA KUANZIA MWAKA 2015 KATI YAO 9,400 WAMEFARIKI


Katibu Mkuu Wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii jinsia Wazee na Watoto  DR Mpoki(kushoto) Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Mhe. Dkt. Detlef Wachter wakionyesha vifaa kwa ajili ya kutolea huduma za matibabu kwa watoto njiti

 

Zaidi ya watoto njiti  laki 236 elfu  waliozaliwa katika kipindi kilichoanzia mwaka 2015 kati yao watoto 9,400 wamefariki kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo  kutokua na ujuzi wa namna ya kuwahudumia pamoja ukosefu wa vifaa vya kuwahudua hapa nchini.

Hayo yameelezwa leo  Jijini Dar es salaam  katika  hafla fupi ya Maadhimisho ya Siku Ya Mtoto Njiti Duniani  ambapo Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii jinsia Wazee na Watoto imekabidhiwa Vifaa mbalimbali vitakavyotumika kutoa huduma ya kuwahudumia watoto hao msaada uliotolewa na taasisi ya  Mradi wa kusaidia Afya Tanzania kutoka nchini  Ujerumani GIZ.

Akizungumza  katika Maadhimisho hayo jana  Katibu Mkuu Wa Wizara hiyo DR Mpoki  Ulusibisya  amsema  watotot wanao zaliwa bila ya kutimiza siku zao ndio wanao changia ongezeko la vifo vya watoto wachanga ambapo shirika hilo limeona Mkoa wa Mtwara na Lindi imekuwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa vifaa hivyo na kusema kuwa vifaa hivyo vitasambazwa katika Mikoa hiyo.

Aidha DR MPOKI amsema GIZ imeweza kutoa mafunzo  Afya ya muda wa miaka miwili kwa watumishi wa  Afya  kwenye vituo vya kutolea huduma huku akielezea namna ambayo vifaa hivyo vitavyo weza msadia mtoto njiti

Kwa upande wake Mganga  Mkuu wa Mkoa wa Mtwara DR  WEDSON SICHALWE amesema hali ya vifo kwa watoto wachanga  imekuwa ni mbaya ambapo asilimia  25 kila mwaka  katika mkoa wa Mtwara wanazaliwa watoto wenye uzito mdogo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.