Skip to main content

WATOTO LAKI 236 ELFU WALIOZALIWA KUANZIA MWAKA 2015 KATI YAO 9,400 WAMEFARIKI


Katibu Mkuu Wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii jinsia Wazee na Watoto  DR Mpoki(kushoto) Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Mhe. Dkt. Detlef Wachter wakionyesha vifaa kwa ajili ya kutolea huduma za matibabu kwa watoto njiti

 

Zaidi ya watoto njiti  laki 236 elfu  waliozaliwa katika kipindi kilichoanzia mwaka 2015 kati yao watoto 9,400 wamefariki kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo  kutokua na ujuzi wa namna ya kuwahudumia pamoja ukosefu wa vifaa vya kuwahudua hapa nchini.

Hayo yameelezwa leo  Jijini Dar es salaam  katika  hafla fupi ya Maadhimisho ya Siku Ya Mtoto Njiti Duniani  ambapo Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii jinsia Wazee na Watoto imekabidhiwa Vifaa mbalimbali vitakavyotumika kutoa huduma ya kuwahudumia watoto hao msaada uliotolewa na taasisi ya  Mradi wa kusaidia Afya Tanzania kutoka nchini  Ujerumani GIZ.

Akizungumza  katika Maadhimisho hayo jana  Katibu Mkuu Wa Wizara hiyo DR Mpoki  Ulusibisya  amsema  watotot wanao zaliwa bila ya kutimiza siku zao ndio wanao changia ongezeko la vifo vya watoto wachanga ambapo shirika hilo limeona Mkoa wa Mtwara na Lindi imekuwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa vifaa hivyo na kusema kuwa vifaa hivyo vitasambazwa katika Mikoa hiyo.

Aidha DR MPOKI amsema GIZ imeweza kutoa mafunzo  Afya ya muda wa miaka miwili kwa watumishi wa  Afya  kwenye vituo vya kutolea huduma huku akielezea namna ambayo vifaa hivyo vitavyo weza msadia mtoto njiti

Kwa upande wake Mganga  Mkuu wa Mkoa wa Mtwara DR  WEDSON SICHALWE amesema hali ya vifo kwa watoto wachanga  imekuwa ni mbaya ambapo asilimia  25 kila mwaka  katika mkoa wa Mtwara wanazaliwa watoto wenye uzito mdogo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...