Skip to main content

Mazungumzo mapya kuhusu mgogoro wa Burundi kuanza Jumatatu hii Arusha

media
Polisi ikipiga doria katika mitaa ya Ngagara, kaskazini mwa Bujumbura, Aprili 25, 2015.
Mazungumzo mapya kuhusu mgogoro wa kisiasa wa Burundi yanaanza tena Novemba 27 hadi Desemba 8, kwa mujibu wa timu ya Mwezeshaji katika mgogoro huo, rais wa zamani wa Tanzania, Benjamin Mkapa.
Mazungumzo hayo mapya yatakayo dumu wiki mbili yatakua ni yenye maamuzi, kwa mujibu wa chanzo kilio karibu na timu ya Mwezeshaji.
Mazungumo haya yatadumu siku 13 ili kujaribu kutafuta suluhu ya mgogoro huo uliibuka baada ya rais Pierre Nkurunziza kutangaza nia yake ya kuwania muhula wa tatu wa urais mwaka 2015.
Hii itakua mara ya kwanza serikali ya Burundi kushiri mazungumzo nje ya nchi. Serikali imemtuma Katibu wa kudumu kwenye wizara ya Mambo ya Ndani, Therence Ntahiraja kushiriki mazungumzo hayo. Pia kiongozi wa chama tawala Evariste Ndayishimiye, akiambatana na viongozi wa vyama vya upinzani vinavyounga mkono serikali na mashirika ya kiraia kutoka Bujumbura watakuepo mjini Arusha ili kujaribu kushawishi Mwezeshaji katika mgogoro wa Burundi Benjamin Mkapa na wasaidizi wake kuhamisha mazungumzo hayo nchini Burundi.
Katika mazungumzo yaliyotangulia, serikali ya Burundi ilikataa kushiriki mazungumzo ya moja kwa moja na upinzani wenye msimamo mkali, ulio uhamishoni (Cnared), ikiushtumu kuhusika katika jaribio la mapinduzi lililotibuliwa Mei 14, 2015. Hata hivyo Mwezeshaji rais mstaafu wa Tanzania, Benjamin Mkapa, alikua akijaribu kukutana na kila upande katika mgogoro huo.
Kwa mujibu wa chanzo kilio karibu na timu ya Mwezeshaji, mazungumzo haya huenda yakawa ya mwisho kuhusu mchakato wa amani nchini Burundi
Wiki mbili zilizipita msemaji wake Pancrace Cimpaye, alitangaza kwamba muungano wao hautashiriki mazungumzo hayo, ukishtumu Mwezeshaji katika mazungumzo hayo Benjamin Mkapa kuegemea upande wa serikali na kutaka baada ya mazungumzo hayo mazungumzo mengine kuendelea nchini Burundi.
Cnared itakua na mkutano kabambe hii leo mjini Brussels, nchini Ubelgiji kuwachagua viongozi wake wapya, kwa mujibu wa chanzo rasmi kutoka muungano huo.
Awali mabalozi kutoka nchi mbalimbali za Ulaya na Marekani katika kanda ya Afrika Mashariki wana wasiwasi na uamuzi huo wa timu ya usuluhishi wa kikanda, ambayo imetenga Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika, na Umoja wa Ulaya katika maandalizi ya mazungumzo hayo ambayo yanaegemea upande wa rais Nkurunziza, kwa mujibu wa baadhi ya mabalozi.
Machafuko nchini Burundi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 2000 kwa mujibu wa mashirika mablimbali ya haki za binadamu kutoka Burundi n ayale ya kimataifa, na wengine zaidi ya laki tatu kuyahama makazi yao na kukimbilia uhamishoni.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.