Skip to main content

Inaelezwa Watu 235 wauawa nchini Misri baada ya kushambuliwa msikitini


media
Msikiti Kaskazini mwa Misri
Watu 235 wamepoteza maisha katika mkoa wa Sinai nchini Misri baada ya watu waliokuwa wamejihami kwa silaha kuvamia na kushambulia Msikiti mmoja Kaskazini mwa nchi hiyo.
Hili ndilo shambulizi baya zaidi kuwahi kutokea na kushuhudiwa katika miaka ya hivi karibuni.
Walioshuhudia shambulizi hili baya wanasema wavamizi hao wakiwa wamejihami kwa mabomu na silaha, walizingira msikiti huo na kuwashambulia waumini wa Kiislamu waliokuwa msikiti siku ya Ijumaa wakiwa ibadani.
Watu 109 wamejeruhiwa katika shambulizi hilo ambalo serikali ya Misri imesema ni la kigaidi.
Rais Abdel Fattah al-Sisi amelaani shambulizi hilo na kutangaza siku tatu za maombolezo kuwakumbuka waliopoteza maisha.
Al Sisi amesema serikali yake itatumia nguvu kulipiza kisasi dhidi ya magaidi hao.
Rais wa Marekani Donald Trump naye amelaani shambulizi hilo na kusema limetekelezwa na watu waoga.
Waziri wa Mambo ya nje wa Ufaransa Jean-Yves Le Drian na mwenzake wa Uingereza Boris Johnson nao pia wamelaani shambulizi hilo la kigaidi na kusema mataifa yao yanasimama na Misri.
Ahmed Abul Gheit, kiongozi wa muungano wa nchi za kiarabu lenye makao yake jijini Cairo, amesema wavamizi hao wamewauwa watu wasiokuwa na hatia.
Misri imeendelea kukabiliana na visa vya ugaidi nchini humo na kusababisha serikali kupiga makundi kama Muslim Brotherhood.nimeipata kwa https://www.mjengwablog.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.