Skip to main content

TENMET YAWASILISHA HOJA 14 KWA KAMATI YA BUNGE HUDUMA ZA JAMII


Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii, Peter Serukamba akisisitiza jambo katika kikao hicho.


Na Mwandhishi Wetu, Dodoma

MTANDAO wa Elimu Tanzania (TENMET) umekutana na kamati ya Bunge Huduma za Jamii na Maendeleo na kuwasilisha hoja 14 ambazo wameiomba kuikumbusha Serikali kuzifanyia kazi ili kuboresha sekta ya elimu nchini. 

Akiwasilisha hoja hizo mbele ya wajumbe wa kamati hiyo, mwishoni mwa wiki mjini Dodoma, mmoja wa wanachama wa TENMET kutoka ACTIONAID, Bw. Karoli Kadeghe aliiomba Serikali kutenga asilimia 20 ya bajeti ya taifa kwenye sekta ya elimu kama ilivyoahidi, kwani sasa badala ya bajeti kupanda imekuwa ikishuka na ndani ya miaka mitatu imepungua toka asilimia 17 hadi asilimia 15.

Alisema Serikali haina budi kuwekeza zaidi katika kuziba mianya ya upotevu wa mapato na matumizi mabaya ya fedha zinazotolewa kutoka vyanzo vya ndani ili viweze kutumika kufadhili elimu ya msingi na utoaji ruzuku shuleni uzingatieb hali halisi ya mahitaji ya sasa.

Bw. Kadeghe pia aliwaeleza wanakamati hiyo kuikumbusha Serikali juu ya kuanzisha mchakato wa Bodi ya Taaluma ya uwalimu itakayoongeza tija na kulinda maslahi ya walimu katika sekta ya elimu jambo ambalo kimekuwa kilio cha walimu kwa muda sasa.

Aliiomba Serikali kupitia kamati hiyo kuimarisha idara ya kudhibiti ubora (ukaguzi) na ipewe mamlaka na vitendea kazi kiuhalisia ili iweze kufanya kazi yake kiufasaha, kwani bajeti ya mwisho zilitengwa bilioni 42 ambazo hazikupelekwa hadi mwezi machi.

TENMET pia iliiomba Serikali kutoa kipaumbele cha bajeti kwa sekta ya elimu kama ilivyofanywa kwa sekta ya miundombinu miaka miwili iliyopita, na uzingatiwaji wa haki za watoto na kuundwa chombo maalumu cha usimamizi, utungaji na utekelezaji wa sera ya elimu.

Pamoja na hayo, Serikali za mitaa kutunga na kusimamia sheria ndogondogo zitakazo wabana wazazi wanaowanyima watoto haki ya elimu, huku wakiomba fedha za mikopo ya elimu ya juu bajeti kuongezwa na zitenganishwe na fedha za maendeleo ya wizara ya elimu, huku vigezo vya upatikanaji mikopo kupunguzwa.

Aidha ombi lingine ni kutaka kuhimarishwa kwa kamati za shule, kuhamashishwa upya kwa wazazi kuchangia maendeleo ya watoto wao kielimu, kuingiza kipengele cha elimu ya mlipa kodi katika mitaala ya elimu na pia serikali kupunguza vigezo katika upatikanaji wa mikopo ya elimu ya juu na kuongeza bajeti eneo hilo.

Naye, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii, Peter Serukamba aliwaahidi TENMET kuzifuatilia hoja 14 walizowasilisha wanachama wa TENMET ili ziweze kufanyiwa kazi hatua kwa hatua, ikiwa ni pamoja na kuwapongeza kwa uzalendo wanaouonesha kuipigania elimu nchini. 

"...Kwa hiyo ndugu zangu niwaombe na niwahakikishie kama tulivyo kubaliana wakati ule...yale mambo 14 tutaendelea kuyasemea kama kamati, ili tuweze kuendelea kuboresha maendelea ni suala endelevu, sisi kama kamati tutaendelea kuiomba Serikali iwekeze fedha nyingi zaidi kwenye sekta hii ya elimu...maana hakuna mbadala wa elimu," alisema Peter Serukamba.

Kamati hiyo pia iliahidi kutembelea baadhi ya maeneo yenye changamoto kielimu kwa kukagua baadhi ya shule za msingi na sekondari kujionea changamoto na hali halisi ili kuendelea kuishawishi Serikali katika uboreshaji wa bajeti ya sekta ya elimu kiujumla.

Alitumia nafasi hiyo kuikumbusha jamii na hasa wazazi kutokwepa majukumu kwa watoto wao, kwani hakuna mtu anayeweza kujitokeza kazi yake ni kubeba majukumu ya mazazi/walezi kwa watoto wao. "...Lazima tusaidiane kuwakumbusha wazazi kutimiza majukumu yao, haiwezekani mzazi ukazaa alafu atokee mtu wa kutimiza majukumu yako.." alisisitiza mwenyekiti huyo.
Sehemu ya wabunge na wajumbe wa Kamati ya Bunge Huduma za Jamii na Maendeleo wakichangia hoja katika kikao na TENMETkilichofanyika mwishoni mwa wiki mjini Dodoma.
Baadhi ya wajumbe na wanachama wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TENMET) wakichangia hoja mbalimbali katika kikao na wajumbe wa Kamati ya Bunge Huduma za Jamii na Maendeleo kilichofanyika mwishoni mwa wiki mjini Dodoma.

Baadhi ya wajumbe na wanachama wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TENMET) wakichangia hoja mbalimbali katika kikao na wajumbe wa Kamati ya Bunge Huduma za Jamii na Maendeleo kilichofanyika mwishoni mwa wiki mjini Dodoma.
Baadhi ya wajumbe na wanachama wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TENMET) wakichangia hoja mbalimbali katika kikao na wajumbe wa Kamati ya Bunge Huduma za Jamii na Maendeleo kilichofanyika mwishoni mwa wiki mjini Dodoma.
Mwanachama wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TENMET) kutoka taasisi ya ACTIONAID, Bw. Karoli Kadeghe (kushoto) akiwasilisha hoja 14 kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge Huduma za Jamii na Maendeleo mwishoni mwa wiki mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii, Peter Serukamba akizungumza mara baada ya kupokea wasilisho la hoja 14 kutoka kwa wanachama wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TENMET), hoja hizo zililenga maboresho katika sekta ya elimu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...