Skip to main content

Waziri wa Kilimo nchini Josephat Hasunga awataka wakulima nchini kuongeza thamani ya mazao ya kilimo


WAZIRI wa Kilimo Josephat Hasunga amewataka wakulima nchini kuongeza thamani ya mazao   ya kilimo ili wakulima hao wanufaike zaidi.


Ushauri huo ulitolewa na Waziri Hasunga jana alipo wahutubia wadau sekta binafsi ya kilimo nchini katika mkutano wa wadau hao uliofanyika Jijijini Dar es Salaam.

 “Ni wakati wawakulima wetu kubadilika kwakuongeza thamani ya bidha ili kuhimili ushindani wa soko lakini hata kupata faida zaidi ,wakulima wetu wakifundishwa kusindika bidhaa zenye ubora kwakuzingatia usalama wa chakula tunaamini tutaleta mapinduzi ya sekta ya kilimo nchini,” amesema Hasunga.

Hasunga alisema serikali kwakushirikiana na sekta binafsi wanayo mipango mingi ya kuboresha sekta ya kiliomo ambayo ndiyo sekta yenye mchango mkubwa kuliko sekta zote nchini.

Aidha Hasunga amesema hali ya hakiba ya chakula nchini ni ya kuridhisha zaidi ambapo kwa mwaka huu kuna uzalishaji wa chakula kwa asilimia 125 na vikwazo mbalimbali ikiwemo utitiri ushuru ukiwa umeondolewa.

Hasunga aliwaambia wadau hao na wakulima kwa ujumla kuwa Biashara ya kuuza mazao nje ya nchi imefunguliwa na wakulima wana uwezo wa kuuza mazao yao nje ya nchi.

Kuhusu ununuzi wa korosho unaoendelea katika mikoa ya kusini Waziri Hasunga alisema wakulima hao wanaendelea kulipwa na alisema kuwa Korosho zitakazo pelekwa sokoni zote zitakuwa zimebanguliwa hazitauzwa kama korosho ghafi.

Abala Ulega mkulima kutoka Namtumbo aliliambia gazeti hili kuwa serikali iliangalie upya suala la mbolea  na pembejeo kwakuwa hakuna bei elekezi na kumekuwa na mfumuko wa bei usio zingatia hali za wakulima.

“Serikali itoe bei elekezi kwa pembejeo nchini kwakuwa wananchi wanataabika na wengi kipato chetu ni duni,serikali ikitoa tamko la bei elekezi itakuwa imemsaidia mkulima”amesema

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.