Skip to main content

Waziri wa Kilimo nchini Josephat Hasunga awataka wakulima nchini kuongeza thamani ya mazao ya kilimo


WAZIRI wa Kilimo Josephat Hasunga amewataka wakulima nchini kuongeza thamani ya mazao   ya kilimo ili wakulima hao wanufaike zaidi.


Ushauri huo ulitolewa na Waziri Hasunga jana alipo wahutubia wadau sekta binafsi ya kilimo nchini katika mkutano wa wadau hao uliofanyika Jijijini Dar es Salaam.

 “Ni wakati wawakulima wetu kubadilika kwakuongeza thamani ya bidha ili kuhimili ushindani wa soko lakini hata kupata faida zaidi ,wakulima wetu wakifundishwa kusindika bidhaa zenye ubora kwakuzingatia usalama wa chakula tunaamini tutaleta mapinduzi ya sekta ya kilimo nchini,” amesema Hasunga.

Hasunga alisema serikali kwakushirikiana na sekta binafsi wanayo mipango mingi ya kuboresha sekta ya kiliomo ambayo ndiyo sekta yenye mchango mkubwa kuliko sekta zote nchini.

Aidha Hasunga amesema hali ya hakiba ya chakula nchini ni ya kuridhisha zaidi ambapo kwa mwaka huu kuna uzalishaji wa chakula kwa asilimia 125 na vikwazo mbalimbali ikiwemo utitiri ushuru ukiwa umeondolewa.

Hasunga aliwaambia wadau hao na wakulima kwa ujumla kuwa Biashara ya kuuza mazao nje ya nchi imefunguliwa na wakulima wana uwezo wa kuuza mazao yao nje ya nchi.

Kuhusu ununuzi wa korosho unaoendelea katika mikoa ya kusini Waziri Hasunga alisema wakulima hao wanaendelea kulipwa na alisema kuwa Korosho zitakazo pelekwa sokoni zote zitakuwa zimebanguliwa hazitauzwa kama korosho ghafi.

Abala Ulega mkulima kutoka Namtumbo aliliambia gazeti hili kuwa serikali iliangalie upya suala la mbolea  na pembejeo kwakuwa hakuna bei elekezi na kumekuwa na mfumuko wa bei usio zingatia hali za wakulima.

“Serikali itoe bei elekezi kwa pembejeo nchini kwakuwa wananchi wanataabika na wengi kipato chetu ni duni,serikali ikitoa tamko la bei elekezi itakuwa imemsaidia mkulima”amesema

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...