Skip to main content

Mtibwa Suga michuano ya CAF Confederation Cup

mtibwa


Klabu ya Mtibwa Suga ya Turiani Morogoro inayowakilisha Tanzanaia katika michuano ya kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) kwa msimu wa 2018/2019 wanatarajia kutumia Uwanja wa Azam Complex kama uwanja wao wa nyumbani.

Michuano hiyo inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi November 27 na 28 mwezi huu Mtibwa Sugar wamepangiwa kucheza dhidi ya Nothern Dynamos ya Usheli sheli.

Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar, Zuber Katwila amesema kikosi chake kipo tayari kwa ajili ya kupeperusha bendera kimataifa katika mchezo wao wa kombe la Shirikisho dhidi ya timu ya Norhen Dynamo ya Shelisheli.


"Tumebeba dhamana ya watanzania katika michuano hiyo kazi yetu kubwa ni kuweza kupata matokeo hilo ndilo jukumu ambalo nimewapa wachezaji wangu, wote wanalitambua hilo," alisema.

Mtibwa Sugar wanaingia kwenye michuano hiyo baada ya kukamilisha adhabu yao ambayo walipewa ya kutoa faini baada ya kushindwa kupeleka timu kwenye michuano hiyo nchini Afrika kusini kutokana na Ukata.


Wana tam tam wanatarajia kuanzia uwanja wa nyumbani katika kutupa karata yao ya ushiriki wao katika michuano hiyo na uongozi wa juu wa klabu hiyo kupitia kwa msemaji wao Thobias Kifaru tayari umethibisha kuwa watatumia uwanja wa Azam Complex,Chamazi katika michuano hiyo kwa michezo ya nyumbani.

“kila mmoja anajua tunatumia uwanja wa Manungu kama uwanja wetu wa nyumbani pia tunautumia uwanja wa Jamhuri kwa michezo miwili tu ya ligi kuu dhidi ya Simba na Yanga lakini katika michuano hii ya kimataifa tumeshindwa kutumia viwanja hivi viwili kutokana na viwanja vyote viwili kutokidhi hadhi ya kimataifa ya michuano hiyo hivyo tumeamua kuutumia uwanja wa Azam Complex uliopo Mbande ,Mbagala, hivyo tunawaomba mashabiki wetu waje kwa wingi” Kifaru

Mtibwa Sugar wamepangiwa kucheza dhidi ya Nothern Dynamos ya Usheli sheli katika kombe la shirikisho na baada ya mchezo huo wa jijini Dar es saalaam wana tam tam watasafiri kuelekea Usheli sheli kwa ajili ya mchezo wa pili wa marudiano na mchezo wa marudiano utachezwa kati ya Desemba 4 au 5.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...