Skip to main content

Mtibwa Suga michuano ya CAF Confederation Cup

mtibwa


Klabu ya Mtibwa Suga ya Turiani Morogoro inayowakilisha Tanzanaia katika michuano ya kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) kwa msimu wa 2018/2019 wanatarajia kutumia Uwanja wa Azam Complex kama uwanja wao wa nyumbani.

Michuano hiyo inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi November 27 na 28 mwezi huu Mtibwa Sugar wamepangiwa kucheza dhidi ya Nothern Dynamos ya Usheli sheli.

Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar, Zuber Katwila amesema kikosi chake kipo tayari kwa ajili ya kupeperusha bendera kimataifa katika mchezo wao wa kombe la Shirikisho dhidi ya timu ya Norhen Dynamo ya Shelisheli.


"Tumebeba dhamana ya watanzania katika michuano hiyo kazi yetu kubwa ni kuweza kupata matokeo hilo ndilo jukumu ambalo nimewapa wachezaji wangu, wote wanalitambua hilo," alisema.

Mtibwa Sugar wanaingia kwenye michuano hiyo baada ya kukamilisha adhabu yao ambayo walipewa ya kutoa faini baada ya kushindwa kupeleka timu kwenye michuano hiyo nchini Afrika kusini kutokana na Ukata.


Wana tam tam wanatarajia kuanzia uwanja wa nyumbani katika kutupa karata yao ya ushiriki wao katika michuano hiyo na uongozi wa juu wa klabu hiyo kupitia kwa msemaji wao Thobias Kifaru tayari umethibisha kuwa watatumia uwanja wa Azam Complex,Chamazi katika michuano hiyo kwa michezo ya nyumbani.

“kila mmoja anajua tunatumia uwanja wa Manungu kama uwanja wetu wa nyumbani pia tunautumia uwanja wa Jamhuri kwa michezo miwili tu ya ligi kuu dhidi ya Simba na Yanga lakini katika michuano hii ya kimataifa tumeshindwa kutumia viwanja hivi viwili kutokana na viwanja vyote viwili kutokidhi hadhi ya kimataifa ya michuano hiyo hivyo tumeamua kuutumia uwanja wa Azam Complex uliopo Mbande ,Mbagala, hivyo tunawaomba mashabiki wetu waje kwa wingi” Kifaru

Mtibwa Sugar wamepangiwa kucheza dhidi ya Nothern Dynamos ya Usheli sheli katika kombe la shirikisho na baada ya mchezo huo wa jijini Dar es saalaam wana tam tam watasafiri kuelekea Usheli sheli kwa ajili ya mchezo wa pili wa marudiano na mchezo wa marudiano utachezwa kati ya Desemba 4 au 5.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.