Skip to main content

Vodacom Tanzania Foundation ya toa mafunzo kwa wasi chana kuhusu elimu ya afya ya uzazi mkoani Lindi










Vodacom Tanzania Foundation yatoa mafunzo kwa wasicha na kuhusu elimu ya afya ya uzazimkoaniLindi Lindi, Novemba 19, 2018- Vodacom Tanzania Foundation   kwakushrikianana T-MARCleo, wamefanya programu ya kuwaelimisha wanafunzi wa shule ya msingi Tulieni iliyopo mkoani Lindi juu ya usafi wa kimwili wakati wa hedhi (MHM), elimu ya afya ya uzazi,pamojana kuwapatia wasichana zaidi ya 1700 waliopevuka taulo za hedhi.

Hiinisehemu ya mradi endelevu uitwao“Hakunawasichoweza”unaofanyakazi na Vodacom Tanzania Foundation  wakishirikia na na T-MARC tangumwaka 2012  wakilenga  kuondoa vikwazo vinavyo wafanya wasichana waliopevuka kushindwa kufikia malengoyao ya kielimu kunakosababishwa na changamoto mbalimbali wakati wa hedhi pamojana afya ya uzazi kupitia vipindi vya mafunzo mbalimbali na ujumbesimu wamaandishi pamoja na kuwapatia tauloza kike/ sodoa mbayo ni moja ya changamoto wanazokutananazo.

Ripoti iliyotolewa na TASAWANET mwaka 2015 inaonyesha kwamba asilimia 75 yawasichana
mashuleni wamesema kwamba hedhi inaathiri kufaulu kwao katika masomo.

Pia, UNESCOimekadiria kwamba ndani ya mwaka mmoja,asilimia 20 yawanafunzi wa kike
hawahudhurii mashuleni.

Akizungumzakatikahaflahiyo, Mkuuwakitengo cha mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Jacquiline
Materu alisema “Vodacom Foundation imejikita katika mipango ambayo inasaidia akinamama
na watoto nchini,ilikuboresha afyazao, elimu,naujasiriamali.

Tunaipongeza sana serikali kwa kufutakodi za sodo. Sisi kama Vodacom Foundation tutaendelea
kusaidia shughuli zozote ambazo zinalenga kutatua changamoto zinazowafanya wasichana washindwe kupata elimu bora”.

Hakuna wasichoweza imelengakuboresha mahudhurio na ufaulu wawasichana kwa kuwapatia
elimu juuya afya ya uzazi,elimu ya hedhi, jinsia,vile vileumuhimu wakuchelewa kuanzakuji
husisha na ngono.

Kwa miakasita mpango huu umefikia wasichana zaidi ya elfumoja na Zaidi ya taulo za kike
10,000 ziligawiwa.

“Kupitia msaada wa Vodacom Foundation, tumeona maendeleo katika mahudhurio naufaulu wa wasichana ambao walihudhuria mafunzo haya ukilinganisha na ambao hawajahudhuria.

 Wasichana hawa wananafasi ya kufikia malengo yao na tumedhamiria kuwafikia wasichana wengi zaidi hasa katika miji iliyo jificha na yenye mila na fikra potofu juu ya hedhi zinazo chochea changamoto hizi” alisema Hamid Al-Alawy Mratibu wa Mradi, T-MARC Tanzania.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...