Skip to main content

Vodacom Tanzania Foundation ya toa mafunzo kwa wasi chana kuhusu elimu ya afya ya uzazi mkoani Lindi










Vodacom Tanzania Foundation yatoa mafunzo kwa wasicha na kuhusu elimu ya afya ya uzazimkoaniLindi Lindi, Novemba 19, 2018- Vodacom Tanzania Foundation   kwakushrikianana T-MARCleo, wamefanya programu ya kuwaelimisha wanafunzi wa shule ya msingi Tulieni iliyopo mkoani Lindi juu ya usafi wa kimwili wakati wa hedhi (MHM), elimu ya afya ya uzazi,pamojana kuwapatia wasichana zaidi ya 1700 waliopevuka taulo za hedhi.

Hiinisehemu ya mradi endelevu uitwao“Hakunawasichoweza”unaofanyakazi na Vodacom Tanzania Foundation  wakishirikia na na T-MARC tangumwaka 2012  wakilenga  kuondoa vikwazo vinavyo wafanya wasichana waliopevuka kushindwa kufikia malengoyao ya kielimu kunakosababishwa na changamoto mbalimbali wakati wa hedhi pamojana afya ya uzazi kupitia vipindi vya mafunzo mbalimbali na ujumbesimu wamaandishi pamoja na kuwapatia tauloza kike/ sodoa mbayo ni moja ya changamoto wanazokutananazo.

Ripoti iliyotolewa na TASAWANET mwaka 2015 inaonyesha kwamba asilimia 75 yawasichana
mashuleni wamesema kwamba hedhi inaathiri kufaulu kwao katika masomo.

Pia, UNESCOimekadiria kwamba ndani ya mwaka mmoja,asilimia 20 yawanafunzi wa kike
hawahudhurii mashuleni.

Akizungumzakatikahaflahiyo, Mkuuwakitengo cha mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Jacquiline
Materu alisema “Vodacom Foundation imejikita katika mipango ambayo inasaidia akinamama
na watoto nchini,ilikuboresha afyazao, elimu,naujasiriamali.

Tunaipongeza sana serikali kwa kufutakodi za sodo. Sisi kama Vodacom Foundation tutaendelea
kusaidia shughuli zozote ambazo zinalenga kutatua changamoto zinazowafanya wasichana washindwe kupata elimu bora”.

Hakuna wasichoweza imelengakuboresha mahudhurio na ufaulu wawasichana kwa kuwapatia
elimu juuya afya ya uzazi,elimu ya hedhi, jinsia,vile vileumuhimu wakuchelewa kuanzakuji
husisha na ngono.

Kwa miakasita mpango huu umefikia wasichana zaidi ya elfumoja na Zaidi ya taulo za kike
10,000 ziligawiwa.

“Kupitia msaada wa Vodacom Foundation, tumeona maendeleo katika mahudhurio naufaulu wa wasichana ambao walihudhuria mafunzo haya ukilinganisha na ambao hawajahudhuria.

 Wasichana hawa wananafasi ya kufikia malengo yao na tumedhamiria kuwafikia wasichana wengi zaidi hasa katika miji iliyo jificha na yenye mila na fikra potofu juu ya hedhi zinazo chochea changamoto hizi” alisema Hamid Al-Alawy Mratibu wa Mradi, T-MARC Tanzania.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.