Skip to main content

Mbwa kutumika kupima vimelea vya Malaria kwa kunusa

Wanasayansi nchini Uingereza na Gambia wanasema wana ushahidi wa awali unaoonesha kuwa mbwa wanaweza kunusa malaria. Wanasayansi hao wamewafunza mbwa kutambua harufu ya malaria kwa kutumia nguo za watu wenye maambukizi.


Kuna matumaini makubwa kuwa wanyama hao watatumika katika mapambano dhidi ya malaria na hatimaye kuutokomeza kabisa ugonjwa huo.

Japokuwa utafiti huo upo katika hatua za awali, wanasayansi wanaamini matokeo yake yanaweza kubadili namna ya kufanya vipimo vya malaria.

Kwa mujibu wa tafiti za hapo awali, mtu ambaye ana vimelea vya malaria mwilini anakua na harufu ya tofauti ambayo inawavutia mbu kuendelea kumshambulia. Na sasa, mbwa wapo kazini kuinusa harufu hiyo.
Soksi zilizovaliwa na watoto usiku kucha katika jimbo moja nchini Gambia zilisafirishwa mpaka Uingereza kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi.
Kwa mujibu wa BBC, Kati ya jozi 175 zilizotumwa katika wakfu wa mbwa wa ugunduzi wa kimatibabu mjini Milton Keynes, 30 zilikuwa zimevaliwa na watoto wenye vimelea vya malaria.
Mbwa hao wenye uwezo mkubwa wa kunusa hivi sasa pia wapo kwenye mafunzo ya kunusa harufu ya saratani na ugonjwa hatari wa kukakamaa (Parkinson’s disease).
Matokeo ya jumla, ambayo yalitolewa katika mkutano wa mwaka wa Jumuiya ya Amerika ya Magonjwa ya Kitropiki na Usafi yanaonesha kuwa kati ya watoto 10 walioathirika, mbwa wanauwezo wa kutambua watoto 7.
Lakini pia walifanya makosa kwa kudhani kuwa mtoto mmoja ana maambukizi kati ya 10 ambao wapo salama.
Mtafiti Mkuu Profesa Steve Lindsay, kutoka chuo kikuu cha Durham, amesema wanafuraha kubwa juu ya matokeo hayo, lakini mbwa hao bado hawajawa tayari kutumika kila siku.
Watafiti bado wanahitaji muda zaidi kuboresha umakini wa mbwa na kuanza kunusa watu badala ya soksi. Pia wanata kujiridhisha kama mbwa wanaweza kutambua aina tofauti za malaria.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.