Skip to main content

Vodacom Tanzania Foundation yakabidhi vifaa vya kulinda maisha ya watoto njiti katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma





14/11/2018, Dodoma, Tanzania- Katika kuunga mkono lengo la serikali la kupunguza vifo vya uzazi na watoto njiti kwa  kupunguza uwiano wa vifo vya uzazi hadi kufikia watoto 292 kati ya  watoto 100,000 kwa vizazi hai kutoka watoto 556 kati ya 100,000 ifikapo mwaka ....., Vodacom Tanzania Foundation ikishirikiana na Doris Mollel Foundation imetoa mchango wenye thamani ya TZS 25 milioni kwa Hospitali ya Rufaa ya Dodoma ili kulinda maisha ya watoto njiti.


Pichani ni Waziri wa Madini Angellah Kairuki akiuliza swali kuhusu kitanda cha kuwaongezea joto Watoto njiti, kitanda hiki ni mojawapo kati ya vifaa tiba vyenye thamani Sh 25 m vilivyotolewa na taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation vilivyokabidhiwa kwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Dodoma ili kusaidia kupunguza vifo vya Watoto Njiti. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel, Doris Mollel na Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Foundation Rosalynn Mworia. 


Tukio hili lilishuhudiwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mheshimiwa Ummy Mwalimu, Waziri wa Madini mheshimiwa Angellah Kairuki, na Mheshimiwa Antony Mavunde Naibu Waziri  Ofisi ya Waziri Mkuu anayesimamia Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na walemavu.

Pichani ni Afisa Muuguzi Msaidizi kutoka Kitengo cha kuhudumia Watoto Njiti Constancia Mankupe akielezea kwa vitendo namna mashine ya kusaidia kupumua kwa Watoto njiti inavyofanya kazi, mashine hii ni mojawapo kati ya vifaa tiba vyenye thamani Sh 25 m vilivyotolewa na taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation vilivyokabidhiwa kwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Dodoma ili kusaidia kupunguza vifo vya Watoto Njiti. Kulia kwake ni Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayesimamia Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na walemavu Anthony Mavunde na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel, Doris Mollel.


Msaadawetuunajumuisha vifaa muhimu vya kuokoa maisha kama vile vifaa vya oksijeni (Oxygen concentrator) ambavyo vitasaidia watoto njiti kupumua, thermometers 10, 4 weighing scales for infants, 40 branded bedsheets, baby warmer, 3 suction machines, ambu bag with facemasks for infants, 1000 feeding tubes, phototheraphy machine, na vitanda vitatu vya watoto.  Mchango kama huo pia utawasilishwa katika Kambi ya Wakimbizi iliyoko Nyarugusu Mkoani Kigoma.

Pichani ni Waziri wa Madini Angellah Kairuki (kulia) akizungumza wakati makabidhiano ya mashine ya kusaidia kupumua kwa Watoto njiti ilivyotolewa na taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation kwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Dodoma ili kusaidia kupunguza vifo vya Watoto Njiti. Kushoto ni Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Foundation Rosalynn Mworia, Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel, Doris Mollel (kati).


Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Mkurugenzi wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano  wa  Vodacom, Bi Rosalynn Mworia alisema, "Vodacom imeazimia kupunguza idadi ya vifo vinavyotokea wakati wa kujifungua pamoja na vifo vya watoto wachanga na inaunga mkono jitihada za serikali za kuboresha utoaji wa huduma za afya. Tunatarajia kwamba mchango wetu utaenda mbali katika safari nzima ya kuokoa maisha mengi zaidi ya wanawake na watoto. "

l
Pichani ni Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Foundation Rosalynn Mworia, akikabidhi mashine ya kusaidia kupumua kwa Watoto njiti kwa Waziri wa Madini Angellah Kairuki (wa pili kulia) na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayesimamia Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na walemavu Anthony Mavunde (kulia) katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Dodoma ili kusaidia kupunguza vifo vya Watoto Njiti. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel, Bi Doris Mollel.  


Kwa upande wake, Mheshimiwa Ummy Mwalimu alisema, "Mpango huu unakuja wakati muafaka ambapo serikali imeanza kampeni ya kupunguza idadi ya vifo vya akina mama wakati wa kujifungua na watoto wachanga hapa nchini. Tunapenda kuwashukuru Vodacom Foundation na Doris Mollel Foundation katika kusaidia nchi kukabiliana na changamoto hizi. Vifaa hivi cheza nafasi muhimu katika kukabiliana na matatizo ambayo watoto njiti hukutana nayo hasa katika wiki nne za kwanza za maisha yao."

Alitoa wito kwa wafanyakazi wa afya kuhakikisha matumizi sahihi ya vifaa vya kuokoa maisha ya watoto njiti akisema, "Ninawasihi wafanyakazi wa afya katika Hospitali ya Rufaa ya Dodoma kutumia kwa usahihi vifaa hivi. Msiruhusu mashine zikusanye vumbi, mashine hizi ziko hapa kwa ajili ya kuokoa maisha ya Watoto wetu. "

Pia alikuwepo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk Binilith Mahenge ambaye alisema kupambana na vifo vya watoto wachanga nchini Tanzania ni suala mtambuka, maana ni wajibu wa kila mmoja wetu kwa pamoja. "Mchango huu ni ishara kubwa ya ushirikiano kwa kampeni inayoendelea, Jiongeze - Tuwavushe Salama na inalingana na kiapo nilichochukua, pamoja na Wakuu wengine wa Mikoa, ambapo tuliahidi kufanya kazi ya kupunguza vifo vya uzazi na watoto wachanga nchini Tanzania  kwa mujibu wa mkakati husika wa serikali chini ya Wizara ya Afya. "Alisema.

Kwa upande wao, Mheshimiwa Angela Kairuki, na Mheshimiwa Antony Mavunde, waliihimiza Vodacom Tanzania Foundation kuendelea na jitihada za kusaidia wanawake na wasichana nchini kote kuboresha afya zao, kupata elimu bora na kubuni miradi mipya.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.