Skip to main content

Miaka 30 ya TCCIA yajikita kuhamasisha umuhimu wa kuuza bidhaa nje ya nchi

Chama Cha Wafanyabiashara Wenye Viwanda Na Kilimo TCCIA kimesema kinaunga mkono hatua ya Serikali ya kuamua kubangua korosho ndani ya nchi kabla ya kuisafirisha nje.
Hayo yamesemwa na kaimu rais wa chama hicho Octavia Mshiu alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuhusu maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwa TCCIA.
Aidha ameongeza kuwa chama hicho kitaendelea kuishawishi sekta binafsi kuanzisha viwanda vya ubanguaji na uongezaji thamani wa bidhaa hiyo ili Tanzania ifaidike na mali ghafi nyingine zitokanazo na korosho
Sanjari na hayo amesema kuwa maadhimisho ya miaka 30 ya chama hicho yatahusisha shughuli mbalimbali ikiwemo maonyesho ya wafanyabiashara wadogo,wakati na wakubwa wa bidhaa za ndani yatakayofanyika katika viwanja vya mnazi mmoja kuanzia Novemba 15, mwaka huu yenye lengo la kutangaza na kuhamasisha matumizi ya bidhaa za ndani na kuziuza kwa wingi nje ya nchi ili kuimarisha uchumi wa taifa kupitia fedha za kigeni
Mbali na maonyesho hayo pia watatoa tuzo kwa kwa kampuni iliyouza bidhaa nyingi za kitanzania nje ya nchi pamoja na mdahalo ambao utashirikisha TCCI na taasisi ya Sekta Binafsi TPSF ambao utazungumzia mchango wa sekta binafsi kwenye uchumi wa nchi kuanzia ilipotoka hadi sasa.
Chama cha wafanyabiashara Wenye Viwanda na Kilimo TCCIA kilianzishwa mwaka 1988 ikiwa ni kutokana na mabadiliko ya kiuchumi ya kipindi hicho ambapo Tanzania ilijiondoa kwenye uchumi wa dola na soko hivyo Rais wa kipindi hicho Ally Hassan Mwinyi kuamua kuundwa kwa chombo hicho.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.