Skip to main content

Miaka 30 ya TCCIA yajikita kuhamasisha umuhimu wa kuuza bidhaa nje ya nchi

Chama Cha Wafanyabiashara Wenye Viwanda Na Kilimo TCCIA kimesema kinaunga mkono hatua ya Serikali ya kuamua kubangua korosho ndani ya nchi kabla ya kuisafirisha nje.
Hayo yamesemwa na kaimu rais wa chama hicho Octavia Mshiu alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuhusu maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwa TCCIA.
Aidha ameongeza kuwa chama hicho kitaendelea kuishawishi sekta binafsi kuanzisha viwanda vya ubanguaji na uongezaji thamani wa bidhaa hiyo ili Tanzania ifaidike na mali ghafi nyingine zitokanazo na korosho
Sanjari na hayo amesema kuwa maadhimisho ya miaka 30 ya chama hicho yatahusisha shughuli mbalimbali ikiwemo maonyesho ya wafanyabiashara wadogo,wakati na wakubwa wa bidhaa za ndani yatakayofanyika katika viwanja vya mnazi mmoja kuanzia Novemba 15, mwaka huu yenye lengo la kutangaza na kuhamasisha matumizi ya bidhaa za ndani na kuziuza kwa wingi nje ya nchi ili kuimarisha uchumi wa taifa kupitia fedha za kigeni
Mbali na maonyesho hayo pia watatoa tuzo kwa kwa kampuni iliyouza bidhaa nyingi za kitanzania nje ya nchi pamoja na mdahalo ambao utashirikisha TCCI na taasisi ya Sekta Binafsi TPSF ambao utazungumzia mchango wa sekta binafsi kwenye uchumi wa nchi kuanzia ilipotoka hadi sasa.
Chama cha wafanyabiashara Wenye Viwanda na Kilimo TCCIA kilianzishwa mwaka 1988 ikiwa ni kutokana na mabadiliko ya kiuchumi ya kipindi hicho ambapo Tanzania ilijiondoa kwenye uchumi wa dola na soko hivyo Rais wa kipindi hicho Ally Hassan Mwinyi kuamua kuundwa kwa chombo hicho.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...