Skip to main content

Misa ya Rais Mstaafu Benjamini Mkapa Kutimiza miaka 80


Rais John Magufuli amempongeza Rais mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa kwa mchango mkubwa alioutoa wakati wa uongozi wake na kueleza Watanzania wataendelea kumkumbuka.

Rais Magufuli ametoa pongezi hizo jana Jumatatu Novemba 12, 2018 wakati wa  misa takatifu ya shukrani ya uhai kwa Mkapa ambaye ametimiza miaka 80 tangu kuzaliwa iliyofanyika katika Parokia ya Bikira Maria Imakulata, Upanga Jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.

Rais Magufuli alisema wakati akiwa madarakani Mkapa alifanya mambo mengi na muhimu kwa Taifa na amebainisha Watanzania wataendelea kumkumbuka kwa kazi nzuri aliyoifanya.

“Rais mstaafu Mkapa wakati wa uongozi wako ulifanya kazi kubwa na kwa miaka ambayo nilifanya kazi na wewe baada ya kuniteua kuwa naibu waziri na baadaye waziri nilijifunza kuwa wewe ni mcha Mungu, mwadilifu, mnyenyekevu kwa Mungu na mchapakazi.”

“Leo unapotimiza miaka 80 nakushukuru na kukupongeza sana, nakuombea mwenyezi Mungu aendelee kukupa afya njema wewe na familia yako na sisi viongozi tuliopo sasa tutaendelea kuyaenzi mazuri yote uliyoyafanya” alisema Rais Magufuli.

Kwa upande wake, Mkapa alimpongeza Rais Magufuli kwa uongozi wake kwa kuwa Tanzania imeendelea kuwa na sifa nzuri ya amani na umoja na kwamba hata akiwa nje ya nchi anapoulizwa siri ya Tanzania kuwa na marais wastaafu watatu ambao wanaishi vizuri nchini mwao, huwajibu siri kubwa ni uwepo wa amani, umoja na mshikamano.

Pia amemshukuru Rais  Magufuli kwa kumtakia heri, amewashukuru maaskofu Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, Askofu Mkuu Mwandamizi Jude Thadaeus Ruwai’chi na Askofu Msaidizi Eusebius Nzigirwa walioongoza misa hiyo pamoja na viongozi wengine na waumini wenzake.

Misa hiyo imehudhuriwa pia na mke wa Rais Magufuli, Mama Janeth Magufuli na mke wa rais mstaafu wa Mkapa, Mama Anna Mkapa.
Advertisement

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...