Skip to main content

Ukatili dhidi ya wanawake ni ugonjwa wa kimataifa unaoleta fedheha


Ukatili dhidi ya wanawake na wasichana ni ugonjwa wa kimataifa unaoleta fedheha kubwa katika jamii zote duniani . Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres katika ujumbe wake maalumu kuhusu siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake ambayo huadhimishwa kila mwaka Novemba 25.


Guterres amesema ugonjwa huo ni kinyume cha maadili kwa wanawake na wasichana wote, na ni kikwazo kikubwa  kwa maendeleo jumuishi , yaliyo sawa na endelevu. Katika msingi wake, ukatili dhidi ya wanawake na wasichana ni udhihirisho la ukosefu mkubwa wa heshima, kushindwa kwa wanaume kutambua usawa wa asili na utu wa wanawake. Ni suala la haki za msingi za binadamu.



Amekumbusha kwamba ukatili unaweza kuchukua sura yoyote kuanzia ukatili majumbani, hadi usafirishaji haramu wa binadamu, kuanzia ukatili wa kingono katika miozo hadi ndoa za utotoni, ukeketaji na kuuawa.



Ukatili huu unawaumiza watu binafsi na unaathari kubwa kwa familia na jamii kwa ujumla. Guterres ameongeza kuwa “ukatili  dhidi ya wanawake unaambatana na masuala mapana ya madaraka na udhibiti katika jamii zetu. Tunaishi katika jamii za mfumo dume na wanawake wanawekwa katika hatari ya ukatili kupitia njia mbalimbali ambazo zinawakosesha usawa.”



Katika mwaka uliopita tumeshuhudia ongezeko la aina moja ya ukatili huu .Unyanyasaji wa kijinsia unawakumba wanawake wengi katika wakati fulani wa maisha yao. Kuongezeka kwa wanawake wengi kupazia sauti zao kuhusu suala hili kutoka katika kila pembe ya dunia na katika kila aina ya maisha , inadhihirisha ukubwa wa tatizo na kudhihirisha nguvu ya nguvu ya harakati za wanawake katika kuchagiza kuchukua hatua hatua na uelimishaji unaohitajika ili kuondokana na unyanyasaji nana ukatili kila mahali.



Katibu Mkuu amesema mwaka huu kampeni ya kimataiga ya Umoja wa Mataifa UNiTE ya kukomesha ukatili dhidi ya wanawake na wasichana inadhihirisha uungaji mono wetu kwa waathirika na wapiga debe wa kupinga ukatili chini ya kaulimbiu “igeuze  dunia kuwa rangi ya machungwa :  nisikie nami pia au : #HearMetoo,” ikitumia rangi ya chungwa kama rangi ya mshikamano , hasghitag hiyo inalenga kutuma ujumbe byana kwamba :ukatili dhidi ya wanawake na wasichana ni lazima ukomeshwe sasa, na sote tuna jukumu katika hilo.



Guterres amehoji kuwa licha ya kampeni na ufadhili unatotolewa kupambana na ukatili huu si tija hadi pale nusu ya watu wote wanaowakilishwa na wanawake na wasichana wanaweza kuishi huru bila hofu, ukatili na kuhofia usalama wao, hatuwezi kusema, tunaishi katika dunia ambayo ina usawa na haki.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...