Skip to main content

Ukatili dhidi ya wanawake ni ugonjwa wa kimataifa unaoleta fedheha


Ukatili dhidi ya wanawake na wasichana ni ugonjwa wa kimataifa unaoleta fedheha kubwa katika jamii zote duniani . Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres katika ujumbe wake maalumu kuhusu siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake ambayo huadhimishwa kila mwaka Novemba 25.


Guterres amesema ugonjwa huo ni kinyume cha maadili kwa wanawake na wasichana wote, na ni kikwazo kikubwa  kwa maendeleo jumuishi , yaliyo sawa na endelevu. Katika msingi wake, ukatili dhidi ya wanawake na wasichana ni udhihirisho la ukosefu mkubwa wa heshima, kushindwa kwa wanaume kutambua usawa wa asili na utu wa wanawake. Ni suala la haki za msingi za binadamu.



Amekumbusha kwamba ukatili unaweza kuchukua sura yoyote kuanzia ukatili majumbani, hadi usafirishaji haramu wa binadamu, kuanzia ukatili wa kingono katika miozo hadi ndoa za utotoni, ukeketaji na kuuawa.



Ukatili huu unawaumiza watu binafsi na unaathari kubwa kwa familia na jamii kwa ujumla. Guterres ameongeza kuwa “ukatili  dhidi ya wanawake unaambatana na masuala mapana ya madaraka na udhibiti katika jamii zetu. Tunaishi katika jamii za mfumo dume na wanawake wanawekwa katika hatari ya ukatili kupitia njia mbalimbali ambazo zinawakosesha usawa.”



Katika mwaka uliopita tumeshuhudia ongezeko la aina moja ya ukatili huu .Unyanyasaji wa kijinsia unawakumba wanawake wengi katika wakati fulani wa maisha yao. Kuongezeka kwa wanawake wengi kupazia sauti zao kuhusu suala hili kutoka katika kila pembe ya dunia na katika kila aina ya maisha , inadhihirisha ukubwa wa tatizo na kudhihirisha nguvu ya nguvu ya harakati za wanawake katika kuchagiza kuchukua hatua hatua na uelimishaji unaohitajika ili kuondokana na unyanyasaji nana ukatili kila mahali.



Katibu Mkuu amesema mwaka huu kampeni ya kimataiga ya Umoja wa Mataifa UNiTE ya kukomesha ukatili dhidi ya wanawake na wasichana inadhihirisha uungaji mono wetu kwa waathirika na wapiga debe wa kupinga ukatili chini ya kaulimbiu “igeuze  dunia kuwa rangi ya machungwa :  nisikie nami pia au : #HearMetoo,” ikitumia rangi ya chungwa kama rangi ya mshikamano , hasghitag hiyo inalenga kutuma ujumbe byana kwamba :ukatili dhidi ya wanawake na wasichana ni lazima ukomeshwe sasa, na sote tuna jukumu katika hilo.



Guterres amehoji kuwa licha ya kampeni na ufadhili unatotolewa kupambana na ukatili huu si tija hadi pale nusu ya watu wote wanaowakilishwa na wanawake na wasichana wanaweza kuishi huru bila hofu, ukatili na kuhofia usalama wao, hatuwezi kusema, tunaishi katika dunia ambayo ina usawa na haki.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...