Skip to main content

Ukatili dhidi ya wanawake ni ugonjwa wa kimataifa unaoleta fedheha


Ukatili dhidi ya wanawake na wasichana ni ugonjwa wa kimataifa unaoleta fedheha kubwa katika jamii zote duniani . Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres katika ujumbe wake maalumu kuhusu siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake ambayo huadhimishwa kila mwaka Novemba 25.


Guterres amesema ugonjwa huo ni kinyume cha maadili kwa wanawake na wasichana wote, na ni kikwazo kikubwa  kwa maendeleo jumuishi , yaliyo sawa na endelevu. Katika msingi wake, ukatili dhidi ya wanawake na wasichana ni udhihirisho la ukosefu mkubwa wa heshima, kushindwa kwa wanaume kutambua usawa wa asili na utu wa wanawake. Ni suala la haki za msingi za binadamu.



Amekumbusha kwamba ukatili unaweza kuchukua sura yoyote kuanzia ukatili majumbani, hadi usafirishaji haramu wa binadamu, kuanzia ukatili wa kingono katika miozo hadi ndoa za utotoni, ukeketaji na kuuawa.



Ukatili huu unawaumiza watu binafsi na unaathari kubwa kwa familia na jamii kwa ujumla. Guterres ameongeza kuwa “ukatili  dhidi ya wanawake unaambatana na masuala mapana ya madaraka na udhibiti katika jamii zetu. Tunaishi katika jamii za mfumo dume na wanawake wanawekwa katika hatari ya ukatili kupitia njia mbalimbali ambazo zinawakosesha usawa.”



Katika mwaka uliopita tumeshuhudia ongezeko la aina moja ya ukatili huu .Unyanyasaji wa kijinsia unawakumba wanawake wengi katika wakati fulani wa maisha yao. Kuongezeka kwa wanawake wengi kupazia sauti zao kuhusu suala hili kutoka katika kila pembe ya dunia na katika kila aina ya maisha , inadhihirisha ukubwa wa tatizo na kudhihirisha nguvu ya nguvu ya harakati za wanawake katika kuchagiza kuchukua hatua hatua na uelimishaji unaohitajika ili kuondokana na unyanyasaji nana ukatili kila mahali.



Katibu Mkuu amesema mwaka huu kampeni ya kimataiga ya Umoja wa Mataifa UNiTE ya kukomesha ukatili dhidi ya wanawake na wasichana inadhihirisha uungaji mono wetu kwa waathirika na wapiga debe wa kupinga ukatili chini ya kaulimbiu “igeuze  dunia kuwa rangi ya machungwa :  nisikie nami pia au : #HearMetoo,” ikitumia rangi ya chungwa kama rangi ya mshikamano , hasghitag hiyo inalenga kutuma ujumbe byana kwamba :ukatili dhidi ya wanawake na wasichana ni lazima ukomeshwe sasa, na sote tuna jukumu katika hilo.



Guterres amehoji kuwa licha ya kampeni na ufadhili unatotolewa kupambana na ukatili huu si tija hadi pale nusu ya watu wote wanaowakilishwa na wanawake na wasichana wanaweza kuishi huru bila hofu, ukatili na kuhofia usalama wao, hatuwezi kusema, tunaishi katika dunia ambayo ina usawa na haki.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.