Skip to main content

TRA:Yatakiwa kuongeza vyanzo vya mapato

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetakiwa kuongeza vyanzo vya mapato kuliko kutegemea vyanzo vilivyopo.
Picha
Agizo hilo limetolewa mwishoni mwa wiki na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk.Ashatu Kijaji alipokuwa akihutubia wahitimu na wageni waalikwa kwenye mahafali ya 11 ya Chuo cha Kodi (ITA) yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viunga vya Chuo hicho kilichopo Mwenge Dar es Salaam.
Dk.Ashatu alisema kuwa TRA hawana budi kuwa wabunifu katika kubuni miradi itakayoongeza mapato serikalini nakuepukana na lawama za ubadhirifu kwa baadhi ya watumishi wa Mamlaka hiyo.

Vilele Dk.Ashatu alitoa miezi sita kwa mamlaka hiyo kuhakikisha kodi ya pango la nyumba inalipwa lakini akionya kutenda haki katika ukadiriaji wa kodi hizo kulingana na uwiano wa nyumba husika.

“Niwape miezi sita kuhakikisha Kodi ya majengo inakusanywa lakini mtende haki kwa wananchi kwakukadiria kodi kulingana na ukubwa wanyumba, eneo nyumba ilipo na thamani ya nyumba kwakufanya hivyo mtakuwa mmejitoa katika lawama na mapato mtakusanya,”amesema.

Aidha Dk.Kijaji alipokuwa akijibu changamoto zilizoainishwa na Kamishina Mkuu wa TRA Charles Kichere ambapo kubwa ilikuwa  ufinyu wa bajeti ambayo TRA na Chuo cha Kodi wanapatiwa na Serikali, Dk. Ashatu aliwataka wabuni miradi endelevu ambayo itawapatia fedha nakuweza kuendesha majukumu yao ya kiutendaji.

“Kwa TRA niwaombe mbuni miradi endelevu itakayo wasaidia katika kukabiliana na kampeni na doria kwa wakwepa kodi kwakufanya hivyo mtakuwa mmefanikiwa lakini pasipo kufanya hivyo suala la kukusanya kodi kwakutegemea bajeti yenu ni gumu,”amesema.

Kwa upande wa Chuo cha Kodi Dk. Ashatu alipokuwa akijibu changamoto zilizo ainishwa na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Dk. Samwel Werema, kuhusu ufinyu wa bajeti wa Chuo hicho, Dk Ashatu alikitaka chuo kuandika maandiko na kufanya tafiti zitakazo waongezea fedha kwa ajili yakuendesha Chuo.
Mkuu wa Chuo Profesa Isaya Jairo aliiomba Serikali kuongeza bajeti ya uendeshaji wa chuo ili kuzalisha wataalamu bora zaidi hususani wale wanaobaki kufundisha ili wapatiwe mafunzo zaidi nje ya nchi ili warudipo watoe mchango mkubwa katika chuo na Taifa.
Hata hivyo wahitimu waliaswa kujiepusha na tamaa ya utajiri wa haraka ambao utawaingiza katika rushwa ambapo watakapo bainika watakosa ajira na kunyang’anywa cheti.

“Jiepusheni na rushwa, rushwa ni adui wa haki na maendeleo ,msitafute utajiri wa haraka Taifa linawategemea mkawe hodari na waaminifu huko makazini mkaoneshe utofauti na wahitimu wengine ili tujivunie kuwa tumezalisha wahitimu bora,”amesema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.