Skip to main content

TRA:Yatakiwa kuongeza vyanzo vya mapato

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetakiwa kuongeza vyanzo vya mapato kuliko kutegemea vyanzo vilivyopo.
Picha
Agizo hilo limetolewa mwishoni mwa wiki na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk.Ashatu Kijaji alipokuwa akihutubia wahitimu na wageni waalikwa kwenye mahafali ya 11 ya Chuo cha Kodi (ITA) yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viunga vya Chuo hicho kilichopo Mwenge Dar es Salaam.
Dk.Ashatu alisema kuwa TRA hawana budi kuwa wabunifu katika kubuni miradi itakayoongeza mapato serikalini nakuepukana na lawama za ubadhirifu kwa baadhi ya watumishi wa Mamlaka hiyo.

Vilele Dk.Ashatu alitoa miezi sita kwa mamlaka hiyo kuhakikisha kodi ya pango la nyumba inalipwa lakini akionya kutenda haki katika ukadiriaji wa kodi hizo kulingana na uwiano wa nyumba husika.

“Niwape miezi sita kuhakikisha Kodi ya majengo inakusanywa lakini mtende haki kwa wananchi kwakukadiria kodi kulingana na ukubwa wanyumba, eneo nyumba ilipo na thamani ya nyumba kwakufanya hivyo mtakuwa mmejitoa katika lawama na mapato mtakusanya,”amesema.

Aidha Dk.Kijaji alipokuwa akijibu changamoto zilizoainishwa na Kamishina Mkuu wa TRA Charles Kichere ambapo kubwa ilikuwa  ufinyu wa bajeti ambayo TRA na Chuo cha Kodi wanapatiwa na Serikali, Dk. Ashatu aliwataka wabuni miradi endelevu ambayo itawapatia fedha nakuweza kuendesha majukumu yao ya kiutendaji.

“Kwa TRA niwaombe mbuni miradi endelevu itakayo wasaidia katika kukabiliana na kampeni na doria kwa wakwepa kodi kwakufanya hivyo mtakuwa mmefanikiwa lakini pasipo kufanya hivyo suala la kukusanya kodi kwakutegemea bajeti yenu ni gumu,”amesema.

Kwa upande wa Chuo cha Kodi Dk. Ashatu alipokuwa akijibu changamoto zilizo ainishwa na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Dk. Samwel Werema, kuhusu ufinyu wa bajeti wa Chuo hicho, Dk Ashatu alikitaka chuo kuandika maandiko na kufanya tafiti zitakazo waongezea fedha kwa ajili yakuendesha Chuo.
Mkuu wa Chuo Profesa Isaya Jairo aliiomba Serikali kuongeza bajeti ya uendeshaji wa chuo ili kuzalisha wataalamu bora zaidi hususani wale wanaobaki kufundisha ili wapatiwe mafunzo zaidi nje ya nchi ili warudipo watoe mchango mkubwa katika chuo na Taifa.
Hata hivyo wahitimu waliaswa kujiepusha na tamaa ya utajiri wa haraka ambao utawaingiza katika rushwa ambapo watakapo bainika watakosa ajira na kunyang’anywa cheti.

“Jiepusheni na rushwa, rushwa ni adui wa haki na maendeleo ,msitafute utajiri wa haraka Taifa linawategemea mkawe hodari na waaminifu huko makazini mkaoneshe utofauti na wahitimu wengine ili tujivunie kuwa tumezalisha wahitimu bora,”amesema.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...