Skip to main content

Benkiya Stanbic yazindua Uhuru Banking, isiyonaadayausimamizi



  Pichani ni Mussa Kitoi, Mkuu wa wateja binafsi wa Benki ya Stanbic akizindua huduma yao mpya ya Uhuru Banking isiyo na ada ya usimamizi leo katika branchi yao ya Center jijini Dar es Salaam.
Kushoto ni Grace Hayuma, Kiongozi wa huduma kwa wateja na Desideria Mwegelo, Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Benki ya Stanbic. 

Benki ya  Stanbic imezindua huduma mpya na yakidigitali iitwayo “Uhuru Banking”. Jina ‘Uhuru’ likiwakilisha ofa za kipekee, ikiwemo;kutokuwa na makato y akilamwezi katika akaunti, kadiya VISA ya daraja  la dhahabu‘Gold visa debit card’ inayotumika hapa nchini na kimataifa.

Wateja wa Uhuru Banking wanaweza pia  kufanya miamala mbalimbali na kujihudumia wenyewe kupitia simu zao za mkononi.


 Pichani ni Mkuu wa kitengo cha wateja binafsi na kibiashara wa benki ya Stanbic,Brian Ndadzungira (kati) akizungumza na wafanyakazi na wateja wa benki hiyo kuhusu huduma mpya ya Uhuru Banking isiyo na ada ya usimamizi leo katika  branchi yao ya Center jijini Dar es salaam. 
Benki ya Stanbic iliamua kuboresha huduma hiyo ambayo mwanzo iligawanyika katika akaunti za daraja tatu tofauti,yaani, Silva, DhahabunaBluu (Silver, Goldna Blue).

 Uhuru Banking inaunganisha madaraja ya akaunti zote na kuwawezesha wateja kuwa na uhuru wa kufanya miamala yao kiurahisi kupitia mfumo wa kidigitali.

 “Uhuru banking ni matokeo ya maoni ya wateja kuhusi na na huduma na  bidhaazetu. Watejawetunikiini cha kila jambo tunalo lifanya hivyo tumejikita katika kuhakikisha wanaendelea kifedha” alisema Mkuu wa kitengo cha wateja binafsi na kibiashara wa benki ya Stanbic, Brian Ndadzungira.

Watanzania wanahitaji huduma ambazo zina endana na maisha ya sasa. Kupitia Uhuru banking wateja wanaweza kupata huduma mahususi za kifedha zinazo endana na mahitaji yao.

“Pendekezo hili limelenga kuleta maendeleo kwa watanzania na kuwasaidia kufanyikisha malengo yao ya kifedha” aliongeza Brian.

Kumekuwa na mabadiliko ndani ya sekta ya  benkinchini Tanzania na kutokana na uzoefu wa zaidi ya miaka ishirini nchini Tanzania, Stanbic Bank inaendelea kutoa huduma bora na mahususi zinazo zingatia matakwa ya wateja wao.

Kwa wahariri
Benki ya Stanbic Tanzania ni sehemu ya Standard Bank Group, benki kubwa zaidi ya Afrika kwa mali, iliyo na makao yake makuu huko Johannesburg, Afrika Kusini na iliyoorodheshwa kwenye soko la hisa la Johannesburg, nambaro SBK, pamoja na soko la hisa la Namibia, nambari ya SNB.

Benki ya Standard ina historia ya miaka 155 nchini Afrika Kusini na kuanza kufanya mikataba mingine nje ya kusini mwa Afrika mwanzoni mwa miaka ya 1990.

Stanbic Bank Tanzania hutoa huduma za kifedha, ushiriki na uwekezaji wake hutumika kwa mahitaji mbalimbali ya benki, fedha, biashara, uwekezaji, usimamizi wa hatari na huduma za ushauri. Huduma za kampuni na uwekezaji hutoa aina mbalimbali za bidhaa na huduma zinazohusiana na: uwekezaji katika benki; masoko ya kimataifa; bidhaa na huduma za kimataifa.
Benki ya Stanbic na huduma zake za makampuni na uwekezaji zinazingatia sekta ambazo zinafaa zaidi kwa masoko yanayojitokeza. Ina msaada mkubwa katika madini na chuma; mafuta, gesi mbadala; umeme na miundombinu; biashara ya kilimo; mawasiliano ya simu, vyombo vya habari; na taasisi za fedha.

Benki ya Stanbic Tanzania kitengo cha wateja binafsi na wa biashara, kinatoa huduma za kibenki na huduma nyingine za kifedha kwa watu binafsi, na kampuni ndogo na za kati. Kitengo hiki kinatumikia haja zinazo ongezeka kati ya biashara ndogondogo na wateja binafsi kwa bidhaa za benki ambazo zinaweza kukidhi matarajio yao na kukuza utajiri wao.

Kwa taarifazaiditafadhaliwasiliana;
DesideriaMwegelo
Head - Marketing and Corporate Affairs
Tel: +255 22 2666343

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.