Skip to main content

Benkiya Stanbic yazindua Uhuru Banking, isiyonaadayausimamizi



  Pichani ni Mussa Kitoi, Mkuu wa wateja binafsi wa Benki ya Stanbic akizindua huduma yao mpya ya Uhuru Banking isiyo na ada ya usimamizi leo katika branchi yao ya Center jijini Dar es Salaam.
Kushoto ni Grace Hayuma, Kiongozi wa huduma kwa wateja na Desideria Mwegelo, Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Benki ya Stanbic. 

Benki ya  Stanbic imezindua huduma mpya na yakidigitali iitwayo “Uhuru Banking”. Jina ‘Uhuru’ likiwakilisha ofa za kipekee, ikiwemo;kutokuwa na makato y akilamwezi katika akaunti, kadiya VISA ya daraja  la dhahabu‘Gold visa debit card’ inayotumika hapa nchini na kimataifa.

Wateja wa Uhuru Banking wanaweza pia  kufanya miamala mbalimbali na kujihudumia wenyewe kupitia simu zao za mkononi.


 Pichani ni Mkuu wa kitengo cha wateja binafsi na kibiashara wa benki ya Stanbic,Brian Ndadzungira (kati) akizungumza na wafanyakazi na wateja wa benki hiyo kuhusu huduma mpya ya Uhuru Banking isiyo na ada ya usimamizi leo katika  branchi yao ya Center jijini Dar es salaam. 
Benki ya Stanbic iliamua kuboresha huduma hiyo ambayo mwanzo iligawanyika katika akaunti za daraja tatu tofauti,yaani, Silva, DhahabunaBluu (Silver, Goldna Blue).

 Uhuru Banking inaunganisha madaraja ya akaunti zote na kuwawezesha wateja kuwa na uhuru wa kufanya miamala yao kiurahisi kupitia mfumo wa kidigitali.

 “Uhuru banking ni matokeo ya maoni ya wateja kuhusi na na huduma na  bidhaazetu. Watejawetunikiini cha kila jambo tunalo lifanya hivyo tumejikita katika kuhakikisha wanaendelea kifedha” alisema Mkuu wa kitengo cha wateja binafsi na kibiashara wa benki ya Stanbic, Brian Ndadzungira.

Watanzania wanahitaji huduma ambazo zina endana na maisha ya sasa. Kupitia Uhuru banking wateja wanaweza kupata huduma mahususi za kifedha zinazo endana na mahitaji yao.

“Pendekezo hili limelenga kuleta maendeleo kwa watanzania na kuwasaidia kufanyikisha malengo yao ya kifedha” aliongeza Brian.

Kumekuwa na mabadiliko ndani ya sekta ya  benkinchini Tanzania na kutokana na uzoefu wa zaidi ya miaka ishirini nchini Tanzania, Stanbic Bank inaendelea kutoa huduma bora na mahususi zinazo zingatia matakwa ya wateja wao.

Kwa wahariri
Benki ya Stanbic Tanzania ni sehemu ya Standard Bank Group, benki kubwa zaidi ya Afrika kwa mali, iliyo na makao yake makuu huko Johannesburg, Afrika Kusini na iliyoorodheshwa kwenye soko la hisa la Johannesburg, nambaro SBK, pamoja na soko la hisa la Namibia, nambari ya SNB.

Benki ya Standard ina historia ya miaka 155 nchini Afrika Kusini na kuanza kufanya mikataba mingine nje ya kusini mwa Afrika mwanzoni mwa miaka ya 1990.

Stanbic Bank Tanzania hutoa huduma za kifedha, ushiriki na uwekezaji wake hutumika kwa mahitaji mbalimbali ya benki, fedha, biashara, uwekezaji, usimamizi wa hatari na huduma za ushauri. Huduma za kampuni na uwekezaji hutoa aina mbalimbali za bidhaa na huduma zinazohusiana na: uwekezaji katika benki; masoko ya kimataifa; bidhaa na huduma za kimataifa.
Benki ya Stanbic na huduma zake za makampuni na uwekezaji zinazingatia sekta ambazo zinafaa zaidi kwa masoko yanayojitokeza. Ina msaada mkubwa katika madini na chuma; mafuta, gesi mbadala; umeme na miundombinu; biashara ya kilimo; mawasiliano ya simu, vyombo vya habari; na taasisi za fedha.

Benki ya Stanbic Tanzania kitengo cha wateja binafsi na wa biashara, kinatoa huduma za kibenki na huduma nyingine za kifedha kwa watu binafsi, na kampuni ndogo na za kati. Kitengo hiki kinatumikia haja zinazo ongezeka kati ya biashara ndogondogo na wateja binafsi kwa bidhaa za benki ambazo zinaweza kukidhi matarajio yao na kukuza utajiri wao.

Kwa taarifazaiditafadhaliwasiliana;
DesideriaMwegelo
Head - Marketing and Corporate Affairs
Tel: +255 22 2666343

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...