Skip to main content

WAFANYABIASHARA NCHINI WATAKIWA KUENDELEA KULIPA KODI




Na Grace Semfuko-MAELEZO

Wafanyabiashara nchini wametakiwa kuendelea kulipa kodi na kuzingatia matumizi ya mashine za kielektroniki za kukusanyia mapato (EFD) ili wasiingie katika migogoro isiyo ya lazima na serikali. 
Hayo yamesemwa jana na Mkurugenzi wa Idara ya habari Maelezo na msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbassi katika mahojiano maalum na redio Uhuru ya Jijini Dar es Salaa, kuelezea mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Tano katika kipindi cha miaka mitatu tangu iingie madarakani.
“Wafanyabiashara wale wanaokwepa kulipa kodi, tutawafikia, ni mkuhimu ulipe kodi ili iweze kufanya kazi za kuwahudumia watanzania, na kwa mawakala wa kukusanya kodi wahakikishe wanaifikisha kodi hizo serikalini kwa wakati” alisema. 
Dkt Abbasi amesema Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais Magufuli inafanya kazi kubwa ya kuhakikisha Watanzania wanapata maisha bora, hivyo ulipaji wa kodi ni muhimu sana ili fedha hizo ziwezeshe kupatikana kwa huduma bora zaidi kwa watanzania. 
Aidha Dkt. Abbassi amewataka watendaji kwenye taasisi za umma kufanya kazi kwa weledi na kwa kujituma pia kuzingatia majukumu yao yaliyopo kwenye mikataba yao ya kazi ili kuleta ufanisi kwenye taasisi zao. 
Alisema Serikali haitasita kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wote wa umma ambao hawawajibiki ipasavyo kwani wamekuwa ni mzigo kwa Serikali, na wanakwamisha jitihada kubwa zinazofanywa na Rais Magufuli.
“Mmeona wenyewe juzi tu Mheshimiwa Rais amefanya maamuzi magumu lakini ni sahihi kabisa ya kuwaondoa baadhi ya watendaji wasiowajibika Serikalini,haiishii kwenye ngazi ya juu tu hii ni kwa kila mtendaji wa Serikali kuanzia ngazi za chini” alisema Dkt. Abbassi. 
Dkt.Abbasi alisema kuna mjadala mkubwa duniani unaendelea kuhusu maendeleo na nini maana ya kuwekeza, ambapo Tanzania imewekeza kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo na miundombinu pamoja na watu kwa maana ya watumiaji wakuu wa miradi hiyo.
Kuhusu elimu amesema serikali inatoa shilingi bilioni 23.85 kila mwezi ili kugharamia elimu kwenye shule za Serikali ikiwa ni mojawapo ya mkakati wa kuimarisha elimu nchini na hasa katika utekelezaji wa sera ya Serikali ya elimu bure kuanzia ngazi ya awali mpaka kidato cha nne.
Fedha hizo zinapelekwa moja kwa moja kwenya akaunti za shule badala ya kupelekwa kwenye Halmashauri za Wilaya na Manispaa ambazo zilikuwa zikichelewesha fedha hizo kufika shuleni ama kutumiwa kwa matumizi yaliyokusudiwa.
Serikali pia imeongeza fedha za mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu katika kipindi cha miaka mitatu ya utawala wa Rais Magufuli kutoka shilingi Bilioni 380 mwaka 2015 mpaka kufikia zaidi ya bilioni 500 mwaka 2018.
Hatua hiyo ya Serikali inalenga kuimarisha sekta ya elimu nchini ambayo inatajwa kuwa ni msingi mkuu wa maendeleo endelevu kwenye Taifa lolote Duniani.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...