Skip to main content

WAFANYABIASHARA NCHINI WATAKIWA KUENDELEA KULIPA KODI




Na Grace Semfuko-MAELEZO

Wafanyabiashara nchini wametakiwa kuendelea kulipa kodi na kuzingatia matumizi ya mashine za kielektroniki za kukusanyia mapato (EFD) ili wasiingie katika migogoro isiyo ya lazima na serikali. 
Hayo yamesemwa jana na Mkurugenzi wa Idara ya habari Maelezo na msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbassi katika mahojiano maalum na redio Uhuru ya Jijini Dar es Salaa, kuelezea mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Tano katika kipindi cha miaka mitatu tangu iingie madarakani.
“Wafanyabiashara wale wanaokwepa kulipa kodi, tutawafikia, ni mkuhimu ulipe kodi ili iweze kufanya kazi za kuwahudumia watanzania, na kwa mawakala wa kukusanya kodi wahakikishe wanaifikisha kodi hizo serikalini kwa wakati” alisema. 
Dkt Abbasi amesema Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais Magufuli inafanya kazi kubwa ya kuhakikisha Watanzania wanapata maisha bora, hivyo ulipaji wa kodi ni muhimu sana ili fedha hizo ziwezeshe kupatikana kwa huduma bora zaidi kwa watanzania. 
Aidha Dkt. Abbassi amewataka watendaji kwenye taasisi za umma kufanya kazi kwa weledi na kwa kujituma pia kuzingatia majukumu yao yaliyopo kwenye mikataba yao ya kazi ili kuleta ufanisi kwenye taasisi zao. 
Alisema Serikali haitasita kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wote wa umma ambao hawawajibiki ipasavyo kwani wamekuwa ni mzigo kwa Serikali, na wanakwamisha jitihada kubwa zinazofanywa na Rais Magufuli.
“Mmeona wenyewe juzi tu Mheshimiwa Rais amefanya maamuzi magumu lakini ni sahihi kabisa ya kuwaondoa baadhi ya watendaji wasiowajibika Serikalini,haiishii kwenye ngazi ya juu tu hii ni kwa kila mtendaji wa Serikali kuanzia ngazi za chini” alisema Dkt. Abbassi. 
Dkt.Abbasi alisema kuna mjadala mkubwa duniani unaendelea kuhusu maendeleo na nini maana ya kuwekeza, ambapo Tanzania imewekeza kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo na miundombinu pamoja na watu kwa maana ya watumiaji wakuu wa miradi hiyo.
Kuhusu elimu amesema serikali inatoa shilingi bilioni 23.85 kila mwezi ili kugharamia elimu kwenye shule za Serikali ikiwa ni mojawapo ya mkakati wa kuimarisha elimu nchini na hasa katika utekelezaji wa sera ya Serikali ya elimu bure kuanzia ngazi ya awali mpaka kidato cha nne.
Fedha hizo zinapelekwa moja kwa moja kwenya akaunti za shule badala ya kupelekwa kwenye Halmashauri za Wilaya na Manispaa ambazo zilikuwa zikichelewesha fedha hizo kufika shuleni ama kutumiwa kwa matumizi yaliyokusudiwa.
Serikali pia imeongeza fedha za mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu katika kipindi cha miaka mitatu ya utawala wa Rais Magufuli kutoka shilingi Bilioni 380 mwaka 2015 mpaka kufikia zaidi ya bilioni 500 mwaka 2018.
Hatua hiyo ya Serikali inalenga kuimarisha sekta ya elimu nchini ambayo inatajwa kuwa ni msingi mkuu wa maendeleo endelevu kwenye Taifa lolote Duniani.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.