Skip to main content

wanawake wajasiriamali kukutanishwa


Katika harakati za kumkomboa mwanamke kiuchumi na kuachana nadhana ya kuwa tegemezi katika jamii inayowamzunguka.

Taasisi ya Motherhood Tanzania kwa kushirikiana na Evelyn Munisi Foundation wameandaa tamasha litakaloweza kuwakutanisha wanawake wajasiriamali  mbalimbali na kuweza kuinuana kiuchumi .

Akizungumza  na waandishi wa habari Mkurugenzi wa Taasisi ya Motherhood Tanzania Tina Ndonde amesema tamasha hilo litafanyika Novemba 10 katika viwanja vya Hekima Garden vilivyopo mikocheni na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es salaam Isaya Mwita .

Pia amesema lengo la tamasha hilo ni kumwinua  mwanamke kiuchumi na kuweza kujitegemea mwenyewe kwa kujishughulisha na kazi za ujasiriamali ili mwanamke ainuke kiuchumi.

“ kauli mbiu ya tamasha hilo " Mama shujaa ni mlinzi wa familia, tunajua ukimuinua mama umeinua jamii kwa ujumla na ndio maana tunapambana katika kumkombea mwanamke aweze kujitegemea”amesema
Kwa upande wake mmiliki wa Evelyn Munisi Foundation, evelyn munisi amesema wamejikita hasa katika kuwainua wanawake kwasababu kundi hilo ndio wahanga wakubwa sana kwenye jamii.
“kupia jambo hili tumeweza kufikia sehemu kubwa ya jamii hii ya wanawake wenye shida na tumeweza kufanikiwa kuwainua na kujitegemea wenyewe”

Aidha Evelyn amesema Lengo la Tamasha hilo ni kuwasaidia wajasiriamali wadogo wadogo ambao hawana usajiri wowote kwa kuwasaidia kuwakutanisha na Sido,Tbs,Tfda ambao watahusika kuwashauri wajasiriamali hao nini wafanye ili biashara zao ziwe na ubora huku wakiwaa na lengo la kuwainua mwanamke kiuchumi

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...