Skip to main content

Msuva aendelea kung'ara


KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva usiku wa jana ameifungia klabu yake, Difaa Hassan El- Jadidi katika sare ya 1-1 dhidi ya wenyeji, Rapide Oued Zem kwenye mchezo wa wa Ligi Kuu ya Morocco, maarufu kama Botola Pro Uwanja wa Maniapaa ya Oued Zem.
Msuva, mchezaji wa zamani wa Yanga SC aliye katika msimu wake wa pili Jadidi, alifunga bao lake dakika ya 31, kabla ya Issam Boudali kuisawazishia Rapide Oued Zem dakika ya 90 na ushei.
Kwa matokeo hayo, Jadida inafikisha kwa pointi 10 baada ya kucheza mechi saba, ikiendelea kushika nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi ya Morocco – na wapinzani wao, Rapide Oued Zem wanabaki nafasi ya sita kwa pointi zao 11 pia, ingawa wao wamecheza mechi nane sasa.
















Simon Msuva akikimbilia mpira jana Uwanja wa Maniapaa ya Oued Zem
Simon Msuva (katikati) katika mchezo wa jana dhidi ya Rapide Oued Zem

Simon Msuva katika kikosi cha Difaa Hassan El- Jadidi kilichoanza jana


















Hassania Agadir ndiyo inaongoza Ligi Kuu ya Morocco kwa pointi zake 14 sawa na Youssoufia Berrechid, wakifuatiwa na Olympic Safi yenye pointi 12 wote wakiwa wamecheza mechi nane.
Mabingwa wawili wa zamani Afrika na mahasimu wa jiji la Casablanca, Raja Casablanca wapo nafasi ya 11 kwa pointi zao tisa za mechi tano na Wydad Casablanca wanashika mkia kwa pointi zao sita za mechi nne.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...