Skip to main content

Msuva aendelea kung'ara


KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva usiku wa jana ameifungia klabu yake, Difaa Hassan El- Jadidi katika sare ya 1-1 dhidi ya wenyeji, Rapide Oued Zem kwenye mchezo wa wa Ligi Kuu ya Morocco, maarufu kama Botola Pro Uwanja wa Maniapaa ya Oued Zem.
Msuva, mchezaji wa zamani wa Yanga SC aliye katika msimu wake wa pili Jadidi, alifunga bao lake dakika ya 31, kabla ya Issam Boudali kuisawazishia Rapide Oued Zem dakika ya 90 na ushei.
Kwa matokeo hayo, Jadida inafikisha kwa pointi 10 baada ya kucheza mechi saba, ikiendelea kushika nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi ya Morocco – na wapinzani wao, Rapide Oued Zem wanabaki nafasi ya sita kwa pointi zao 11 pia, ingawa wao wamecheza mechi nane sasa.
















Simon Msuva akikimbilia mpira jana Uwanja wa Maniapaa ya Oued Zem
Simon Msuva (katikati) katika mchezo wa jana dhidi ya Rapide Oued Zem

Simon Msuva katika kikosi cha Difaa Hassan El- Jadidi kilichoanza jana


















Hassania Agadir ndiyo inaongoza Ligi Kuu ya Morocco kwa pointi zake 14 sawa na Youssoufia Berrechid, wakifuatiwa na Olympic Safi yenye pointi 12 wote wakiwa wamecheza mechi nane.
Mabingwa wawili wa zamani Afrika na mahasimu wa jiji la Casablanca, Raja Casablanca wapo nafasi ya 11 kwa pointi zao tisa za mechi tano na Wydad Casablanca wanashika mkia kwa pointi zao sita za mechi nne.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.