Skip to main content

TIC:Kila taasisi zinapaswa kufanya marekebisho katika utendaji wao ili kusaidia kutengeneza mazingira rafiki kwa wawekezaji

Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC)kimesema licha ya uwekezaji kupungua duniani,lakini Tanzania ni miongoni mwa nchi tano duniani ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi kubwa.

Ili kuendelea kupiga hatua katika uwekezaji kila taasisi zinapaswa kufanya marekebisho katika utendaji wao ili kusaidia kutengeneza mazingira rafiki kwa wawekezaji.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bw. Geoffrey Mwambe akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana Bw. Geoffrey Mwambe amesema taasisi za Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wametakiwa kuwa na ushirikiano katika kufanikisha mipango ya uwekezaji hapa nchini jambo ambalo litasaidia taifa kupiga hatua katika sekta ya uchumi.

Amesema  taarifa ya Mkutano wa Uwekazaji duniani uliofanyika hivi karibuni nchini Uswiswi, ripoti ya mwaka wa jana inaonyesha uwekezaji duniani umeshuka kwa asilimia 23  kutokana vita ya maneno kati ya nchi ya Marekani na China.

"kutokana na hali hiyo kila nchi duniani inaendelea kutafuta wawekezaji ili kuhakikisha wanapiga hatua uchum,"alisema Mwambe.

Bw. Mwambe alisema  kuwa ili kuendelea na kasi hiyo serikali inaendelea na mipango ya kutengeneza uchumi wa mazingira katika masoko, huku sekta binafsi zinapaswa  kufanya uwekezaji kwa kuzalisha bidhaa.

Amesema  kuwa wakati umefika wa kufanya uwekezaji, huku akizitaka mamlaka husika kuangalia namna kuwapa adhabu wafanyabiasha wanaokwenya kinyume na taratibu ili waendelee kufanya biashara zao.

"Tusifungwe na taratibu zetu za kazi, kama nafasi ipo ya kumsaidia mfanyabiashara tumsaidie ili aendelea kufanya biashara kwa maendeleo ya taifa" amesema Bw. Mwambe.

Hatua hivyo Bw. Mwambe  amezitaka sekta binafsi kuwa na umoja katika kufanikisha shughuli za uwekezaji sio kusema  maneno ambayo sio rafiki katika kujenga uchumi.

Bw. Mwambe amefafanua  kuwa bado kuna maitaji mengi yanaitajika ili kuwavutia wawekezaji katika maeneo hapa nchini.

"Kuna vituo vingi vya utalii hapa nchini ambavyo vinaitaji wawekezaji kupeleka maitaji maeneo mbalimbali ikiwemo kujenga hotel za kisasa" amesema Bw. Mwambe.

Amesema kuwa tunatakiwa kubadilika katika utendaji wa kazi, huku akisisita kuwa kama kuna mtu au kiongozi yoyote anatumika  kukwamisha maendeleo kwa wafanyabiashara jina lake litapeleka kwa Mhe. Rais Dkt. John Magufuli" amesema Bw. Mwambe.

Katika hatua nyingine tayari Wajumbe kutoka Jimbo la Dongon,Gwazu Nchini China wamekuja  nchini kufanya uwekezaji katika sekta ya viwanda kwenye eneo la Mlandizi mkoani pwani ambapo watawekeza kwenye ujenzi wa viwanda vitatu .

Mkurugenzi wa Uhamasishaji na Uwekezaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania TIC John Mnali aliupokea ujumbe huo wa  wawekezaji hao ambapo alisema wamekuja kufanya uwezaji kwenye kiwanda cha kuongeza thamani ya ngozi, kiwanda cha kuteneza saa pamoja na simu ambapo thamani yake kwa awamu ya kwanza ni dola milioni 100.

Mnali amesema kuwa kiwanda cha kuongeza thamani ya ngozi kitatumika kutengeneza bidhaa mbalimbali ikiwemo viatu,mikanda, pamoja na mikoba ya kimama, huku akiziomba taasisi zinahusika na utoaji wa leseni na vibali kutoa kwa wakati ili uwekezaji ufanyike kwa haraka.

“kazi ya uwekezaji si rahisi tushirikiane kwa pamoja ili kuhakikisha uwekezaji unafanyika na uwekezji si maneno uwekezaji ni vitendo,” amesema Mnali.
kwa upande wake Mkurugenzi wa Kampuni za Kiluwa, Mohamed Kiluwa amesema waliamua kwenda nje kutafuta wawekezaji kuja kuwekeza nchini ili kukuza uchumi wa kati wa viwanda.

Hata hivyo Kiluwa amesema tayari ameshawagusia wawekezaji hao suala la kuwekeza kwenye zao la korosho na atatarajia kwenda nje kukutana na bodi ya wawekezaji hao ili kuweza kuzungumzia suala hilo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...