Skip to main content

MAFUNZO MICHEZO YA NGUMI NA MPIRA WA WAVU WA MAJESHI WATAKIWA KUYATUMIA MAFUNZO KWA VITENDO



Wahitimu wa Mafunzo  Michezo ya Ngumi na Mpira wa wavu wa majeshi watakiwa kuyatumia mafunzo kwa vitendo.

 Wahitimu wa Mafunzo ya Michezo ya Ngumi na Mpira wa Wavu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama pamoja na raia wametakiwa kuyatuma vizuri mafunzo waliyoyapata kutoka kwa wakufunzi  Wajerumani katika kuendeleza michezo hiyo, kuendeleza vipaji vya wanafunzi wao na jamii inayowazunguka.



Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Shirikisho la Michezo ya Majeshi nchini, Brigedia Jenerali Suleimani Mzee wakati akifunga Mafunzo ya Siku 10 yaliyotolewa kwa Wakufunzi wa majeshi wa michezo hiyo pamoja na raia. 

Amesema kuwa  wakufunzi wote na raia walioshiriki wanatakiwa kuyatuma mafunzo hayo kwa vitendo na sio kuviweka makabatini vyeti vya uhitimu walivyovipata huku akiwahimiza kuyafikisha kwa wananafunzi na raia.

“Umuhimu wa mafunzo mmeuona msifungie vyeti vya mafunzo mliyopewa yatumieni kwa vitendo haitakuwa haina maana yatumieni kuendeleza vipaji vyenu na kuwapa wanafunzi wenu la sivyo mtakuwa mmepoteza muda wenu,” amesesma .

Amebainisha kuwa Tanzania ni mwanachama wa Shirikisho la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM) hivyo kupitia uongozi wa jeshi na ubalozi waliomba kupatiwa wakufunzi kutoka nchi hiyo na kufanikiwa kuwapata na kwamba mafunzo hayo yatawasaidia kuwajengea uwezo na kuendeleza vipaji.

Amesisitiza kuwa mafunzo hayo yalishirikisha jumla ya wakufunzi 56 kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania, jeshi la Polisi, Jeshi la Zima Moto na Uokoaji na raia na kubainisha yalitolewa na wakufunzi wanne kutoka Jeshi la Ujerumani.

Amefafanua kuwa endapo mafunzo waliyoyapata hawatayazingatia watakuwa wamewapotezea muda wakufunzi waliokubali kuja nchini kuwaongezea ujuzi wao.

Brigedia Jernerali Mzee amesema kwa kuwa mafunzo hayo yana umuhimu wanaangalia uwezekano wa kufanyika awamu ya pili ya mafunzo hayo mwakani.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Utimamu wa mwili, michezo na utamaduni, Kanali Erasimus Bwegoge amesema mafunzo hayo yatasaidia kuinua michezo hiyo pamoja na kuwasaidia makocha kuwaongezea ujuzi makocha wote walioshiriki.

Naye Mkufunzi Mkuu wa mafunzo hayo, Kapteni Paul Klar kutoka jeshi la ujerumani ,amefurahishwa na ukarimu na ushirikiano waliopewa na washiriki katika muda wote wa mafunzo na kusisitiza kuwa wamejifunza kwa ujumla maisha ya watanzania.

Kapteni Klar  amesema washiriki walikuwa wakiyapokea vizuri na kwamba watapohitajika kwa mara nyingine watakuwa tayari kuja nchini.
Mwisho.







Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...