Skip to main content

MAFUNZO MICHEZO YA NGUMI NA MPIRA WA WAVU WA MAJESHI WATAKIWA KUYATUMIA MAFUNZO KWA VITENDO



Wahitimu wa Mafunzo  Michezo ya Ngumi na Mpira wa wavu wa majeshi watakiwa kuyatumia mafunzo kwa vitendo.

 Wahitimu wa Mafunzo ya Michezo ya Ngumi na Mpira wa Wavu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama pamoja na raia wametakiwa kuyatuma vizuri mafunzo waliyoyapata kutoka kwa wakufunzi  Wajerumani katika kuendeleza michezo hiyo, kuendeleza vipaji vya wanafunzi wao na jamii inayowazunguka.



Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Shirikisho la Michezo ya Majeshi nchini, Brigedia Jenerali Suleimani Mzee wakati akifunga Mafunzo ya Siku 10 yaliyotolewa kwa Wakufunzi wa majeshi wa michezo hiyo pamoja na raia. 

Amesema kuwa  wakufunzi wote na raia walioshiriki wanatakiwa kuyatuma mafunzo hayo kwa vitendo na sio kuviweka makabatini vyeti vya uhitimu walivyovipata huku akiwahimiza kuyafikisha kwa wananafunzi na raia.

“Umuhimu wa mafunzo mmeuona msifungie vyeti vya mafunzo mliyopewa yatumieni kwa vitendo haitakuwa haina maana yatumieni kuendeleza vipaji vyenu na kuwapa wanafunzi wenu la sivyo mtakuwa mmepoteza muda wenu,” amesesma .

Amebainisha kuwa Tanzania ni mwanachama wa Shirikisho la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM) hivyo kupitia uongozi wa jeshi na ubalozi waliomba kupatiwa wakufunzi kutoka nchi hiyo na kufanikiwa kuwapata na kwamba mafunzo hayo yatawasaidia kuwajengea uwezo na kuendeleza vipaji.

Amesisitiza kuwa mafunzo hayo yalishirikisha jumla ya wakufunzi 56 kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania, jeshi la Polisi, Jeshi la Zima Moto na Uokoaji na raia na kubainisha yalitolewa na wakufunzi wanne kutoka Jeshi la Ujerumani.

Amefafanua kuwa endapo mafunzo waliyoyapata hawatayazingatia watakuwa wamewapotezea muda wakufunzi waliokubali kuja nchini kuwaongezea ujuzi wao.

Brigedia Jernerali Mzee amesema kwa kuwa mafunzo hayo yana umuhimu wanaangalia uwezekano wa kufanyika awamu ya pili ya mafunzo hayo mwakani.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Utimamu wa mwili, michezo na utamaduni, Kanali Erasimus Bwegoge amesema mafunzo hayo yatasaidia kuinua michezo hiyo pamoja na kuwasaidia makocha kuwaongezea ujuzi makocha wote walioshiriki.

Naye Mkufunzi Mkuu wa mafunzo hayo, Kapteni Paul Klar kutoka jeshi la ujerumani ,amefurahishwa na ukarimu na ushirikiano waliopewa na washiriki katika muda wote wa mafunzo na kusisitiza kuwa wamejifunza kwa ujumla maisha ya watanzania.

Kapteni Klar  amesema washiriki walikuwa wakiyapokea vizuri na kwamba watapohitajika kwa mara nyingine watakuwa tayari kuja nchini.
Mwisho.







Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.