Skip to main content

Mbwana Samatta anaweza kuchukua Tuzo ya CAF 2018


Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) kupitia kamati yake inayoshughulika na kuandaa Tuzo za CAF 2018, imeweka wazi vigezo vya wachezaji watakaochaguliwa kuwania tuzo mbalimbali mwaka huu huku moja ya vigezo vinaonekana kumpa nafasi nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta.

Kamati hiyo imesema kigezo kikuu kitakachotumika kuchagua washiriki wa tuzo ni kiwango cha muhusika kuanzia mwezi Februari 2018 hadi Novemba 2018. Kigezo hiki hakijamtenga sana nyota huyo wa KRC Genk, kutokana na kuonesha kiwango bora katika kipindi hicho kilichotajwa.

Tangu msimu wa 2018/19 uanze katika ligi kuu ya Ubelgiji tayari Samatta amefanikiwa kufunga mabao 10, akiwa kinara wa mabao kwenye ligi hiyo huku pia akiwa ameshafunga mabao 3 katika michuano ya kombe la Europa.

Samatta tayari ni mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wa ndani, tuzo ambayo aliipata wakati akiichezea TP-Mazembe msimu wa 2015/16 ambapo aliibuka mfungaji bora wa ligi ya mabingwa Afrika kwa kufunga mabao 7.

Tuzo hizo ambazo hutambua na kuheshimu wachezaji, viongozi na watendaji wengine ambao wamefanya vizuri mwaka huu, zitatolewa Jumanne, Januari 8, 2019 huko Dakar, Senegal.

Vipengele vitakavyowaniwa.

1. Mchezaji wa Afrika wa Mwaka
2. Mchezaji bora wa Wanawake wa Mwaka
3. Mchezaji bora kijana wa Mwaka
4. Kocha bora wa Wanaume wa Mwaka
5. Kocha bora wa Wanawake wa Mwaka
6. Timu bora ya taifa ya Wanaume
7. Timu bora ya taifa ya Wanawake
8. Goli bora la Mwaka
9. Kikosi bora cha Afrika  'First XI'
10. Tuzo ya Rais wa CAF
11. Tuzo ya Platinum

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.