Skip to main content

Emmanuel Okwi akutana na kupiga stori na nyota wa The Super EaglesStephen Keshi

Timu ya Taifa ya Nigeri ‘The Super Eagles’ hapo jana siku ya Jumanne ilikuwa na kibarua kizito cha kukabiliana na Uganda ‘the Cranes’ kwenye mchezo wa kirafiki uliyopigwa katika dimba la Stephen Keshi.
Kwenye mchezo huo uliyopigwa Novemba 20, mshambuliaji wa Uganda na klabu ya Simba, Emmanuel Okwi alikutana na nyota wa Nigeria na timu ya Arsenal, Alexander Iwobi ambapo walipata nafasi ya kusalimiana na kupiga picha ya pamoja.
Picha ya wawili hao imezua mihemko tofauti kwa baadhi ya watu, wengine wakiamini kuwa katika hali ya masihara tu Okwi anaweza kujipatia nafasi katika klabu moja wapo nchini Uingereza kutokana ukaribu uliyoonekana kati yake na Iwobi.
Katika mechi hiyo ya kirafiki Nigeria ilitoka sare tasa ya bila kufungana 0 – 0 dhidi ya Uganda ambayo inakabiliwa na mchezo na Tanzania Machi 22 kukata tiketi ya kufuzu Afcon mwakani.
Nigeria imeshajikatia tiketi ya kufuzu michuano ya Afcon mwaka 2019 baada ya kutoka sare ya 1 – 1 na timu ya taifa ya Afrika Kusini mchezo uliyopigwa Johannesburg.
Kwa upande wa Uganda nayo imeshajikatia tiketi ya kushiriki michuano hiyo mikubwa baada ya kuifunga Cape Verde ba 1 – 0 mchezo uliyopigwa uwanja wa Nelson Mandela jijini Kampala.
Kikosi cha Super Eagles XI vs Uganda: Akpeyi; Ogu, Ajayi, Idowu, Collins; Etebo, Mikel Agu, Iwobi; Chukwueze, Osimhen, Musa (c).
Kikosi cha Uganda XI vs Nigeria: Salim Jamal, Nico Wadada, Godfrey Walusimbi, Dennis Iguma, Timothy Denis Awanyi, Khalid Aucho, Tadeo Lwanga, Emmanuel Arnold Okwi, Moses Waiswa, Allan Kyambadde, Derrick Nsibambi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.