Skip to main content

Emmanuel Okwi akutana na kupiga stori na nyota wa The Super EaglesStephen Keshi

Timu ya Taifa ya Nigeri ‘The Super Eagles’ hapo jana siku ya Jumanne ilikuwa na kibarua kizito cha kukabiliana na Uganda ‘the Cranes’ kwenye mchezo wa kirafiki uliyopigwa katika dimba la Stephen Keshi.
Kwenye mchezo huo uliyopigwa Novemba 20, mshambuliaji wa Uganda na klabu ya Simba, Emmanuel Okwi alikutana na nyota wa Nigeria na timu ya Arsenal, Alexander Iwobi ambapo walipata nafasi ya kusalimiana na kupiga picha ya pamoja.
Picha ya wawili hao imezua mihemko tofauti kwa baadhi ya watu, wengine wakiamini kuwa katika hali ya masihara tu Okwi anaweza kujipatia nafasi katika klabu moja wapo nchini Uingereza kutokana ukaribu uliyoonekana kati yake na Iwobi.
Katika mechi hiyo ya kirafiki Nigeria ilitoka sare tasa ya bila kufungana 0 – 0 dhidi ya Uganda ambayo inakabiliwa na mchezo na Tanzania Machi 22 kukata tiketi ya kufuzu Afcon mwakani.
Nigeria imeshajikatia tiketi ya kufuzu michuano ya Afcon mwaka 2019 baada ya kutoka sare ya 1 – 1 na timu ya taifa ya Afrika Kusini mchezo uliyopigwa Johannesburg.
Kwa upande wa Uganda nayo imeshajikatia tiketi ya kushiriki michuano hiyo mikubwa baada ya kuifunga Cape Verde ba 1 – 0 mchezo uliyopigwa uwanja wa Nelson Mandela jijini Kampala.
Kikosi cha Super Eagles XI vs Uganda: Akpeyi; Ogu, Ajayi, Idowu, Collins; Etebo, Mikel Agu, Iwobi; Chukwueze, Osimhen, Musa (c).
Kikosi cha Uganda XI vs Nigeria: Salim Jamal, Nico Wadada, Godfrey Walusimbi, Dennis Iguma, Timothy Denis Awanyi, Khalid Aucho, Tadeo Lwanga, Emmanuel Arnold Okwi, Moses Waiswa, Allan Kyambadde, Derrick Nsibambi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...