Skip to main content

Mbagara Kuu n a viunga vyake wapo hatarini kuugua magonjwa ya mlipuko


WAKAZI wa Mbagara Kuu n a viunga vyake wapo hatarini kuugua magonjwa ya mlipuko kutokana na kukosekana kwa maji safi na salama takribani miezi tisa.
Wakazi hao waliliambia gazeti hili kuwa adha hiyo ya upatikanaji wa maji imetokana na ujenzi wa Barabara zinazo boreshwa kwa kiwango cha lami katika mitaa ya Kata ya Mbagara kuu iliyo sababisha uharibifu wa miundo mbinu.
Blog  hii ililifanya jitihada mahususi ili kupata maelezo ya kina kutoka kwa Kampuni zinazotekeleza ujenzi wa barabara hiyo ambazo ni Group six kutoka China na Harrising kutoka India lakini hawakupatikana.
Kutokana na kutopatikana kwa wahusika wa Kampuni hizo mbili ambazo zinawajibika kurejesha miundo mbinu ya maji katika utaratibu wa kawaida na shughuli za ujenzi wa barabara ukiendelea Blog lilizungumza na Diwani wa kata hiyo Shaban Abubakari.
Abubakari alikiri kuwepo kwa tatizo la upatikanaji wa maji katika mitaa ya Kata ya Mbagara Kuu ikiwemo Mbagara Kuu Magharibi, Kusini na Mgeni nani Kijichi ambapo barabara 11 za mitaa hiyo zinatengenezwa kwa kiwango cha lami.
“Kutokana na wananchi wangu kuathiriwa na adha ya maji,  nimeiamuru Kamati ya Maji kuhakikisha Wakandarasi wanarekebisha miundombinu ya maji inarejea katika hali ya kawaida kama ilivyo kuwa  awali nanimetoa wiki moja ifikapo jumatatu ya juma hili mkandarasi awe amekwisha anza utekelezaji na baadhi ya mitaa ipate maji,”amesema
Agizo hilo lililotolewa mwishoni mwa juma na hadi kufikia jana halikuweza kufanikiwa ilhali wakandarasi hao na Mwenyekiti wa Kamati ya maji wakisema Mkandarasi wa maji alikwisha patikana.
Blog ilifanya jitihada za kumtafuta mkandarasi huyo bila mafanikio ambapo simu yake iliita bila kupokelewa, hata hivyo Diwani Abubakari alisema ifikapo Ijumaa hii kama hakuna hatua zozote zilizochukuliwa kuhusu upatikanaji wa maji hatua zaidi zitachukuliwa dhidi ya wakandarasi hao.
Naye Mtendaji wa Kata hiyo Rajab Ramadhani, alisema kabla ya ukarabati wa barabara za mitaa ya kata hiyo hakukuwa na tatizo la upatikanaji wa maji kwakuwa upo mradi wa maji unaosimamiwa na serikali ya mtaa huo ambao ulikuwa ukikidhi mahitaji ya msingi ya wananchi wa maeneo hayo.
“Hadi ifikapo ijumaa hii (leo) tatizo hili litapatiwa ufumbuzi wanaoathirika si wananchi pekee, hata sisi ni wahanga wa tatizo hili hivyo wavute subira ili suluhisho la tatizo hili lipatikane,”amesema.
Habiba Said mkazi wa mtaa wa Mgeninani alisema afya zao zipo hatarini kwa magonjwa ya mlipuko hususani kipindi hiki cha vuli ambapo mvua nyingi zitanyesha na kuzoa taka nyingi kutoka mitaani na kuingia katika mito wanayoitegemea na taka hizo zitakuwa na mkusanyiko wa kinyesi.
Dumu moja la lita 20 za maji huuzwa kati ya shilingi 500-700 ilihali maji hayo usalama wake unatiliwa mashaka kwakuwa watumiaji hawana uhakika na vyanzo vya maji wanayo nunua mtaani.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.