Skip to main content

Mbagara Kuu n a viunga vyake wapo hatarini kuugua magonjwa ya mlipuko


WAKAZI wa Mbagara Kuu n a viunga vyake wapo hatarini kuugua magonjwa ya mlipuko kutokana na kukosekana kwa maji safi na salama takribani miezi tisa.
Wakazi hao waliliambia gazeti hili kuwa adha hiyo ya upatikanaji wa maji imetokana na ujenzi wa Barabara zinazo boreshwa kwa kiwango cha lami katika mitaa ya Kata ya Mbagara kuu iliyo sababisha uharibifu wa miundo mbinu.
Blog  hii ililifanya jitihada mahususi ili kupata maelezo ya kina kutoka kwa Kampuni zinazotekeleza ujenzi wa barabara hiyo ambazo ni Group six kutoka China na Harrising kutoka India lakini hawakupatikana.
Kutokana na kutopatikana kwa wahusika wa Kampuni hizo mbili ambazo zinawajibika kurejesha miundo mbinu ya maji katika utaratibu wa kawaida na shughuli za ujenzi wa barabara ukiendelea Blog lilizungumza na Diwani wa kata hiyo Shaban Abubakari.
Abubakari alikiri kuwepo kwa tatizo la upatikanaji wa maji katika mitaa ya Kata ya Mbagara Kuu ikiwemo Mbagara Kuu Magharibi, Kusini na Mgeni nani Kijichi ambapo barabara 11 za mitaa hiyo zinatengenezwa kwa kiwango cha lami.
“Kutokana na wananchi wangu kuathiriwa na adha ya maji,  nimeiamuru Kamati ya Maji kuhakikisha Wakandarasi wanarekebisha miundombinu ya maji inarejea katika hali ya kawaida kama ilivyo kuwa  awali nanimetoa wiki moja ifikapo jumatatu ya juma hili mkandarasi awe amekwisha anza utekelezaji na baadhi ya mitaa ipate maji,”amesema
Agizo hilo lililotolewa mwishoni mwa juma na hadi kufikia jana halikuweza kufanikiwa ilhali wakandarasi hao na Mwenyekiti wa Kamati ya maji wakisema Mkandarasi wa maji alikwisha patikana.
Blog ilifanya jitihada za kumtafuta mkandarasi huyo bila mafanikio ambapo simu yake iliita bila kupokelewa, hata hivyo Diwani Abubakari alisema ifikapo Ijumaa hii kama hakuna hatua zozote zilizochukuliwa kuhusu upatikanaji wa maji hatua zaidi zitachukuliwa dhidi ya wakandarasi hao.
Naye Mtendaji wa Kata hiyo Rajab Ramadhani, alisema kabla ya ukarabati wa barabara za mitaa ya kata hiyo hakukuwa na tatizo la upatikanaji wa maji kwakuwa upo mradi wa maji unaosimamiwa na serikali ya mtaa huo ambao ulikuwa ukikidhi mahitaji ya msingi ya wananchi wa maeneo hayo.
“Hadi ifikapo ijumaa hii (leo) tatizo hili litapatiwa ufumbuzi wanaoathirika si wananchi pekee, hata sisi ni wahanga wa tatizo hili hivyo wavute subira ili suluhisho la tatizo hili lipatikane,”amesema.
Habiba Said mkazi wa mtaa wa Mgeninani alisema afya zao zipo hatarini kwa magonjwa ya mlipuko hususani kipindi hiki cha vuli ambapo mvua nyingi zitanyesha na kuzoa taka nyingi kutoka mitaani na kuingia katika mito wanayoitegemea na taka hizo zitakuwa na mkusanyiko wa kinyesi.
Dumu moja la lita 20 za maji huuzwa kati ya shilingi 500-700 ilihali maji hayo usalama wake unatiliwa mashaka kwakuwa watumiaji hawana uhakika na vyanzo vya maji wanayo nunua mtaani.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...