Skip to main content

droo ya michuano ya klabu barani Afrika yatajwa


Katika droo ya michuano ya klabu barani Afrika iliyotajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), wawakilishi wa Zanzibar, JKU watamenyana na Al Hilal ya Sudan na mshindi baina yao atakutanana mshindi kati ya APR FC ya Rwanda na Club Africain ya Tunisia. Hiki ndicho kikosi kamili cha Simba 2018/2019
mechi za kwanza za raundi ya pili ya pili na ya mwisho ya mchujo zitachezwa kati ya Desemba 14 na 16 na marudiano Desemba 21 na 23, mwaka huu.
Katika Kombe la Shirikisho, Mtibwa Sugar itaanza na Northern Dynamo ya Shelisheli na ikivuka mtihani huo itakutana na K.C.C.A ya Uganda.
Wawakilishi wa Zanzibar, Zimamoto wamepewa kigongo, Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini na mshindi baina yao atakutana na mshindi kati ya El Geco ya Madagascar na Deportivo Unidad ya Equatorial Guinea.

Comments