Skip to main content

Javier Aguirre amemtaka nyota wake Mo Salah kuwachana na klabu ya Liverpool

Kocha wa timu ya taifa ya Misri, Javier Aguirre amemtaka nyota wake Mo Salah kuwachana na klabu ya Liverpool kama meneja wa klabu hiyo Jurgen Klopp atashindwa kutwaa taji msimu huu.
Salah ambaye amefunga jumla ya mabao 44 msimu uliyopita amejikuta akiingia kwenye majeraha makubwa katika mchezo wa fainali ya Champions League walipokuwa wakiikabili Real Madrid.
Kwa mujibu wa chombo cha habari cha The Sun, Aguirre amemtaka meneja Jurgen Klopp kuhakikisha anatwaa taji msimu huu kama anahitaji kuendelea kuwa na nyota huyo tegemezi wa Misri.
Miamba ya soka ya Hispania Real Madrid imekuwa ikimtolea macho Salah kwa muda mrefu katika kunasa saini yake ili kuziba pengo la Cristiano Ronaldo.
Licha ya kuwa Liverpool imetwaa mataji mawili tangu mwaka 2006, Aguirre amesema kuwa Salah yupo Anfield kwaajili ya kushinda mataji makubwa hivyo ni lazima kuangalia mbali zaidi kama yanashindikana. Hivyo ni vema kuachana na Liver kama ndani ya misimu huu itashindwa kutwaa mataji.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...