Skip to main content

Vodacom Tanzania Foundation imekuwa mstari wa mbele kuchangia vifaatiba katika vituo vya afya nahospitali hapa nchini ilikuokoa maisha ya watoto njiti.



 
Pichani ni  Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Mawasiliano wa kampuni ya Vodacom Plc Tanzania Bi Jacquiline Materu akikabidhi mashine na vifaa vya hospitali ya kambi ya Nyarugusu kwa Katibu tawala wa Wilaya ya Kasulu, Titus Luguha katika kambi ya Nyarugusu, mkoani Kigoma mwishoni mwa wiki iliyopita. Vifaa hivyo vyenye thamani ya TZS milioni 25 vimetolewa na Taasisi ya Vodacom Foundation kwa hospitali hiyo ili kuongeza juhudi za kuhakikisha watoto wanaozaliwa njiti katika kambi hiyo wanaishi. Wapili kushoto ni Mkurugenzi wa taasisi ya Doris Mollel, Bi Doris Mollel na wa nne kushoto ni Mkuu wa kambi hiyo Bw. Francis Chokola.


Pichani ni  Katibu tawala wa Wilaya ya Kasulu, Titus Luguha, akimfunika moja kati ya wakimbizi waliojifungua watoto njiti katika kambi ya Nyarugusu misaada iliyotolewa na taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation kwa kambi hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita. Nyuma yake ni Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Bi Jacquiline Materu, Mkurugenzi wa taasisi ya Doris Mollel, Bi Doris Mollel na wageni na wauguzi wa hospitali hiyo.


“Watoto njiti wananafasi kubwa ya kukuana kuwana afya nzuri bila ulemavu endapo watapata msaada wa vifaa nausimamizi wa afya kuzingatiwa na ndio maana sisikama  Vodacom Tanzania Foundation tunafura   hasa na kuwa sehemu ya wanaochangia kuhakikisha watotonjiti nchini wanaishi”alisema Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mahusiano Bi  Jacquiline Materu huku akiongeza kwamba Vodacom Tanzania Foundation imejikita katika kuboresha huduma za afya na elimu kwa Wanawake pamoja na watoto nchini Tanzania.

 Akipokea vifaa hivyo kwaniaba ya serikali mwakilishi wa Katibu mkuu wizara ya Afya, MaendeleoyaJamii,Jinsia, Wazee na Watoto (anayeshughulikia Maendeleo ya Jamii, Jinsia, WazeenaWatoto) Dr John Jingu, Katibu Tawala wa Wilaya ya Kasulu Titus Mguha alizishukuru taasisi za Vodacom Tanzania Foundation  na Doris Mollel kwakuunga juhudi za serikali za kuokoa maisha ya watoto ..
 
 Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Bi Jacquiline Materu akikabidhi misaada kutoka Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation kwa Bi Beatrice, moja kati ya wakimbizi katika kambi ya Nyarugusu mkoani Kigoma mwishoni mwa wiki iliyopita. Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation imechangia vifaa hivyo vyenye thamani ya shilingi milioni 25 kwa hospitali hiyo ili kuongeza juhudi za



“Msaada huu umekuja ndani ya muda muafaka wakati ambapo serikali imezindua kampeni ya Jiongeze Tuwavushe salama kuhamasisha watu na Taasisi mbalimbali kupigania kupunguza vifo vya akina mama na watoto. Ninafuraha kubwa kuona muungano huu wa Vodacom Tanzania Foundation na Doris MollelFoundation ukifanyakazi kuboresha afya ya watoto na mama katika kambi hii,”alisema.


Kwa upande wake,Mratibu wa afya katika kambi ya Nyarugusu Dr Athumani Jumaa lisema hospitali hiyo imekuwa na changamoto ya kusaidia maisha ya watoto njiti wanaozaliwa hapo hospitalini.

“Tumefanikiwa kukarabati wodi ya watoto njiti lakini tulikuwa na changamoto ya vifaa hivyo tunashukurusana kwa mchango huu wa vifaa vya kuokoa maisha ya watoto njiti wanao zaliwa hospitalini hapa na tunaahidi uangalizi wakaribu."

Vifaa vilivyotolewa ni pamojana vifaa vya oksijeni (Oxygen concentrator) ambavyo vitasaidia
watoto njiti kupumua, thermometers 10, 4 weighing scales for infants, 40 branded bed sheets,
baby warmer, 3 suction machines, ambu bag with facemasks for infants, 1000 feeding tubes,
phototherapy machine, navitanda vitatu vya watoto.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...