Skip to main content

CUF yampongeza Rais Dk. John Pombe Magufuli kwakutatua changamoto ya ununuzi wa Korosho


Chama cha Wananchi CUF kimempongeza Rais Dk. John Pombe Magufuli kwakutatua changamoto ya ununuzi wa Korosho iliyokuwa ikiwakabili wakulima wa zao hilo katika Mikoa ya Kusini mwa Tanzania.

Tokeo la picha la Chama cha Wananchi CUF
Pongezi hizo zimeolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano Abdul Kambaya, alipozungumza na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya CUF Jijini Dar es salaam.

“Chama cha Wananchi CUF kinampongeza Rais Dk.John Pombe Magufuli kwa hatua aliyoichukuwa ya kununua korosho zote za wakulima, jambo hilo ni jema kwa maslahi ya wakulima na Uchumi wa Taifa,”amesema Kambaya
Vilele Kambaya alisema Sera ya Uchumi ya Ilani ya chama chao imeandikwa bayana jinsi itakavyo watetea wanyonge hususani wakulima nakueleza kuwa maamuzi yaliyofanywa na Rais yana mashiko.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi wa CUF Mneke Jafari , alisema sanjari na jitihada zilizochukuliwa na Rais jitihada zaidi zinahitajika kumkomboa mkulima kwakua ndiye anaye changia pato kubwa la Taifa (GDP) kwa 70%.

“Ipo haja ya yakupitia upya sera na mfumo wa Wizara ya Kilimo na Chakula ili kuepuka matatizo yanayojitokeza katika ununuzi wa mazao na bidhaa za kilimo za aina zote,  ikiwemo uwajibishwaji wa Bodi zisizo kizi vigezo kisheria,”amesema.

Wakati huohuo Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano Abduli Kambaya alizungumzia kuhama kwa Mbunge wa Temeke (CUF) Abdalah Mtolea na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi alisema CUF ipo imara.

“Hili ni vuguvugu la siasa na Mtolea siyo wa kwanza kuhama lakini cha kushangaza hoja zakuhama kwake ni dhaifu zote ukizipitia hazina mashiko mathalani kuhofia kufukuzwa wiki ijayo wakati hakuwa na ushahidi wa kimaandishi kuwa angelifukuzwa,”amesema.

Vilevile Kambaya alisema miongoni mwa hoja ambazo hazina mashiko nikuisifia CHADEMA kuwa ndiyo waliokuwa wakimpa ushirikiano kuliko CUF na badala yake CUF imegubikwa na migogoro nakutangaza Bungeni kuwa yupo tayali kushirikiana na Chama chochote na baada ya saa chache alijiunga na CCM.

Hata hivyo Kambaya alichambua wanasiasa wanaohama kutoka upinzani kuelekea CCM akisema kundi la kwanza ni la Viongozi ambao bado wanahisi wataendelea kuwa Viongozi.

Na kundi la pili alisema ni kundi ambalo haliridhiki kiuchumi na kile wanachokipata wakiamini CCM watapatiwa nyadhifa za juu kama  Ukuu wa Wilaya, Ukurugenzi wa Halmashauri, Ukuu wa Mkoa na Ubalozi.

Kushiriki au kutokushiriki katika uchaguzi utakaofanyika baada ya Mbunge Mtolea kuhama chama kutaamuliwa na Halmashauri ya Baraza Kuu la CUF ndiyo lenye Mamlaka ya kuamua washiriki au laa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.