Skip to main content

CUF yampongeza Rais Dk. John Pombe Magufuli kwakutatua changamoto ya ununuzi wa Korosho


Chama cha Wananchi CUF kimempongeza Rais Dk. John Pombe Magufuli kwakutatua changamoto ya ununuzi wa Korosho iliyokuwa ikiwakabili wakulima wa zao hilo katika Mikoa ya Kusini mwa Tanzania.

Tokeo la picha la Chama cha Wananchi CUF
Pongezi hizo zimeolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano Abdul Kambaya, alipozungumza na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya CUF Jijini Dar es salaam.

“Chama cha Wananchi CUF kinampongeza Rais Dk.John Pombe Magufuli kwa hatua aliyoichukuwa ya kununua korosho zote za wakulima, jambo hilo ni jema kwa maslahi ya wakulima na Uchumi wa Taifa,”amesema Kambaya
Vilele Kambaya alisema Sera ya Uchumi ya Ilani ya chama chao imeandikwa bayana jinsi itakavyo watetea wanyonge hususani wakulima nakueleza kuwa maamuzi yaliyofanywa na Rais yana mashiko.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi wa CUF Mneke Jafari , alisema sanjari na jitihada zilizochukuliwa na Rais jitihada zaidi zinahitajika kumkomboa mkulima kwakua ndiye anaye changia pato kubwa la Taifa (GDP) kwa 70%.

“Ipo haja ya yakupitia upya sera na mfumo wa Wizara ya Kilimo na Chakula ili kuepuka matatizo yanayojitokeza katika ununuzi wa mazao na bidhaa za kilimo za aina zote,  ikiwemo uwajibishwaji wa Bodi zisizo kizi vigezo kisheria,”amesema.

Wakati huohuo Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano Abduli Kambaya alizungumzia kuhama kwa Mbunge wa Temeke (CUF) Abdalah Mtolea na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi alisema CUF ipo imara.

“Hili ni vuguvugu la siasa na Mtolea siyo wa kwanza kuhama lakini cha kushangaza hoja zakuhama kwake ni dhaifu zote ukizipitia hazina mashiko mathalani kuhofia kufukuzwa wiki ijayo wakati hakuwa na ushahidi wa kimaandishi kuwa angelifukuzwa,”amesema.

Vilevile Kambaya alisema miongoni mwa hoja ambazo hazina mashiko nikuisifia CHADEMA kuwa ndiyo waliokuwa wakimpa ushirikiano kuliko CUF na badala yake CUF imegubikwa na migogoro nakutangaza Bungeni kuwa yupo tayali kushirikiana na Chama chochote na baada ya saa chache alijiunga na CCM.

Hata hivyo Kambaya alichambua wanasiasa wanaohama kutoka upinzani kuelekea CCM akisema kundi la kwanza ni la Viongozi ambao bado wanahisi wataendelea kuwa Viongozi.

Na kundi la pili alisema ni kundi ambalo haliridhiki kiuchumi na kile wanachokipata wakiamini CCM watapatiwa nyadhifa za juu kama  Ukuu wa Wilaya, Ukurugenzi wa Halmashauri, Ukuu wa Mkoa na Ubalozi.

Kushiriki au kutokushiriki katika uchaguzi utakaofanyika baada ya Mbunge Mtolea kuhama chama kutaamuliwa na Halmashauri ya Baraza Kuu la CUF ndiyo lenye Mamlaka ya kuamua washiriki au laa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...