Skip to main content

BENKI YA KCB TANZANIA YANDAA SEMINA ‘BIASHARA CLUB’ KWA WAFANYA BIASHARA WADOGO NA WAKATI (SME)


KCB Bank Tanzania jana iliendesha  kongamano la Biashara Club kwa mara
ya pili mwaka 2018 jijini Mwanza, Tanzania. Hii ni baada ya kuendesha
kongamano kama hili lililofana kwa wafanyabiashara zaidi ya 200 jijini
Dar es Salaam mapema mwaka huu. 

Pichani ni Ms. Lightness Mlay, KCB Bank Trade Sales Manager answers questions from Mwanza business owners and executives  during the KCB Bank Biashara Club Workshop held at Gold Crest Hotel in Mwanza on 29th November 2018. The event attended by more than 150 businesses in the SME sector aimed to build capacity on matters of finance management, record keeping and tax compliance. 

Bi. Lightness May, Meneja wa Mauzo ya Kibiashara wa Benki ya KCB akijibu maswali kutoka kwa wafanyabiashara wa jiji la Mwanza katika hafla ya Biashara Club Workshop iliyofanyika Gold Crest Hotel tarehe 29.11.2018 jijini Mwanza. Hafla hiyo iliyohudhuriwa na wafanyabiashara zaidi ya 200 ilikuwa na lengo la kutoa mafunzo katika maswala ya usimamizi wa fedha,uendeshaji wa biashara na sheria zinazohusu kodi. 

Zaidi ya kutoa elimu ya usimamizi wa fedha, uendeshaji wa biashara na sheria
za kodi, KCB Biashara Club pia inawawezesha wafanyabiashara kupanua wigo wa 
biashara zao kwa kuwakutanisha na wafanyabiashara wa nje na ndani ya nchi.

Tangu kuzinduliwa kwake mwaka 2017, KCB Biashara Club imeendelea
kuonyesha dhamira yake ya kukuza biashara katika seckta ya SME kwa
kutoa huduma bora za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wakati
yaani (SME) pamoja na kuwaonyesha mbinu za kukuza mitaji ya shughuli
zao za kibiashara.
Pichani ni Mr. Abdul Juma, KCB Bank Head of SME and Mortgage speaks with Mwanza business owners and executives  during the KCB Bank Biashara Club Workshop held at Gold Crest Hotel in Mwanza on 29th November 2018. The event attended by more than 150 businesses in the SME sector aimed to build capacity on matters of finance management, record keeping and tax compliance. 

Nd. Abdul Juma, Mkuu wa Kitengo cha wafanyabishara wadogo na wa kati akizungumza na wafanyabiashara wa jiji la Mwanza katika hafla ya Biashara Club Workshop iliyofanyika Gold Crest Hotel tarihe 29.11.2018. 
Hafla hiyo iliyohudhuriwa na wafanyabiashara zaidi ya 200 ilikuwa na lento la kutoa mafunzo katika maswala ya usimamizi wa fedha,uendeshaji wa biashara na sheria zinazohusu kodi.
Semina hiyo iliyofanyika katika Hotel ya Gold Crest jijini Mwanza ilikusanya
wafanyabiashara na wajasiriamali kutoka nyanja tofauti, wakiwa
na changamoto mbali mbali za kibiashara zikiwemo rasilimali, ushindani,
uelewa finyu katika maswala ya kodi na nyinginezo. 

Nia kubwa na
KCB Bank ikiwa ni kutaka kuwafundisha wafanyabiashara njia bora ya
kukabiliana na changamoto zinazowakumba.

Akiongea katika warsha hiyo, Meneja wa Tawi, KCB Bank Mwanza, Nd.
Emmanuel Mzava aliwashukuru wafanyabiashara na wajisiriamali kwa
kujitokeza kwa wingi kuja kupata mbinu muhimu zitakazowasaidia katika
kukabiliana na changamoto za kibiashara. “Mtegemee semina kama
hizi kwa siku za mbeleni kwani Mwanza ni jiji linaloonyesha kushamiri
kibiashara” aliongezea Nd. Mzava. 

Nd. Swetbert Thomas ambaye ni mtaalamu wa mswala ya kodi
aliyealikwa na KCB Bank Tanzania mahususi kutoa mafunzo katika warsha
hiyo aliwahimiza wafanyabiashara hao kuhusu muuhimu wa kuelewa
mifumo ya kodi hapa nchini na ni kwa namna gani unagusa biashara
zao.
Mbali na kufaidika na ujuzi wa mambo kupitia semina na safai mbalimbali
zinazoandaliwa na kitengo cha “Biashara Club”, wanachama pia
watafaidika kwa kujenga uhusiano wa kibiashara baina yao ambao
utapelekea wao kuongeza si ujuzi wa kibiashara tu, bali pia kupanua
wigo wa biashara zao.

 KCB Bank inatambua umuhimu wa wafanya biashara
wadogo na wakati katika kukuza uchumi wa nchi lakini pia
inatambua kwamba uchumi hautakuwa kama wafanya biashara hao
hawatakuwa na nyenzo sahihi za kibiashara.

Kuhusu Benki ya KCB

Benki ya KCB ni benki kubwa zaidi Afrika Mashariki na Kati iliyoanzishwa
mwaka 1896 kisiwani Zanzibar. Toka hapo benki imekua na kuenea
katika nchi za Tanzania, Kenya Sudani ya Kusini, Uganda, Rwanda, Burundi
na Ethiopia.


Leo hii ina mtandao mkubwa zaidi katika kanda hii
ikiwa na matawi 262, mashine za kutolea fedha (ATM) 962, na wakala
15,000 wanaotoa huduma za benki masaa 24 siku saba za wiki Afrika
Mashariki.

Benki ya KCB imesajiliwa katika soko la hisa la Nairobi, Dar es Salaam,
Uganda na Rwanda. KCB Bank Group pia linamiliki kampuni ya bima ya
KCB, KCB Capital na KCB Foundation. Nchini Tanzania, KCB ilifungua
milango yake mwaka 1997 na toka hapo imekuwa mdau mkubwa katika
kukuza sekta ya fedha nchini.

Kwa sasa benki ina matawi 14 Tanzania bara na visiwani Zanzibar. 
Matawi hayo ni Samora, Mlimani, Uhuru,Msimbazi, Lumumba, Buguruni, 
Oysterbay, Mbagala jijini Dar esSalaam; Moshi, Zanzibar, Arusha Main na
 TFA, Mwanza na Morogoro. 

Benki ya KCB Tanzania ni mlipa kodi mzuri, mwajiri wa watanzania zaidi
ya 300,inafundisha wafanyakazi wake weledi wa kikazi na pia pale inapotokea
nafasi inapeleka wafanyakazi katika soko la Afrika Mashariki.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.