Skip to main content

Vodacom Foundation kushirikiana na PSI, wamafanya tamasha liitwalo 'Kuwa Mjanja' lililolenga vijana kupata elimu ya Afya




Picha ni  Meneja ruzuku na mawasiliano wa Vodacom Tanzania 
Foundation,Sandra Oswald (watatu kushoto)   akionyeshwa    na  Meneja miradi 
wa PSI Tanzania, Dkt. Anna Temba  (wa pili kulia) ujumbe maalumu kwenye 


Tablet  ambayo ni maalumu kwa ajili ya kufundishia  elimu ya Afya kwa vijana  
wakati wa tamasha la Kuwa Mjanja   lililofanyika katika shule ya Sekondari 
Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo ni maalumu kwa ajili ya 
vijana kupata elimu ya Afya  lililoandaliwa na PSI  kwa Udhamini wa Vodacom 
Tanzania Foundation. Kutoka  kushoto ni mwanafunzi wa shule ya sekondari ya 
Goba  Magreth Richard, Agnes John, Mhamasishaji  wa Vijana PSI Semeni Likulo 

na Pendo Raphael (kulia)


Picha ni Meneja ruzuku na mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation,Sandra 
Oswald (katikati )  akiwa pamoja na wanafunzi  wa shule ya sekondari  Mbezi 
Mwisho jijini Dar es Salaam, wakielekezwa  na  mtaalam wa ubunifu wa kazi za 
mikono Flora  Richard   jinsi ya kutengeneza bangiri za batiki wakati wa 
Tamasha la Kuwa Mjanja  ambalo ni maalumu kwa ajili ya vijana kupata elimu ya 

Afya  iliyoandaliwa na PSI  kwa Udhamini wa Vodacom Tanzania Foundation.
Picha ni  Baadhi ya  Wanafunzi wa shule ya sekondari Mbezi Mwisho jijini Dar 
es Salaam,  wakijifunza elimu ya ujasiriamali wa kazi za mikono pamoja na 
Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald ( 
Kulia) wakati wa tamasha la Kuwa Mjanja  ambalo ni maalumu kwa ajili ya 
vijana kupata elimu ya Afya, elimu ya ujasiriamali  iliyoandaliwa na PSI  kwa 
Udhamini wa Vodacom Tanzania Foundation. 

Tamasha hilo lilifanyika katika 
Viwanja vya shule ya msingi Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam.   

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.