Skip to main content

Vodacom Foundation kushirikiana na PSI, wamafanya tamasha liitwalo 'Kuwa Mjanja' lililolenga vijana kupata elimu ya Afya




Picha ni  Meneja ruzuku na mawasiliano wa Vodacom Tanzania 
Foundation,Sandra Oswald (watatu kushoto)   akionyeshwa    na  Meneja miradi 
wa PSI Tanzania, Dkt. Anna Temba  (wa pili kulia) ujumbe maalumu kwenye 


Tablet  ambayo ni maalumu kwa ajili ya kufundishia  elimu ya Afya kwa vijana  
wakati wa tamasha la Kuwa Mjanja   lililofanyika katika shule ya Sekondari 
Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo ni maalumu kwa ajili ya 
vijana kupata elimu ya Afya  lililoandaliwa na PSI  kwa Udhamini wa Vodacom 
Tanzania Foundation. Kutoka  kushoto ni mwanafunzi wa shule ya sekondari ya 
Goba  Magreth Richard, Agnes John, Mhamasishaji  wa Vijana PSI Semeni Likulo 

na Pendo Raphael (kulia)


Picha ni Meneja ruzuku na mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation,Sandra 
Oswald (katikati )  akiwa pamoja na wanafunzi  wa shule ya sekondari  Mbezi 
Mwisho jijini Dar es Salaam, wakielekezwa  na  mtaalam wa ubunifu wa kazi za 
mikono Flora  Richard   jinsi ya kutengeneza bangiri za batiki wakati wa 
Tamasha la Kuwa Mjanja  ambalo ni maalumu kwa ajili ya vijana kupata elimu ya 

Afya  iliyoandaliwa na PSI  kwa Udhamini wa Vodacom Tanzania Foundation.
Picha ni  Baadhi ya  Wanafunzi wa shule ya sekondari Mbezi Mwisho jijini Dar 
es Salaam,  wakijifunza elimu ya ujasiriamali wa kazi za mikono pamoja na 
Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald ( 
Kulia) wakati wa tamasha la Kuwa Mjanja  ambalo ni maalumu kwa ajili ya 
vijana kupata elimu ya Afya, elimu ya ujasiriamali  iliyoandaliwa na PSI  kwa 
Udhamini wa Vodacom Tanzania Foundation. 

Tamasha hilo lilifanyika katika 
Viwanja vya shule ya msingi Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam.   

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...