Skip to main content

ADB Banki yaipatia serikali kiasi cha shilingi Bilioni 486.516 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo


Benki ya Maendeleo Afrika (ADB) imeipatia Serikali ya Tanzania kiasi cha shilingi Bilioni 486.516 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Akizungumza mbele ya waandidishi wa Habari mwishoni mwa wiki wakati wa uwekaji saini wa hati ya makubaliano ya fedha hizo, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Doto James, amesema mkopo huo ni wa mashariti nafuu ambao utarejeshwa ndani ya miaka 40.


Picha inayohusiana
“Mkopo huo uliombatana na msaada wa shilingi bilioni 45 zitakazo tumika katika bajeti ya maendeleo ya mwaka wa fedha 2018/19 ni matokeo ya utawala bora na uwajibikaji wakusimamia rasilimali fedha unaotekelezwa na Serikali ya awamu ya tano,”amesema.

Vilevile James aliitaja miradi itakayo nufaika na fedha hizo kuwa ni mradi wa ujenzi wa Njia ya kusafirisha umeme wa msongo mkubwa (400Kv) kuanzia Nyakanazi hadi Kigoma, mradi wakudhibiti sumukuvu, na mradi wa  mpango wa kuendeleza utawala bora na maendeleo ya sekta binafsi nchini.
Kwa upande wake Mwakilishi Mkaazi wa Benki ya Maendeleo Afrika Alex Mubiru, alisema kuwa ADB imekuewa na mahusiano na Serikali ya Tanzania kwa mda mrefu, ni miongoni mwa nchi za kwanza kujiunga na Benki hiyo lakini alielezea pia uwezo wa Tanzania katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.
“Benki ya ADB imekuwa na mahusiano mazuri na Tanzania kuanzia mwaka 1962 ilipoamua kuwa mwanachama katika benki hiyo na imekuwa ikichangia michango yake kila mwaka,”amesema
Kutokana na uhusiano huo ADB imevutiwa na Tanzania na kuamua kuipa Tanzania msaada wa shilingi bilioni 45 bila marejesho yoyote na kuahidi kuwa itaendelea kuisadia Tanzania katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.
Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Mifugo Mali asili na Uvuvi  katika serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Ahamad Haji alisema mkopo na msaada huo umekuja wakati muafaka nautasaidia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa pande zote mbili.
“Ni faraja kwetu kwakuwa mkopo na msaada huu utanufaisha pande zote mbili bara na visiwani ambapo umeme unatunufaisha wote japo ni huko Nyakanazi,  lakini udhibiti wa sumu kuvu unatuhusu moja kwa moja, fedha hizo zitajenga maghala ya kuhifadhia nafaka na kuboresha vituo vya utafiti na kilimo Unguja na Pemba,”amesema.
Naye  Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la umeme Tanzania Dk. Titus Mwinuka alisema kuwa kazi waliyo nayo mbele yao ni kuhakikisha mradi huo mkubwa wakufua umeme unakamilika kwa wakati.
“Kwa upande wetu wataalamu wamejipanga kuhakikisha mradi huu una kamilika nakuunganisha Mkoa wa Kigoma kwenye Gridi ya Taifa ambapo tokea nchi ipate Uhuru haijawahi kuunganishwa na gridi ya Taifa na badala yake yalikuwa yakitumika mafuta ya dizeli kuendesha mitambo ya uzalishajii umeme,”amesema.
Mradi huo wa ujenzi wa njia ya kusafirisha Umeme wa msongo mkubwa kutoka Nyakanazi hadi Kigoma wenye urefu wa kilometa  280 ni sehemu ya utekelezaji wa mpango wa serikali ya awamu ya tano ya kuwa na uchumi wa viwanda kwakujenga miundombinu wezeshi ikiwemo umeme wa uhakika kwa gharama nafuu.
Utekelezaji wa mradi huo utahusisha upanuzi wa kituo cha kupoza umeme cha Nyakanazi,ujenzi wa kituo kipya cha kupoza umeme cha Kidahwe na ununuzi wa vifaa vya uunganishaji wateja wapya wapatao 10,000 katika mkoa wa kigoma.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...