Skip to main content

Jumia ni duka pekee la mtandaoni unaloweza kuliamini kwa kufanya manunuzi ya bidhaa halisi na zenye ubora wa hali ya juu

KUELEKEA kuanza kwa msimu wa siku kuu wateja wa bidhaa za Jumia 
wametangaziwa kuanza kunufaika ambapo kunzaia Novemba 16,Jumia 
imezindua Black Friday kwa manunuzi ya bidhaa kwa ofa na mapunguzo
mpaka 70%.


Zawadi lukuki zitashindaniwa kila Ijumaa na kutolewa kwa punguzo
la 99% kwa wateja wa jiji la Dar es Salaam watakao fanya manunuzi
yatakayozidi shilingi 200,000 kupitia App ya Jumia pekee watape
lekewa hadi walipo bila gharama ya usafiri.

Akizungumzia kuhusu upekee wa kampeni ya Black Friday ya mwaka
huu,Meneja Masoko wa Jumia Tanzania Albany James ameeleza ,kuwa
kawaida huwa wanafanya tukio hilo kila ifikapo Novemba 23 ya
kila mwaka.

Alisema katika mwaka huu wamekuja katika hali tofauti sana
kwa sababu itakuwa ni kila Ijumaa hali hiyo inamaana kwamba
Black Friday itaanza rasmi Ijumaa hii ya Novemba 16,na itaende
lea mpaka Desemba 7.

"Tofauti na siku za kawaida,kila Ijumaa itakuwa ni ya kipekee
kwa sababu kutakuwa na ofa nyingi zaidi na mapumziko makubwa
ya bei kwa bidhaa zote mpaka kufikia 70% hii itawahakikishia
wateja kuwa hawapitwi kunufaika na manunuzi ya bidhaa kutoka 
kwa wafanyabiashara tofauti wanaoaminika kwenye mtandao wetu
wa Jumia,"alisema James.

James alisema ukiachana na ofa na mapunguzo,kutakuwepo na vocha
za bure za manunuzi kuanzia shilingi 5,000 hadi shilingi 80,000
kutakuwepo na mauzo ya bidhaa ya muda mfupi katika siku(Flash
Sales).


Jumia imesema kuwa kunogesha zaidi Black Friday ya mwaka huu,
kutakuwa(Treasure Hut)kila Ijumaa ambapo bidhaa itafichwa 
kwenye mtandao wa Jumia.

Hivyo mteja mwenye bahati atakayefanikiwa kuitafuta na kuipata
atauziwa kwa bei yenye punguzo la 99% yaani sawa na bure kabisa.

"Kwa mfano Ijumaa hii ya Novemba 16 ifikapo saa 9 mchana 
luninga ya kisasa yenye ukubwa wa inchi 32 inayouzwa kwa 
shilingi 570,000 mtandaoni itafichwa na itauzwa kwa shilingi
5,700 kwa mteja atakayeipata,"Alisema James.

kwa upande wake Nishit Modessa ambaye ni meneja wa tawi la
Shinyanga Emporium 1978 LTD iliyopo mtaa wa Jamhuri Dar es Salaam
aliwaambia waandishi wa habari kuwa faida ya kufanya manunuzi kwe
nye mtandao wa Jumia ni kwamba unaweza kulinganisha bidhaa kutoka
kwa wauzaji tofauti wakiwa sehemu moja,kwa kuwa bidhaa nyingi
huuzwa na muuzaji zaidi ya mmoja,kwa hiyo mteja anauhakika wa kuchagua
muuzaji mwenye bei nzuri sokoni.

Alisema angependa kutoa wito kwa watanzania kuwa werevu na kuitumia
kampeni hiyo ya Black Friday ipasavyo,kwa sababu bidhaa zozote
walizowahi kufikiria zitakuwa mbele ya macho yao kwa bei nafuu
na ofa ambazo hawakuwahi kuzitarajia.

"Kwa mfano wateja watakaofanya manunuzi yatakayozidi shilingi 200,000
kwa kutumia App ya Jumia nchini Tanzania ambayo unaweza kuipakua 
kwa Google Play au App Store,watapelekewa bidhaa zao mpaka mahali
walipo bila ya gharama ya usafiri,ofa hii itakuwa ni kwa wateja 
wa jijini Dar es Salaam pekee,"alisema Nishit.



Jumia ni duka pekee la mtandaoni unaloweza kuliamini kwa kufanya 
manunuzi ya bidhaa halisi na zenye ubora wa hali ya juu,kupitia 
mtandao wake wa www.jumia.co.tz ambapo mteja anaweza kufanya manunuzi
ya bidhaa bora na halisi muda wowote na mahali popote ulipo,mteja
pia anaweza kurudisha bidhaa endapo hatoridhika nayo ndani y7a siku 7
bila malipo yoyote na myeja anaweza lipia kwa pesa taslimu au Tigo
Pesa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...