Skip to main content

Kongamano la kutoa taswira muelekeo katika ushiriki wa watu wote katika uchumi wa viwanda lafanyika




Watafiti wa masuala ya Biashara kutoka Afrika Mashariki wamesema nchi wanachama wanapaswa kuandaa mazingira wezeshi kwa wahitimu wa vyuo vikuu ili waweze kushiriki kikamilifu katika uchumi wa viwanda.

Wito huo umetolewa na washiriki wa Kongamano la Utafiti wa Biashara na viwanda lililofanyika katika Shule ya Biashara  ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam jana.

Akitoa ufafanuzi kuhusu kongamano hilo Dk.Ambroz Ntika Mkuu wa Kurugenzi ya Biashara na Ujasiriamali wa shule ya Biashara Chuo Kikuu cha Dar es salaam alisema kongamano hilo litatoa muelekeo katika ushiriki wa watu wote katika uchumi wa viwanda.

“Serikali iandae mazingira wezeshi ambapo wanafunzi wetu kuanzia ngazi ya chini wanapohitimu waweze kujitegemea na siyo kusubiri kuajiriwa kwakufanya hivyo tutatengeneza ajira nyingi na pato la kaya na Taifa litaimarika,’alisema.

Washiriki wa Kongamano hilo watadadavua mada 12 muhimu nakuzitolea maamuzi nakuzipeleka kwa watunga sera katika serikali za nchi wananchama ili kufanyiwa kazi ambapo mada 35 zitawasilishwa.

Dk.Ntika alisema mkutano huo kwa Tanzania umekuja wakati muafaka ambapo zaidi ya viwanda 3000 vya kati na vidogo vimeanzishwa ndani ya miaka mitau ya utawala wa Rais Dk. John Pombe Magufuli.

Kwa upande wake Profesa Isaack Mbeche kutoka shule ya Biashara Chuo Kikuu cha Nairobi alisema wamekutana ili kuchambua tafiti walizozifanya nakuziwasilisha katika idara mbalimbali kwa nchi wanachama ili zifanyiwe kazi.

Hata hivyo Uhuru lilitaka kujua je tafiti hizo zinafanyiwa kazi ipasavyo au zinakusanywa na kisha kuwekwa kwenye kabati,akijibu swali hilo Profesa Mbeche alikiri kuwa kuna uzembe katika serikali za nchi wanachama kwa kisingizo cha kukosekana rasilimali fedha.

“Ni ukweli usiopingika kuwa tunaandika maandiko mengi na tafiti nyingi lakini suala la utekelezaji lina kuwa na ukwakwasi na wakati mwingine shida haipo mamlaka za juu lahasha utakuta mkuu wa idara anakwamisha utekelezaji bila sababu za msingi zaidi atakuambia fedha hakuna.

Hata hivyo Profesa Mbeche alishauri ili tuweze kuimarisha viwanda vya ndani nchi wanachama hawana budi kulinda viwanda hivyo kwakununua bidhaa za ndani na kupenda bidhaa za nchi wanachama lakini wakitakiwa kuzalisha bidhaa zenye ubora.

Mmoja wa washiriki wa Kongamano hilo ambaye pia ni mwanafunzi wa mwaka watatu akichukua shahada ya Biashara chuoni hapo Geoffrey Mwamanga aliliambia Uhuru ili soko la ndani na viwanda viweze kushamiri sula la sarafu moja na soko la pamoja ni muhimu kwa wakati huu.

“Kinadharia tunaambiwa kuna soko la pamoja limeanza lakini binafsi sioni kimatendo kwakua hatuna sarafu moja kama wenzetu huko ulaya hapa nnachoshudia ni makongamano tu na maonesho ya kimataifa ya Biashara mara jua kali au sabasaba,”alisema.

Kongamano hilo ni la 14 kufanyika nchini na Kongamano linguine litafanyika nchini Uganda mwaka 2019.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...