Skip to main content

Kongamano la kutoa taswira muelekeo katika ushiriki wa watu wote katika uchumi wa viwanda lafanyika




Watafiti wa masuala ya Biashara kutoka Afrika Mashariki wamesema nchi wanachama wanapaswa kuandaa mazingira wezeshi kwa wahitimu wa vyuo vikuu ili waweze kushiriki kikamilifu katika uchumi wa viwanda.

Wito huo umetolewa na washiriki wa Kongamano la Utafiti wa Biashara na viwanda lililofanyika katika Shule ya Biashara  ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam jana.

Akitoa ufafanuzi kuhusu kongamano hilo Dk.Ambroz Ntika Mkuu wa Kurugenzi ya Biashara na Ujasiriamali wa shule ya Biashara Chuo Kikuu cha Dar es salaam alisema kongamano hilo litatoa muelekeo katika ushiriki wa watu wote katika uchumi wa viwanda.

“Serikali iandae mazingira wezeshi ambapo wanafunzi wetu kuanzia ngazi ya chini wanapohitimu waweze kujitegemea na siyo kusubiri kuajiriwa kwakufanya hivyo tutatengeneza ajira nyingi na pato la kaya na Taifa litaimarika,’alisema.

Washiriki wa Kongamano hilo watadadavua mada 12 muhimu nakuzitolea maamuzi nakuzipeleka kwa watunga sera katika serikali za nchi wananchama ili kufanyiwa kazi ambapo mada 35 zitawasilishwa.

Dk.Ntika alisema mkutano huo kwa Tanzania umekuja wakati muafaka ambapo zaidi ya viwanda 3000 vya kati na vidogo vimeanzishwa ndani ya miaka mitau ya utawala wa Rais Dk. John Pombe Magufuli.

Kwa upande wake Profesa Isaack Mbeche kutoka shule ya Biashara Chuo Kikuu cha Nairobi alisema wamekutana ili kuchambua tafiti walizozifanya nakuziwasilisha katika idara mbalimbali kwa nchi wanachama ili zifanyiwe kazi.

Hata hivyo Uhuru lilitaka kujua je tafiti hizo zinafanyiwa kazi ipasavyo au zinakusanywa na kisha kuwekwa kwenye kabati,akijibu swali hilo Profesa Mbeche alikiri kuwa kuna uzembe katika serikali za nchi wanachama kwa kisingizo cha kukosekana rasilimali fedha.

“Ni ukweli usiopingika kuwa tunaandika maandiko mengi na tafiti nyingi lakini suala la utekelezaji lina kuwa na ukwakwasi na wakati mwingine shida haipo mamlaka za juu lahasha utakuta mkuu wa idara anakwamisha utekelezaji bila sababu za msingi zaidi atakuambia fedha hakuna.

Hata hivyo Profesa Mbeche alishauri ili tuweze kuimarisha viwanda vya ndani nchi wanachama hawana budi kulinda viwanda hivyo kwakununua bidhaa za ndani na kupenda bidhaa za nchi wanachama lakini wakitakiwa kuzalisha bidhaa zenye ubora.

Mmoja wa washiriki wa Kongamano hilo ambaye pia ni mwanafunzi wa mwaka watatu akichukua shahada ya Biashara chuoni hapo Geoffrey Mwamanga aliliambia Uhuru ili soko la ndani na viwanda viweze kushamiri sula la sarafu moja na soko la pamoja ni muhimu kwa wakati huu.

“Kinadharia tunaambiwa kuna soko la pamoja limeanza lakini binafsi sioni kimatendo kwakua hatuna sarafu moja kama wenzetu huko ulaya hapa nnachoshudia ni makongamano tu na maonesho ya kimataifa ya Biashara mara jua kali au sabasaba,”alisema.

Kongamano hilo ni la 14 kufanyika nchini na Kongamano linguine litafanyika nchini Uganda mwaka 2019.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...