Skip to main content

Kongamano la kutoa taswira muelekeo katika ushiriki wa watu wote katika uchumi wa viwanda lafanyika




Watafiti wa masuala ya Biashara kutoka Afrika Mashariki wamesema nchi wanachama wanapaswa kuandaa mazingira wezeshi kwa wahitimu wa vyuo vikuu ili waweze kushiriki kikamilifu katika uchumi wa viwanda.

Wito huo umetolewa na washiriki wa Kongamano la Utafiti wa Biashara na viwanda lililofanyika katika Shule ya Biashara  ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam jana.

Akitoa ufafanuzi kuhusu kongamano hilo Dk.Ambroz Ntika Mkuu wa Kurugenzi ya Biashara na Ujasiriamali wa shule ya Biashara Chuo Kikuu cha Dar es salaam alisema kongamano hilo litatoa muelekeo katika ushiriki wa watu wote katika uchumi wa viwanda.

“Serikali iandae mazingira wezeshi ambapo wanafunzi wetu kuanzia ngazi ya chini wanapohitimu waweze kujitegemea na siyo kusubiri kuajiriwa kwakufanya hivyo tutatengeneza ajira nyingi na pato la kaya na Taifa litaimarika,’alisema.

Washiriki wa Kongamano hilo watadadavua mada 12 muhimu nakuzitolea maamuzi nakuzipeleka kwa watunga sera katika serikali za nchi wananchama ili kufanyiwa kazi ambapo mada 35 zitawasilishwa.

Dk.Ntika alisema mkutano huo kwa Tanzania umekuja wakati muafaka ambapo zaidi ya viwanda 3000 vya kati na vidogo vimeanzishwa ndani ya miaka mitau ya utawala wa Rais Dk. John Pombe Magufuli.

Kwa upande wake Profesa Isaack Mbeche kutoka shule ya Biashara Chuo Kikuu cha Nairobi alisema wamekutana ili kuchambua tafiti walizozifanya nakuziwasilisha katika idara mbalimbali kwa nchi wanachama ili zifanyiwe kazi.

Hata hivyo Uhuru lilitaka kujua je tafiti hizo zinafanyiwa kazi ipasavyo au zinakusanywa na kisha kuwekwa kwenye kabati,akijibu swali hilo Profesa Mbeche alikiri kuwa kuna uzembe katika serikali za nchi wanachama kwa kisingizo cha kukosekana rasilimali fedha.

“Ni ukweli usiopingika kuwa tunaandika maandiko mengi na tafiti nyingi lakini suala la utekelezaji lina kuwa na ukwakwasi na wakati mwingine shida haipo mamlaka za juu lahasha utakuta mkuu wa idara anakwamisha utekelezaji bila sababu za msingi zaidi atakuambia fedha hakuna.

Hata hivyo Profesa Mbeche alishauri ili tuweze kuimarisha viwanda vya ndani nchi wanachama hawana budi kulinda viwanda hivyo kwakununua bidhaa za ndani na kupenda bidhaa za nchi wanachama lakini wakitakiwa kuzalisha bidhaa zenye ubora.

Mmoja wa washiriki wa Kongamano hilo ambaye pia ni mwanafunzi wa mwaka watatu akichukua shahada ya Biashara chuoni hapo Geoffrey Mwamanga aliliambia Uhuru ili soko la ndani na viwanda viweze kushamiri sula la sarafu moja na soko la pamoja ni muhimu kwa wakati huu.

“Kinadharia tunaambiwa kuna soko la pamoja limeanza lakini binafsi sioni kimatendo kwakua hatuna sarafu moja kama wenzetu huko ulaya hapa nnachoshudia ni makongamano tu na maonesho ya kimataifa ya Biashara mara jua kali au sabasaba,”alisema.

Kongamano hilo ni la 14 kufanyika nchini na Kongamano linguine litafanyika nchini Uganda mwaka 2019.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.