Trump asema hatasikiliza mkanda wa mauaji, amtetea bin Salman
Rais wa Marekani
Donald Trump amesema amejuzwa kuhusu mkanda wa sauti wa mauaji ya
mwanahabari Jamal Khashoggi lakini amesema binafsi hatousikiliza.
"Ni mkanda wa maumivu, ni mkanda mbaya," Trump ameiambia runinga ya Fox News.
Shirika
la ujasusi la Marekani CIA linaaminika kufikia kikomo kuwa mwanamfalme
Mohammed bin Salman aliamrisha kutekelezwa kwa maujai hayo, japo bado
Ikulu ya White House haijathibitisha uchunguzi huo.
Saudi Arabia imeziita taarifa hizo kuwa ni za uongo na kudai
kuwa bin Salman hakuwa na taarifa yoyote juu ya kutekelezwa kwa mkasa
huo.
Khashoggi, alikuwa ni kinara wa kuukosoa utawala wa kifalme
wa Saudia. Aliuawa ndani ya ubalozi mdogo wa Saudia jijini Istanbul
Oktoba 2 alipoenda kuchukua karatasi zake za talaka.
Saudia inasema aliuawa katika operesheni haramu iliyotekelezwa na maafisa wake wa usalama.
Hata
wanaomuunga mkono Trump ndani ya Bunge la Wawakilishi wanamtaka achukue
hatua kali juu ya mauaji hayo. Lakini kutokana na unyeti wa Saudia kama
mshirika thabiti wa Marekani katika Mashariki ya Kati kunamfanya Trump
kuwa mgumu katika kufanya maamuzi. Mwanamfalme wa Saudia aliamini 'Khashoggi alikuwa hatari'
Trump amesema hana haja ya kusikiliza sababu ameshaelezwa juu ya maudhui ya mkanda huo.
"Ninafahamu
kila kitu kilichomo ndani ya mkanda bila hata ya kuusikiliza,"
aliiambia Fox katika mahojiano yaliyorushwa jana Jumapili Novemba 18.
"Iikuwa ni vurumai, uovu mkubwa na mbaya sana."
Katika mahojiano hayo, Tump amesema Mohammed bin
Salman amemwambia kuwa alikuwa hajui lolote juu ya mpango na kutekelezwa
kwa mauaji hayo.
Trump amedai kuwa yawezekana isijulikane kabisa
nani alikuwa nyuma ya mauaji hayo, hata hivyo amesema tayari kuna
vikwazo vimeshawekwa juu ya wale wanaoshukiwa kutekelza uovu huo.
"Lakini
wakati huo huo tunaye mshirika na mimi nataka nishikamane na mshirika
ambaye kwa namna nyingi tu amekuwa mwema," amesema Trump.
Hata hivyo, mahojiano ya Trump na Fox yalifanyika kabla ya kuvuja kwa ripoti ya CIA.
Japo CIA hawakutoa ushahidi wa moja kwa moja juu ya
uhusika wa bin Salman to the murder, maofisa wa shirika hilo wanaamini
tukio kama hilo lisingeweza kufanyika bila ruhusa yake.
Jumamosi,
wizara ya mambo ya nje ya Marekani ilisema haijafikia hitimisho juu ya
mauaji hayo, ikisema kuna maswali mengi ambayo hayajapata majibu.
Jana Jumapili Trump amesema serikali yake lazima ifanye maamuzi.
"Tutakuwa na ripoti kamili ndani ya siku mbili, yawezekana Jumatatu au Jumanne," amesema Trump. Kwa msaada wa BBC Swahili.
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...
By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...
Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...
Comments