Skip to main content

Ozil amekataa ofa yakuwa anapokea mamilioni ya fedha kwa wiki

Nyota wa klabu ya Arsenal, Mesut Ozil amekataa ofa yakuwa anapokea mamilioni ya fedha kwa wiki ambayo yangemuwezesha kuwa miongoni mwa wachezaji ghali zaidi duniani hii ni kwa mujibu wa wakala wake, Dr Erkut Sogut.
Ozil ambaye ni raia wa Ujerumani alikuwa amesaliwa na muda mchache wa kuwepo Arsenal kutokana na mkataba wake kuelekea ukingoni kabla ya kuingia kandarasi mpya ya miaka mitatu na nusu mwezi Februari iliyomfanya aweanachukuchua kiasi cha pauni 350,000 kwa wiki na hivyo kumuwezesha kuwa mchezaji anayevuta fedha ndefu zaidi kuliko wote ndani ya timu hiyo.
Kupitia mahojiano yake na Evening Standard, Sogut amesema kuwa Ozil alikataa ofa kutoka ‘Asia’ ambayo ingemfanya kuweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza duniani kulipwa pauni milioni moja kwa wiki.
”Tulipata baadhi ya ofa kubwa kutoka Asia, kweli zilikuwa ofa zaajabu sana lakini fedha siyo kitu kikubwa sana kwa Mesut,” amesema Sogut ambaye ni wakala wa Ozil.
”Nikweli fedha ni kitu muhimu kukifikiria lakini watu lazima wakumbuke kuwa uwezo wa soka ni moja kati ya vitu vinavyopaswa kuwa na makubaliano.”
”Hii imekuja kutoka tu ndani ya moyo wake, tulikuwa huru kusaini klabu nyingine lakini mwishowe, Mesut aliipenda Arsenal. Maamuzi yote nilimuwachia mwenyewe na mwisho akasema hapa ni nyumbani kwangu nahitaji kuendelea kuwa hapa.”
Ozil ametuwa Arsenal akitokea kwa miamba ya soka ya Hispania na mabingwa wa klabu bingwa barani Ulaya timu ya Real Madrid mwaka 2013.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.