Skip to main content

Ozil amekataa ofa yakuwa anapokea mamilioni ya fedha kwa wiki

Nyota wa klabu ya Arsenal, Mesut Ozil amekataa ofa yakuwa anapokea mamilioni ya fedha kwa wiki ambayo yangemuwezesha kuwa miongoni mwa wachezaji ghali zaidi duniani hii ni kwa mujibu wa wakala wake, Dr Erkut Sogut.
Ozil ambaye ni raia wa Ujerumani alikuwa amesaliwa na muda mchache wa kuwepo Arsenal kutokana na mkataba wake kuelekea ukingoni kabla ya kuingia kandarasi mpya ya miaka mitatu na nusu mwezi Februari iliyomfanya aweanachukuchua kiasi cha pauni 350,000 kwa wiki na hivyo kumuwezesha kuwa mchezaji anayevuta fedha ndefu zaidi kuliko wote ndani ya timu hiyo.
Kupitia mahojiano yake na Evening Standard, Sogut amesema kuwa Ozil alikataa ofa kutoka ‘Asia’ ambayo ingemfanya kuweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza duniani kulipwa pauni milioni moja kwa wiki.
”Tulipata baadhi ya ofa kubwa kutoka Asia, kweli zilikuwa ofa zaajabu sana lakini fedha siyo kitu kikubwa sana kwa Mesut,” amesema Sogut ambaye ni wakala wa Ozil.
”Nikweli fedha ni kitu muhimu kukifikiria lakini watu lazima wakumbuke kuwa uwezo wa soka ni moja kati ya vitu vinavyopaswa kuwa na makubaliano.”
”Hii imekuja kutoka tu ndani ya moyo wake, tulikuwa huru kusaini klabu nyingine lakini mwishowe, Mesut aliipenda Arsenal. Maamuzi yote nilimuwachia mwenyewe na mwisho akasema hapa ni nyumbani kwangu nahitaji kuendelea kuwa hapa.”
Ozil ametuwa Arsenal akitokea kwa miamba ya soka ya Hispania na mabingwa wa klabu bingwa barani Ulaya timu ya Real Madrid mwaka 2013.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...