Skip to main content

Waumini wa Dini ya kiislamu Mkoa wa Dar es salaam wamekumbushwa kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa kutenda matendo mema



Image result for sheikh mkuu wa mkoa wa dar es salaam
Sheikh wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Alhaji Mussa Salum.
Waumini wa Dini ya kiislamu Mkoa WA Dar es salaam wamekumbushwa kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa kutenda matendo mema na kuepukana mambo yaliyokatazwa na Mwenyezimungu.

kauli hiyo inakuja kufuatia waislamu wote duniani kuanza kufunga mwezi mtukufu wa ramadhani ambapo kuanzia mei 17  wanajizuilia kwa kutofanya maovu,kujizuia kula na kunywa  na kuacha mambo ambayo yanaenda kinyume na mwenyezimungu subhana wataala.

Kufuatia mwezi mtukufu Sheikh wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Alhaji Mussa Salum amesema ni vyema waumini wa kiislamu wakatambua kuwa kufunga mwezi mtukufu wa ramadhani ni ibada ambapo ni nguzo ya nne ya kiislamu.
Alhaji Salum amewaambia waislamu waepukane na dhana ya kuwa kufunga ni kujizuilia kula tu bali pia kuepukana na maovu ambayo Mwenyezimungu ameyakataza kwa muumini kuweza kuyafanya.
Amesema waislamu wanapaswa kutambua utukufu wa mwezi huu hivyo wajishughulishe katika kusoma kurani ambapo kwa mkoa huu wameandaa mashindano manne ya usomaji wa kurani yatakayofanyika ndani ya mwezi huu.
Hata hivyo Alhaji Salum ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuonyesha jitihada za kukabiliana na mapungufu ya mafuta na vyakula jambo ambalo litawaondolea shaka waislamu wakati wa mfungo wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa kujipatia mahitaji Muhimu.
Mwezi mosi katika kumi la kwanza la mwezi mtukufu wa ramadhani mwezi ambao kila muislam mwenye uwezo wa kufunga anatakiwa kutekeleza ibada hii.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...