Skip to main content

Waumini wa Dini ya kiislamu Mkoa wa Dar es salaam wamekumbushwa kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa kutenda matendo mema



Image result for sheikh mkuu wa mkoa wa dar es salaam
Sheikh wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Alhaji Mussa Salum.
Waumini wa Dini ya kiislamu Mkoa WA Dar es salaam wamekumbushwa kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa kutenda matendo mema na kuepukana mambo yaliyokatazwa na Mwenyezimungu.

kauli hiyo inakuja kufuatia waislamu wote duniani kuanza kufunga mwezi mtukufu wa ramadhani ambapo kuanzia mei 17  wanajizuilia kwa kutofanya maovu,kujizuia kula na kunywa  na kuacha mambo ambayo yanaenda kinyume na mwenyezimungu subhana wataala.

Kufuatia mwezi mtukufu Sheikh wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Alhaji Mussa Salum amesema ni vyema waumini wa kiislamu wakatambua kuwa kufunga mwezi mtukufu wa ramadhani ni ibada ambapo ni nguzo ya nne ya kiislamu.
Alhaji Salum amewaambia waislamu waepukane na dhana ya kuwa kufunga ni kujizuilia kula tu bali pia kuepukana na maovu ambayo Mwenyezimungu ameyakataza kwa muumini kuweza kuyafanya.
Amesema waislamu wanapaswa kutambua utukufu wa mwezi huu hivyo wajishughulishe katika kusoma kurani ambapo kwa mkoa huu wameandaa mashindano manne ya usomaji wa kurani yatakayofanyika ndani ya mwezi huu.
Hata hivyo Alhaji Salum ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuonyesha jitihada za kukabiliana na mapungufu ya mafuta na vyakula jambo ambalo litawaondolea shaka waislamu wakati wa mfungo wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa kujipatia mahitaji Muhimu.
Mwezi mosi katika kumi la kwanza la mwezi mtukufu wa ramadhani mwezi ambao kila muislam mwenye uwezo wa kufunga anatakiwa kutekeleza ibada hii.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.