Skip to main content

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala yaja na ubunifu mpya ni kuhusu Choo cha mtoto wa kike

Mratibu wa Kampeni ya ujenzi  wa choo cha Mtoto wa kike ambaye pia ni Ofisa Habari wa Manispaa ya Ilala , Tabu Shaibu (katikati) akizungumzia maandalizi ya uzinduzi rasmi wa kampeni hiyo unaotarajia kufanyika Oktoba 11 mwaka huu katika hoteli ya Lamada. Kulia ni Mwenyekiti wa kampeni hiyo na Ofisa Elimu Msingi manispaa ya Ilala Elizabeth Thomas na kushoto ni moja ya wajumbe wa kampeni hiyo.


 Halmashauri ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam imesema
inatarajia kufanya uzinduzi wa kampeni maalumu ya ujenzi wa Choo cha mtoto wa kike Oktoba 11 kwa kuanza na shule zote za msingi katika manispaa hiyo.
  
Katika kuanzisha kampeni hiyo  mgeni rasmi katika Uzinduzi huo anatarajiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe.Sophia Mjema na kuwaomba wadau mbalimbali kujitokeza na kuweza kuwaunga mkono .


Akizungumza na waandishi wa habari jana Mratibu wa kampeni hiyo ambaye pia ni Ofisa Habari wa Manispaa ya Ilala Tabu Shaibu alisema  watumishi wanawake wa manispaa hiyo wanatambua na kuthamini jitihada kubwa za Serikali ya awamu ya tano na wadau wa maendeleo katika  kukabiliana na changamoto za mtoto wa kike na kuamua kuanzisha kampeni hiyo kama sehemu ya mchango wao.

Aidha ameeleza sababu za ujenzi wa choo cha mtoto wa kike, na kusema kuwa kila ifikapo Oktoba 11 ya kila mwaka ni siku ya Kimataifa ya Mtoto wa kike duniani na lengo la maadhimisho hayo ni kuelimisha na kuhamasisha jamii kutambua umuhimu wa kutetea haki za mtoto wa kike.

"Tafiti zimefanyika kuhusu sababu zinazochangia mahudhurio hafifu ya mtoto wa kike darasani hasa  wa darasa la saba na takwimu zao zinabainisha wasichana wa darasa la saba hawahudhurii shuleni kati ya siku nne hadi tano kila mwezi.Vyoo visivyofaa kwa matumizi hasa kwa wasichana wanaoingia hedhi huleta changamoto kubwa kwao.


"Kutokana na changamoto hiyo watumishi wanawake wa Manispaa ya Ilala wameona wanao wajibu wa kuunga mkono juhudi za Serikali na kuendelea kuihamasisha jamii na wadau kujenga choo bora cha kisasa kitakachokuwa rafiki kwa mtoto huyu wa kike,"amesema Shaibu.
Amesema mpango huo endevu unatarajia kujenga vyoo 120 katika wilaya ya Ilala ambapo thamani ya choo kimoja ni shilingi milioni 20 .

"Manispaa yangu ipo katika kampeni endelevu ya ujenzi wa choo cha mwanafunzi wa kike katika shule za msingi  mpango huu wa choo lengo kuu kumsaidia mwanafunzi aweze kushiriki masomo katika siku nne hadi tano za mwezi"amesema 

Amesema tafiti mbalimbali zimefanyika kuhusiana na sababu mahudhurio hafifu ya mtoto wa kike darasani hususani wa darasa la saba siku tano za kila mwezi kutokana na vyoo visivyofaa kwa matumizi hasa Kwa wasichana

Amesema kila mwaka watumishi wa manispaa hiyo wameweka utaratibu wa kukutana (Kichen Paty Gala) na kuunga mkono juhudi hizo na kuendelea kuhamasisha jamii na wadau kuweza kujenga choo bora cha kisasa ambacho kitakuwa rafiki kwa mtoto wa kike ambapo kila mtumishi wa kike ameweza kuchangia shilingi, 50,000..


Kwa upande Ofisa Elimu Msingi Elzabeth Thomas amewataka wadau kuunga mkono kampeni hiyo  michango yote ielekezwe katika akaunti ya Manispaa ya Ilala Benki ya CRDB  akaunti 0150251270500 .

Elizabeti Thomas amesema kauli mbiu ya siku hiyo ni 'Binti makini Mwamvuli wangu Stara"alitolea mfano kuwa binti makini ni yule ambaye anajitambua na kujaa thamani yake kwa kuwa na maadili mazuri na hodari

Amesema uwepo wa choo cha maalum cha mtoto wa kike kitamwezesha kukaa shuleni kwa muda mrefu kushiriki masomo kikamilifu badala ya kubaki nyumbani wakati wa hedhi hali inayoathiri mtiririko wa maudhurio darasani.

"Wanafunzi wa kike wanakabiriwa na changamoto mbalimbali hii moja ya choo kama manispaa tumeimaliza tumeweza pia kujenga choo cha mfano eneo la Chanika ambacho kitazinduliwa "alisema Thomas

Pia ameongeza kuwa mwaka jana Manispaa hiyo wanafunzi watatu walikutwa na ujauzito mara baada kutokea hali changamoto hiyo ameweza kumshirikisha mkuu wa Wilaya Ilala kumaliza changamoto hiyo ya kupata mimba za utotoni.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...