Skip to main content

Njia ya mwasonga-Kisarawe-Kibada imefungwa na kuleta shida kiwanda cha Nyati


MADEREVA wa malori wanao safirisha simenti katika  kiwanda cha Nyati kilichopo nje kidogo mwa manispaa ya kigamboni kuelekea mikoa mbali mbali wameiomba serikali kutengeneza bara bara itokayo mwasonga hadi kibada kwa kiwango cha lami na ubora zaidi.

Madereva hao walioonekana na hali ya kutia, huruma , wengi wana wiki tatu hadi nne wakiwa wamekwama ,hivyo kuhatarisha afya zao na hata hasara kwa siment ambayo inanyeshewa na mvua nakupelekea kuganda nakumsababishia hasara mfanyabiashara


Hayo yamejiri hivi karibuni gazeti hili lilipozuru eneo la tukio nakushuhudia gari zaidi ya 60 zikiwa zimepaki barabarani zikishindwa kuendelea na safari kutokana na ubovu wa barabara hiyo.

Mmoja wa madereva hao aliye fahamika kwa jina la Daniel Mushi kutoka kampuni ya usambazaji ya Mvita ya jijini Dodoma, alisema yeye ni miongoni mwa madereva waliokwama kwa takribani wiki tatu sasa huku akiwa hajui hatima yake ,amesema maisha yamekuwa magumu sana kwani mabosi hawaelewi wanachotaka nikuona mzigo umewafikia na si vinginevyo.

“Ndugu mwandishi ombwe langu nalielekeza kwa menejiment ya kiwanda cha nyati wao wapo ofisini wanakula upepo tuu ,lakini sisi tunateseka ,gari zao ndiyo zinakuwa za kwanza za kwetu zinakuwa za mwisho tukifika kilometa kadhaa tunaambiwa barabara ipo chini ya kiwango hivyo gari zeye uzito mkubwa haziwezi kupita nyingi.Alisema,”.


Hata hivyo lawama nyingine zikawendea Mamlaka ya barabara TANROAD kwakutotengeneza barabara hiyo kwa ubora ilihali wanaelewa kuwa mvua kubwa zingenyesha kipindi hiki cha masika


Njia wanayotumia ni ya jeshini kwakuwa njia ya mwasonga-Kisarawe-Kibada imefungwa ambapo wanayotumia huwalazimu kukaa siku tatu kwa umbali wa kilometa 20 tu ,serikali itupie jicho eneo hilo

Aron Michael ambaye pia ni mmoja wa madereva hao alisema kuwa Wizara ya Viwanda inayo dhamana ya kuhakikisha inaweka mazingira wezeshi viwandani ikiwemo miundo mbinu ya barabara kwani kiwanda hicho ni miongoni mwa viwanda vinavyoliingizia taifa fedha

“Kiwanda kikubwa kama hiki kishindwe kutengeneza kilometa 20 kwa kiwango cha ubora,au tanroad washindwe, kilio chetu barabara itengenezwe .Alisema Michael.

Gazeti hili linaendelea na jitihada za kuwapata watu wa tanroad ili waweze kulitolea ufafanuzi suala hilo.


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...