Skip to main content

Njia ya mwasonga-Kisarawe-Kibada imefungwa na kuleta shida kiwanda cha Nyati


MADEREVA wa malori wanao safirisha simenti katika  kiwanda cha Nyati kilichopo nje kidogo mwa manispaa ya kigamboni kuelekea mikoa mbali mbali wameiomba serikali kutengeneza bara bara itokayo mwasonga hadi kibada kwa kiwango cha lami na ubora zaidi.

Madereva hao walioonekana na hali ya kutia, huruma , wengi wana wiki tatu hadi nne wakiwa wamekwama ,hivyo kuhatarisha afya zao na hata hasara kwa siment ambayo inanyeshewa na mvua nakupelekea kuganda nakumsababishia hasara mfanyabiashara


Hayo yamejiri hivi karibuni gazeti hili lilipozuru eneo la tukio nakushuhudia gari zaidi ya 60 zikiwa zimepaki barabarani zikishindwa kuendelea na safari kutokana na ubovu wa barabara hiyo.

Mmoja wa madereva hao aliye fahamika kwa jina la Daniel Mushi kutoka kampuni ya usambazaji ya Mvita ya jijini Dodoma, alisema yeye ni miongoni mwa madereva waliokwama kwa takribani wiki tatu sasa huku akiwa hajui hatima yake ,amesema maisha yamekuwa magumu sana kwani mabosi hawaelewi wanachotaka nikuona mzigo umewafikia na si vinginevyo.

“Ndugu mwandishi ombwe langu nalielekeza kwa menejiment ya kiwanda cha nyati wao wapo ofisini wanakula upepo tuu ,lakini sisi tunateseka ,gari zao ndiyo zinakuwa za kwanza za kwetu zinakuwa za mwisho tukifika kilometa kadhaa tunaambiwa barabara ipo chini ya kiwango hivyo gari zeye uzito mkubwa haziwezi kupita nyingi.Alisema,”.


Hata hivyo lawama nyingine zikawendea Mamlaka ya barabara TANROAD kwakutotengeneza barabara hiyo kwa ubora ilihali wanaelewa kuwa mvua kubwa zingenyesha kipindi hiki cha masika


Njia wanayotumia ni ya jeshini kwakuwa njia ya mwasonga-Kisarawe-Kibada imefungwa ambapo wanayotumia huwalazimu kukaa siku tatu kwa umbali wa kilometa 20 tu ,serikali itupie jicho eneo hilo

Aron Michael ambaye pia ni mmoja wa madereva hao alisema kuwa Wizara ya Viwanda inayo dhamana ya kuhakikisha inaweka mazingira wezeshi viwandani ikiwemo miundo mbinu ya barabara kwani kiwanda hicho ni miongoni mwa viwanda vinavyoliingizia taifa fedha

“Kiwanda kikubwa kama hiki kishindwe kutengeneza kilometa 20 kwa kiwango cha ubora,au tanroad washindwe, kilio chetu barabara itengenezwe .Alisema Michael.

Gazeti hili linaendelea na jitihada za kuwapata watu wa tanroad ili waweze kulitolea ufafanuzi suala hilo.


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.