Skip to main content

Walimu watakiwa kuepuka habari potofu za uundwaji wa mfuko mmoja wa jamii.



Walimu watakiwa kuepuka habari potofu za uundwaji wa mfuko mmoja wa  jamii.
Walimu  wametakiwa  kuondokana na dhana potofu kuwa uundwaji kuwa  mfuko wa  jamii mmoja utawapunja mafao yao baada ya kustaafu inayowasababisha kuomba kustaafu  kwa  hiari.
Hatua hiyo imekuja baada ya wimbi kubwa la walimu kuomba  kustaafu kwa hiari kutokana na habari za uongo za mitandaoni zinazoeleza endapo utaundwa mfuko huo mafao yao yatapunjwa.


Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu  wa Tume ya Utumishi wa Walimu Tanzania, Winfrida Rutahindwa  katika  Mkutano uliowakutanisha Maofisa  elimu, walimu na Wakuu wa Shule za Manispaa ya Ilala.



Amesema idadi kubwa ya walimu wamekuwa wakiomba kustaafu sababu ya habari za uongo zinazosambazwa na kwamba mfuko huo utakapoundwa utawasaidia kuwaborshea maslahi ya mafao yao.
“Wimbi kubwa la walimu wanastaafu kwa hiari kuogopa kupunjwa mafao kisa mchakato wa kuundwa mfuko mmoja wa jamii nawaombeni muwe na subira serikali inafanya jambo  jema la kuwanufaisha,”amesema.

Amewataka walimu kutekeleza majukumu yao kwa kufuata sheria na taratibu za utumishi wa umma na kwamba kufanya hivyo kutasaidia kuongeza ufaulu wa wanafunzi.

Amewasisitiza maofisa elimu na wakurugenzi kuwahudumia vizuri pale wanapowasilisha changamoto zao na kwamba kuwanyanyasa kutasababisha matokeo mabaya ya wanafunzi.

Amewakumbusha wakuu wa vyuo nchini kutopokea walimu ambao hawajawasilisha barua za ruhusa ya masomo  na kuwataka walimu kufundisha kwa bidii..

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.