Skip to main content

Walimu watakiwa kuepuka habari potofu za uundwaji wa mfuko mmoja wa jamii.



Walimu watakiwa kuepuka habari potofu za uundwaji wa mfuko mmoja wa  jamii.
Walimu  wametakiwa  kuondokana na dhana potofu kuwa uundwaji kuwa  mfuko wa  jamii mmoja utawapunja mafao yao baada ya kustaafu inayowasababisha kuomba kustaafu  kwa  hiari.
Hatua hiyo imekuja baada ya wimbi kubwa la walimu kuomba  kustaafu kwa hiari kutokana na habari za uongo za mitandaoni zinazoeleza endapo utaundwa mfuko huo mafao yao yatapunjwa.


Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu  wa Tume ya Utumishi wa Walimu Tanzania, Winfrida Rutahindwa  katika  Mkutano uliowakutanisha Maofisa  elimu, walimu na Wakuu wa Shule za Manispaa ya Ilala.



Amesema idadi kubwa ya walimu wamekuwa wakiomba kustaafu sababu ya habari za uongo zinazosambazwa na kwamba mfuko huo utakapoundwa utawasaidia kuwaborshea maslahi ya mafao yao.
“Wimbi kubwa la walimu wanastaafu kwa hiari kuogopa kupunjwa mafao kisa mchakato wa kuundwa mfuko mmoja wa jamii nawaombeni muwe na subira serikali inafanya jambo  jema la kuwanufaisha,”amesema.

Amewataka walimu kutekeleza majukumu yao kwa kufuata sheria na taratibu za utumishi wa umma na kwamba kufanya hivyo kutasaidia kuongeza ufaulu wa wanafunzi.

Amewasisitiza maofisa elimu na wakurugenzi kuwahudumia vizuri pale wanapowasilisha changamoto zao na kwamba kuwanyanyasa kutasababisha matokeo mabaya ya wanafunzi.

Amewakumbusha wakuu wa vyuo nchini kutopokea walimu ambao hawajawasilisha barua za ruhusa ya masomo  na kuwataka walimu kufundisha kwa bidii..

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...