Skip to main content

Kesi ya AG Kilangi na wananchi wa Vicheji mgogoro wa ardhi kusikilizwa Julai 26

Hussein Ndubikile,Pwani

Baraza  la Ardhi na Nyumba la Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani  limesema Julai 26 mwaka huu litaanza kuisikiliza kesi ya msingi ya mgogoro wa ardhi kati ya  Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG), Adelardus Kilangi ambaye ni mdai dhidi ya wadaiwa zaidi ya 70 ambao ni wananchi wa Kijiji cha Vicheji kilichopo wilayani humo.

Hatua hiyo imdikiwa jana wakati Mwenyekiti wa baraza hilo Mwakibuja alipokuwa akisoma uamuzi wa mapingamizi yaliyowasilishwa na pande mbili katika shauri hilo.

Akisoma uamuzi huo leo wialyani humo, Mwenyekiti Mwakibuja aliitupilia mbali hoja ya mdai Kilangi ambayo iliwasilishwa kwa maandishi barazani hapo kupitia wakili wake Daudi Maginge Kuwa wadaiwa hawana nguvu ya kumshtaki..

" Baraza linatupilia mbali hoja hiyo kwa kuwa kila raia ana haki ya kushtaki na kushtakiwa,' Anadai Mwenyekiti Mwakibuja.

Pande mbili zilwasilisha mapingamizi mbalimbali kwa maandishi huku wadaiwa wakiliomba baraza limuongeze mwenyekiti wao wa kijiji Ramadhani Maulid katika shauri hilo ombi ambalo lilitupiliwa mbali kwa kukosekana vielelezo vya kutosha.

Mgogoro katika kesi namba 55 ya mwaka 2016 unawahusisha wadaiwa Said Kaisi 46, Bakari Saguti 60, Omary Issa 42, Juma Omary 40, Salima Bilali (53), Regia Issaya(55) ,Sada Abdallah(72)  na ambao kwa pamoja wanadaiwa kuingia kwenye shamba la Kilangi bila kibali.

Washitakiwa hao kwa pamoja inadaiwa kuwa Mei 9 2016 katika Kijiji cha Vicheji waliharibu Miti 13 ya Minazi na nyumba mbili vyenye thamani ya Sh. Mil 22.2 mali ya AG  Kilangi.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi julai 26 mwaka huu itakapokuja kwa ajili ya kuanza kusikilizwa ambapo nje ya mahakama wadaiwa waliulalamikia uongozi wa baraza hilo kwa kuwachanganya haswa pale  muda wa kesi kuanza tofauti ilivyopangwa awali.

Akizungumzia suala la muda kwenda tofauti mdaiwa Saidi Kaisi amesema baraza limekuwa likipangua muda wa kesi yao bila taarifa hali inayowanyong'onyeza na kuwafanya wajiulize maswali mengi kuhusiana na mwenendo mzima wa kesi.

" Tunafahamu kuw kesi yetu tunapambana na mtu mkubwa serikalini lakini kwakuwa serikali yetu ni sikivu tunaimani mahakama itatenda haki,'amesema kaisi

Naye Jonas  Kyando ambaye ni mdaiwa amebainisha awali waliambiwa kesi hiyo ingsikilizwa muda wa saa 5 asubuhi lakini cha kushangaza saa 4 asubuhi uamuzi ulitoka bila kuambiwa hali inayowaweka njia panda kupata haki yao.
Hata hivyo wanakijiji wengine  waliungana kma pamoja kuomba haki ya wanyonge isidhulumiwe.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...