Skip to main content

Kesi ya AG Kilangi na wananchi wa Vicheji mgogoro wa ardhi kusikilizwa Julai 26

Hussein Ndubikile,Pwani

Baraza  la Ardhi na Nyumba la Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani  limesema Julai 26 mwaka huu litaanza kuisikiliza kesi ya msingi ya mgogoro wa ardhi kati ya  Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG), Adelardus Kilangi ambaye ni mdai dhidi ya wadaiwa zaidi ya 70 ambao ni wananchi wa Kijiji cha Vicheji kilichopo wilayani humo.

Hatua hiyo imdikiwa jana wakati Mwenyekiti wa baraza hilo Mwakibuja alipokuwa akisoma uamuzi wa mapingamizi yaliyowasilishwa na pande mbili katika shauri hilo.

Akisoma uamuzi huo leo wialyani humo, Mwenyekiti Mwakibuja aliitupilia mbali hoja ya mdai Kilangi ambayo iliwasilishwa kwa maandishi barazani hapo kupitia wakili wake Daudi Maginge Kuwa wadaiwa hawana nguvu ya kumshtaki..

" Baraza linatupilia mbali hoja hiyo kwa kuwa kila raia ana haki ya kushtaki na kushtakiwa,' Anadai Mwenyekiti Mwakibuja.

Pande mbili zilwasilisha mapingamizi mbalimbali kwa maandishi huku wadaiwa wakiliomba baraza limuongeze mwenyekiti wao wa kijiji Ramadhani Maulid katika shauri hilo ombi ambalo lilitupiliwa mbali kwa kukosekana vielelezo vya kutosha.

Mgogoro katika kesi namba 55 ya mwaka 2016 unawahusisha wadaiwa Said Kaisi 46, Bakari Saguti 60, Omary Issa 42, Juma Omary 40, Salima Bilali (53), Regia Issaya(55) ,Sada Abdallah(72)  na ambao kwa pamoja wanadaiwa kuingia kwenye shamba la Kilangi bila kibali.

Washitakiwa hao kwa pamoja inadaiwa kuwa Mei 9 2016 katika Kijiji cha Vicheji waliharibu Miti 13 ya Minazi na nyumba mbili vyenye thamani ya Sh. Mil 22.2 mali ya AG  Kilangi.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi julai 26 mwaka huu itakapokuja kwa ajili ya kuanza kusikilizwa ambapo nje ya mahakama wadaiwa waliulalamikia uongozi wa baraza hilo kwa kuwachanganya haswa pale  muda wa kesi kuanza tofauti ilivyopangwa awali.

Akizungumzia suala la muda kwenda tofauti mdaiwa Saidi Kaisi amesema baraza limekuwa likipangua muda wa kesi yao bila taarifa hali inayowanyong'onyeza na kuwafanya wajiulize maswali mengi kuhusiana na mwenendo mzima wa kesi.

" Tunafahamu kuw kesi yetu tunapambana na mtu mkubwa serikalini lakini kwakuwa serikali yetu ni sikivu tunaimani mahakama itatenda haki,'amesema kaisi

Naye Jonas  Kyando ambaye ni mdaiwa amebainisha awali waliambiwa kesi hiyo ingsikilizwa muda wa saa 5 asubuhi lakini cha kushangaza saa 4 asubuhi uamuzi ulitoka bila kuambiwa hali inayowaweka njia panda kupata haki yao.
Hata hivyo wanakijiji wengine  waliungana kma pamoja kuomba haki ya wanyonge isidhulumiwe.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.