Skip to main content

Idara ya Huduma za Kinga nchini imejipanga kukabiliana na ugonjwa wa Ebola

IDARA ya Huduma za Kinga  ya Wizara ya Afya ,Maendeleo ya    Jamii ,Jinsia ,Wazee na Watoto imesema ugonjwa wa Ebola ni janga hivyo serikali   imejipanga kukabiliana nao.
Ugonjwa huo ambao tayari umeripotiwa kuwapo Jamhuri ya Kidemokirasia ya Congo (DRC) tangu mei 8 mwaka huu na hadi kufikia sasa watu 51 wameri potiwa kupata maambukizi na 27 kati yao wamefariki dunia.
Hayo yamesemwa Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita na Kaimu Mkurugenzi  wa Idara hiyo Dkt.Khalid Massa wakati wa kikao cha tathimini  kati ya Kamati  ya Kitaifa ya kukabiliana na magonjwa ya Mlipuko.
Alisema Tanzania tumewekwa nafasi ya pili miongoni mwa nchi zenye uwezekano  wa kupata maambukizi ya ugonjwa huo kwa haraka kwa kuwa tupo jirani  na DRC .
"Ugonjwa huo ulishawahi kutokea miaka ya nyuma katika baadhi ya nchi zilizopo Barani Afrika na katika kipindi hicho waliweza kuwapa mafunzo wataalamu wao na wapo walio kwenda kusaidia katika baadhi ya nchi ,"alisema  Dkt. Massa.
Alisema tathimini  ya Shirika la Afya Duniani  imeonesha tupo katika rangi ya kijani ikimaanisha  vizuri kuukabili ugonjwa huu na kuwa wamejiandaa vizuri kuukabili ugonjwa huo na tayari wanayo miongozo mbali mbali waliyo andaa na wameandaa mipango madhubuti sambamba na kuwa wamejitaidi  kuweka gharama ya kuukabili ugonjwa huo usifike nchini.

Tiba ya Ebola

Aidha Dkt.Massa alisema Wizara imepokea mapendekezo yaliyotolewa na maofisa wa WHO ikiwemo hiyo ya mafunzo zaidi na elimu kwa umma jinsi ya kuepuka kupata maambukizi ya ugonjwa huo ikiwa na hali ya kuzitam bua dalili sake.
Aliongeza kuwa bado nchini Congo watu 28 hadi sasa wanaripotiwa kuwa
kuwa nao wameambukizwa katika  idadi  ya kuenea kwa ugonjwa huo iliyofikia watu 51.
Wakati huo huo akizungumza kwa niaba ya mwakilishi wa WHO Kanda ya Afrika (AFRO) na mwakilishi wa WHO Uganda Dkt.Miriam Nanyunja alisema wamefanya tathimini tangu Mei 21 hadi 25 mwaka huu.
Alisema Tanzania imewekwa nafasi ya pili  pamoja na mataifa mengine ikiwemo Angola,Rwanda,Burundi pamoja na Sudani Kusini na Zambia.
"Sasa jamii ipewe elimu kutosha na ikiwa wataalamu watapewa mafunzo na kujiweka katika nafasi nzuri zaidi kuzuia  kuzuia usiingie zaidi nchini  hapa,"alisema.
Ugonjwa wa Ebola ni janga linapo  kuwa katika nchi yoyote linatajwa kuwa janga la dunia na ndio maana hatua za mapema zinachukuliwa kwa uzito mpana ndio maana WHO wapo nchi hapa kuangalia mipango ya kuukabili usiingie.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.