Skip to main content

Idara ya Huduma za Kinga nchini imejipanga kukabiliana na ugonjwa wa Ebola

IDARA ya Huduma za Kinga  ya Wizara ya Afya ,Maendeleo ya    Jamii ,Jinsia ,Wazee na Watoto imesema ugonjwa wa Ebola ni janga hivyo serikali   imejipanga kukabiliana nao.
Ugonjwa huo ambao tayari umeripotiwa kuwapo Jamhuri ya Kidemokirasia ya Congo (DRC) tangu mei 8 mwaka huu na hadi kufikia sasa watu 51 wameri potiwa kupata maambukizi na 27 kati yao wamefariki dunia.
Hayo yamesemwa Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita na Kaimu Mkurugenzi  wa Idara hiyo Dkt.Khalid Massa wakati wa kikao cha tathimini  kati ya Kamati  ya Kitaifa ya kukabiliana na magonjwa ya Mlipuko.
Alisema Tanzania tumewekwa nafasi ya pili miongoni mwa nchi zenye uwezekano  wa kupata maambukizi ya ugonjwa huo kwa haraka kwa kuwa tupo jirani  na DRC .
"Ugonjwa huo ulishawahi kutokea miaka ya nyuma katika baadhi ya nchi zilizopo Barani Afrika na katika kipindi hicho waliweza kuwapa mafunzo wataalamu wao na wapo walio kwenda kusaidia katika baadhi ya nchi ,"alisema  Dkt. Massa.
Alisema tathimini  ya Shirika la Afya Duniani  imeonesha tupo katika rangi ya kijani ikimaanisha  vizuri kuukabili ugonjwa huu na kuwa wamejiandaa vizuri kuukabili ugonjwa huo na tayari wanayo miongozo mbali mbali waliyo andaa na wameandaa mipango madhubuti sambamba na kuwa wamejitaidi  kuweka gharama ya kuukabili ugonjwa huo usifike nchini.

Tiba ya Ebola

Aidha Dkt.Massa alisema Wizara imepokea mapendekezo yaliyotolewa na maofisa wa WHO ikiwemo hiyo ya mafunzo zaidi na elimu kwa umma jinsi ya kuepuka kupata maambukizi ya ugonjwa huo ikiwa na hali ya kuzitam bua dalili sake.
Aliongeza kuwa bado nchini Congo watu 28 hadi sasa wanaripotiwa kuwa
kuwa nao wameambukizwa katika  idadi  ya kuenea kwa ugonjwa huo iliyofikia watu 51.
Wakati huo huo akizungumza kwa niaba ya mwakilishi wa WHO Kanda ya Afrika (AFRO) na mwakilishi wa WHO Uganda Dkt.Miriam Nanyunja alisema wamefanya tathimini tangu Mei 21 hadi 25 mwaka huu.
Alisema Tanzania imewekwa nafasi ya pili  pamoja na mataifa mengine ikiwemo Angola,Rwanda,Burundi pamoja na Sudani Kusini na Zambia.
"Sasa jamii ipewe elimu kutosha na ikiwa wataalamu watapewa mafunzo na kujiweka katika nafasi nzuri zaidi kuzuia  kuzuia usiingie zaidi nchini  hapa,"alisema.
Ugonjwa wa Ebola ni janga linapo  kuwa katika nchi yoyote linatajwa kuwa janga la dunia na ndio maana hatua za mapema zinachukuliwa kwa uzito mpana ndio maana WHO wapo nchi hapa kuangalia mipango ya kuukabili usiingie.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...