Skip to main content

Soma stori ya Yanga kuelekea mchezo wa kesho

Katibu Mkuu wa Klabu ya Yanga, Charles Boniface Mkwasa ametoa ufafanuzi juu ya wachezaji wake muhimu, Kelvin Yondani, Obrey Chirwa, Ibrahim Ajib na Papy Kabamba Tshimbi kutojumuika na kikosi kilichosafiri juzi kuelekea nchini Algeria kwaajili ya mchezo wao wa hatua ya makundi dhidi ya USM Alger.

Mkwasa amesema kuwa wachezaji wote waliyoshindwa kujiunga na Yanga kwenye safari hiyo walikuwa na sababu zao muhimu nawala siyo mambo mengine kama yanavyoelezwa.


Kunasababu mbalimbali kwa wachezaji kupelekea wao kutokusafari, rabda nikianza na Kelvin Yondani yeye alipata majeraha wakati wa mechi na Simba na alipoomba atoke tukashindwa mkutoa kwasababu mechi ilikuwa tayari ilishamalizika.
Mchezaji wa pili ni Obrey Chirwa alikuwa na Maleria na baada ya mechi ikaongezeka kwahiyo ikashindikana kusafiri.
Mchezaji wa tatu ni Ajib, yeye yupo fiti ila anamatatizo ya kifamilia Mkewake anatarajia kujifungua muda wowote na hivyo kunahitaji uwangalizi wa hali ya juu kwahiyo anahitajika awe karibu ndiyo maana hakuweza kusafiri.
Papy Kabamba Tshimbi alikuwa pia amepata majeraha kutoka Ethiopia na hata mechi na Simba alikuwa amecheza na akaomba atoke kwakuwa majeraha yalikuwa yameongezeka kwahiyo hakuna kitukingine chochote kimetokea kama watu wanavyodai mtaani kwakuonyesha kuwa kuna kitu chochote huo ndiyo ukweli uliyokuwepo kwahiyo niaombe wanachama wawe na utulivu katika kipindi hiki na tuwe na umoja ili tuhakikishe tunapata matokeo mazuri ugenini kwakuwa ni mechi ya kwanza isituvunje nguvu na watambue kuwa vijana waliyokwenda wanaaminika na wana uweledi mzuri.

Yanga itashuka dimbani siku ya Jumapili kuanza kutupa karata yao ya kwanza kwenyemchezo huo wa kwanza wa hatua ya makundi wakiwa ugenini dhidi ya USM Alger ya nchini Algeria.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...